International Forum

News and Stories from rest of the World
Luxembourg imekuwa inch ya kwanza ya Ulaya kupitisha sheria ya madini ya anga (space mining law) Digital rendition of a mining operation in space. (Source Mine Stories.) serikali ya luxembourg...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Rais wa Sudani Kusini, Salva kiir ametangaza hali ya hatari ya miezi 3 katika upande wa Kaskazini-Magharibi baada ya mapigano ya kikabila kupamba moto. Hali hiyo ya hatari ilitangazwa katika...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Siku ya jumanne(Leo) utawala wa bwana Trump umetangaza vikwazo vipya vya kiuchumi dhidi ya Iran, kuhusiana na mpango wake wa silaha za nyuklia, mpango wake wa makombora na pia kuunga mkono ugaidi...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Hundreds of school pupils in the Bavarian town of Regensburg, home to the famous German cathedral choir, suffered from physical and sexual abuse for decades, an investigator says, adding that no...
0 Reactions
3 Replies
952 Views
Mataifa manne ya kiarabu yanayoongozwa na Saudi Arabia sasa hayaishinikizi tena Qatar kutekeleza masharti 13 yaiyowasilishwa mwezi uliopita. Wanadiplomasia kutoka nchini za Saudi Arabia, UAE...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Askari jeshi zaidi ya 800 wakiwemo baadhi ya maafisa wakuu katika jeshi la Rwanda wamestaafishwa. Miongoni mwa waliostaafishwa ni majenerali wawili waliowahi kuongoza idara za upelelezi za nchi...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
. Maafisa katika jimbo la Nevada nchini Marekani wanachukua hatua za dharura kukabiliana na uhaba wa bangi. Mahitaji yamekuwa ya juu tangu bangi ihalalishwe kwa matumizi ya kujiburudisha tarehe...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Kumbe ni kweli marekani hana taarifa makini kuhusu nguvu za kijeshi za N/korea, ndiyo maana ametunga sheria hii 'NORTH KOREA INTELLIGENCE ENHANCEMENT ACT' ili kuongeza mbinu za kumjasusi N/korea...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Maseneta wengine wawili wa chama cha Republican wanasema kuwa wanapinga mpango wa chama chao, wa kuubadilisha muswada wa afya wa Obamacare hatua iliowawacha viongozi wa Republican na uchache wa...
1 Reactions
4 Replies
888 Views
Waziri wa Habari nchini Nigeria ametoa onyo kali kuhusu uzalishaji wa video za muziki na filamu nje ya nchi hiyo. Waziri Lai Mohammed alisema mwishoni mwa wiki iliyopita kuwa serikali haiwezi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Brafu inayoyeyuka nchini Uswisi imefichua miili miwili inayoaminiwa kuwa ya mtu na mkewe waliotoweka miaka 75 iliyopita. Marcelin na Francine Dumoulin walitoweka wakati walienda kuchunga ng'ombe...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Watu 34 wakiwemo manahodha wa meli ya jeshi la Cameroon wamefariki dunia baada ya kuzama kwenye kisiwa cha Bakasi, watu watatu wameokolewa. ------ YAOUNDE, Cameroon -Cameroon's defense minister...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hakuna mtu angependa kuona harusi ikiharibika lakini baba mmoja ameshikwa na hofu kutokana na kilichotokea wakati wa harusi ya binntiye. JP Nadeau anaripotiwa kupigwa na radi wakati akitoa hotuba...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ofisa mwandamizi katika Ikulu ya Kremlin amesema Urusi inalazimika kulipiza kisasi kwa hatua ya Marekani kushikilia mali za wanadplomasia waliofukuzwa mwaka jana kwa madai ya kuingilia uchaguzi...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
SEOUL - Marekani imeionya Korea Kaskazini kwamba ipo tayari kwenda vitani kama ikiendelea kuchokozwa. Hayo yanajiri wakati Korea kaskazini ikishangilia mafanikio ya kombora lililorushwa hapo jana...
8 Reactions
194 Replies
21K Views
Rwanda opposition in uphill battle against powerful Kagame Friday July 14 2017 From left, Rwandan presidential aspirants Philippe Mpayimana, Paul Kagame (centre) and Frank Habineza. PHOTOS |...
6 Reactions
87 Replies
7K Views
Nchi moja tu iliyowekewa vikwazo na Dunia nzima na ina watu chini ya Milioni 30, Wazungu wameleta vitisho vya kila aina kuanzia kutuma madestroyer, sijui navy seal na majina mengi ya ajabu ajabu...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
A woman has been shot dead while waiting to vote in an unofficial, opposition-organised referendum in Venezuela.Men on motorbikes killed her and wounded three others in the capital city of...
0 Reactions
2 Replies
567 Views
Mafuriko mabaya yaliyosabishwa na mvua kubwa yamesomba kidimbi kimoja cha kuogelea katika jimbo la Arizona nchini Marekani na kuwaua watu 8. Takriban wawili kati ya wale waliouawa ni watoto...
0 Reactions
2 Replies
854 Views
Vatican, Cardinal Mkuu namba tatu wa Kanisa Katoliki ameshitakiwa na mamlaka ya Australia kwa makosa kadhaa ya kuingilia kinyume na maumbile watoto waliokuwa chini ya huduma yake. Je ni wakati...
5 Reactions
267 Replies
25K Views
Back
Top Bottom