Wadau hamjamboni nyote?
Mvamizi huyo hajulikani ni nani na katumwa na nani na madhara kiwango gani
Taarifa za ndani bado hazijatolewa kikamilifu ila tukio hilo limetokea kweli
Tuwaombee taifa...
Hii akili mnemba au akili bandia( AI ) Imekuwa shida sasa
================
Mwanamke aitwae Megan Garcia wa Florida Nchini Marekani, amefungua kesi Mahakamani kuishtaki Kampuni moja ya California...
Wakuu Habari
Nilikuwa huko Twitter (X) na katika kupita pita kwangu nikakutana na hii habari ya Iran kuungana rasmi na umoja wa mataifa yaliyopo katika muungano wa Brics , kubwa zaidi lilo...
Niaje waungwana
Waungwana wenzangu, najua kuna watu wanajiuliza kwamba inawezekanaje mimi nimshauri mtu jeuri kama Benjamin Netanyahu aende akaonane na mtu kiburi kama Ayatollah Khamenei ambae ni...
Asubuhi hii kuna taarifa za kushambuliwa makazi binafsi ya waziri mkuu wa Israel huko Caesaria kwa drone ya hizbullah iliyosafiri 70km bila kuamsha mitambo ya ulinzi ya Israel, drone hiyo...
Nizidi kuwatia moyo ndugu zetu wa Chadema kwamba wasikatishwe tamaa na maneno ya Katibu mkuu wao wa zamani
Chadema fuatilieni yanayojiri kwa rafiki yenu Trump wa Republican mtagundua Tundu...
Mkutano wa nchi za BRICS ulifanyika mjini Kazan, Russia wili iliyopita ikiwa ni mara ya kwanza kwa kundi hilo kukutana kwa jina la BRICS Plus, ikiwa na maana kuwa uanachama wa kundi hilo umepanuka...
Moderator nikuombe uhamishe Uzi huu jukwaa la siasa
Wadau hamjamboni nyote?
Leo ni siku ya kupiga kura za maoni kwa Wanachama wa CCM nchi nzima
Hadi muda huu hatujapiga kura za maoni...
Je, Iran ilitengeneza vipi kombora la hypersonic ambalo linaweza kufika Israel kwa 'sekunde 400' licha ya vikwazo?
Maelezo ya picha,Teknolojia ya kombora la Balistiki ilitengenezwa wakati wa Vita...
Ninayo huzuni kutangaza kifo cha Mazen Ahmad ambaye ni Mkuu wa Polisi wa Hamas. Mina la faadhina Rajuun.
Tumwombee asipunjwe thwawabu zake peponi. Amina.
Webabu Ritz FaizaFoxy Adiosamigo na kimsboy
Pole kwa wahanga wa ugaidi huu nchini Turkey ulioacha baadhi ya watu kufariki.
Several killed in a terrorist attack against Turkish Aerospace Industries (TAI) in Kahramankazan, Ankara
Inasemekana Israel alikua na mpango wa kuishushia mvua ya mabomu Iran siku hizi mbili.
Israel alikua anashea mpango wake huo wa kuishambulia Iran, lakini kwa bahati mbaya/nzuri zimevuja...
Vuguvugu la Uhuru barani Africa lilianza baada ya ww2.
Mwishoni mwa miaka ya 50s, tayari baadhi ya mataifa yakaanza kupata Uhuru tena kwa njia rahisi sana.
By 1980, tayari karibia mataifa yote...
The International Monetary Fund (IMF) has declared Russia the fourth largest economy globally by purchasing power parity (PPP).
Russia's economy has outpacing the growth rates of all advanced...
Wadau hamjamboni nyote?
Hezbollah yaanza kujibu mapigo kibabe
Taarifa kamili hapo chini:
Two Israeli reservists were killed and three others were wounded on Tuesday, as the Israeli military...
ukimlenga mfalme hakikisha humkosi, alichofanya Ali Khamenei leo ni mwanzo wa safari yake kuelekea Ahera lakini atachokosea ni kujilinda zaidi dhidi ya Jeshi la Israel kwa kudhani atashambuliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.