International Forum

News and Stories from rest of the World
Castro to Trump: Cuba doesn't need 'lessons' from the US BY MAX GREENWOOD - 07/14/17 10:56 PM EDT 484 61 © Getty Cuban President Raul Castro on Friday blasted President Trump's reversal on some...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kumekuwa na kikundi cha watu aina flani eneo la Africa mashariki wamekuwa wakipinga Pierre nkurunzinza kugombea muhula wa tatu wakisema amekiukaa katiba Watu hao hao pia wameshidwa kumpinga...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Watu wawili wenye umri wa miaka 30 akiwemo baba aliyetaka kumuuza mwanawe ili kupata fedha za kuandaa mazishi ya marehemu mamake walishtakiwa katika mahakama ya Iyaganku mjini Ibadan Nigeria...
0 Reactions
3 Replies
903 Views
Siku ya leo kunafanyika upigaji kura nchini Venezuela kupata maoni ya wananchi ili katiba ya nchi ibadilishwe au isibadilishwe,mchakato wa kubadilishwa kwa katiba uliitishwa na Rais Maduro 1 may...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Martin Landau nyota aliyehusika kuigiza filamu ya Mission Impossible iliyochezwa miaka ya 1960 amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89. Pia alishinda tuzo ya Oscar kwa kuigiza kama Bela Lugosi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MAX GO, jii ni app imeanzishwa Nigeria (Lagos) kwa ajili ya Boda Boda zao, iko kama UBER ile ya Taxi, tena wenzetu wanatupiga bao hivi hivi.. Ila kweli hatuwezi kufanya franchise au kuanzisha na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
The president of Rwanda, Paul Kagame, has claimed a win in next month’s election. He stated that the outcome of the vote was already known in 2015, when a petition to Parliament by 4 million...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
KINSHASA (Reuters) - Armed men attacked a group of journalists and park rangers in a remote east Congo wildlife reserve overnight into Saturday, and an American journalist and three guards were...
0 Reactions
1 Replies
549 Views
matatizo mengi yaliyo wahi kuwapata waisrael. na wazungu kwa ujumla huenda ndio yamewafanya leo hii waonekane ni watu wenye akili nyingi sana Ebu piga hesabu mwaka 42 Israeli walikiwa wanawakota...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Vikosi vya usalama nchini Rwanda vimewaua takriban watu 37 wanaoshukiwa kufanya makosa madogo madogo tangu mwezi Aprili 2016 kulingana na ripoti ya Human Rights Watch HRW. Ripoti hiyo inasema kuwa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Serikali ya Uturuki imewaachisha kazi zaidi ya maafisa 7,000 wa polisi, maafisa wa Serikali na wasomi waliokuwa na uhusiano na jaribio la mapinduzi la mwaka uliopita. Hatua hii imechukuliwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakati sisi tukijiimarisha kujenga viwanda wenzetu wa GHANA wamefanikiwa kurusha setilaiti yao wenyewe. ======= Image caption The development team behind the satellite Ghana has...
9 Reactions
53 Replies
6K Views
French national day ilihudhiriwa na Raisi bora Duniani D.Trump! Kwa wasiofahamu sehemu ya mfumo wetu wa Utawala tulichukuwa kutoka Ufaransa yaani kuwa na Raisi na Waziri Mkuu wote pamoja!
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Urusi iko tayari kuwatimua wanadiplomasia 30 wa Marekani na kutwa mali ya Marekani kujibu vikwazo vya Marekani, kwa mujibu wa maafisa wa Urusi. Vitisho hivyo vinatolewa kutoka wizara ya mashauri...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Watu nane wamefariki dunia baada ya mashabiki wa mpira kukanyagana walipokuwa wakishuhudia michuano ya ligi ya kandanda nchini Senegal. Waziri wa michezo nchini Senegal Matar Ba amesema msichana...
0 Reactions
2 Replies
790 Views
Maafisa katika jimbo la Nevada nchini Marekani wanachukua hatua za dharura kukabiliana na uhaba wa bangi. Mahitaji yamekuwa ya juu tangu bangi ihalalishwe kwa matumizi ya kujiburudisha tarehe mosi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Uturuki yakubali kulipa dola bilioni 2.5 ($2.5bn) kwa ajili ya kununua mfumo wa anga wa Russia S400. Dili hilo linahusisha ununuzi wa mitambo hiyo na pia teknolojia iliyotumika kwa...
3 Reactions
58 Replies
15K Views
URUGUAY: Kuanzia wiki ijayo maduka ya dawa kuanza kuuza bangi na vilabu 53 kupewa vibali rasmi vya kutenga maeneo ya watu kuvuta mmea huo
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Aliyekuwa Waziri Mkuu nchini Tanzania na Mgombea urais katika chama cha upinzani Chadema katika Uchaguzi uliopita, Edward Lowassa amewataka wakenya kuvumiliana wakati huu ambapo taifa hilo...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Kampeni za wagombea Urais watatu zimeanza rasmi leo nchini humo ambapo kura zitapigwa kuanzia tarehe 5 Agosti mwaka huu.. Rais Paul Kagame naye amejitosa kuwania nafasi hiyo kwa mara nyingine...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom