Khalil Nazari, mvumbuzi na mtafiti wa Kiirani amefanikiwa kushinda tuzo maalumu na medali ya fakhari ya mashindano makubwa ya uvumbuzi ya IPEX nchini Marekani.
Uvumbuzi wa Khalil Nazari umehusisha...
Lusaka, Zambia. Bunge la Zambia limeidhinisha amri ya hali ya hatari iliyotolewa na Rais Edgar Lungu kwa siku 90, hatua ambayo wakosoaji wanaona ni juhudi za kudhibti mamlaka sawasawa.
Wabunge wa...
Laws society of Kenya warns President Uhuru Kenyattta against intimidation of Judiciary. LSK says warning is against Doctrine of Separation of Power. As the country moves closer to August polls...
Lusaka, Zambia. Bunge la Zambia limeidhinisha amri ya hali ya hatari iliyotolewa na Rais Edgar Lungu kwa siku 90, hatua ambayo wakosoaji wanaona ni juhudi za kudhibti mamlaka sawasawa.
Wabunge wa...
Watu 19 wameuawa wameuawa na 23 kujeruhiwa katika mashambulizi ya kujitoa muhanga yaliyofanywa na Boko Haram, Jana usiku katika mji wa Maiduguri, kulikoanzia uasi wa kundi hilo.
Wakati ulimwengu ulipoadhimisha siku ya idadi ya watu duniani, Mwanamume mmoja alikuwa na sababu 100 za kusherehekea.
Kofi Asilenu mwenye umri wa miaka 80 ni baba wa watoto 100 na wake 12...
Ujumbe wa kidiplomasia wa taifa la Ufaransa hivi majuzi ulipata pigo la kupata Visa baada ya mamlaka ya Rwanda kukataa ombi lao walilowasilisha ambalo lilishirikisha picha ya bendera ya zamani ya...
Hizi ni picha zinazo onyesha jiji la MOSUL pamoja viongozi wa na wanajeshi wa IRAQ, baada ya kukombolewa mikononi mwa magaidi wanao jiita DOLA YA KIISLAM ISIS
Sent from my SAMSUNG-SM-G530AZ using...
Siku ya alhamisi utawala wa bwana Trump kwa Mara ya kwanza tangu uingie madarakani umeidhinisha mauzo ya silaha kwa Taiwan zenye thamani ya dola bilion 1.42 ($1.42 billion).
Hatua hiyo imepingwa...
Walinzi wa mbuga nchini Afrika Kusini wanawattafuta simba wanne waliotoroka kutoka mbuga ya kitaifa.
Simba hao walitoroka kutoka mbuga ya Kruger siku ya Jumapili na mara ya mwisho walionekana...
Qatar crisis: Restrictions to continue, Saudi Arabia says
3 hours ago
Image caption The four foreign ministers held talks in Cairo
Restrictions on Qatar will continue after it...
Takribani wakimbizi 35 wakiwemo watoto 7 wanahofiwa kufa maji baada ya Boti yao kuzama katika Pwani ya Libya.
Aidha katika ajali hiyo Wahamiaji 85 wakiwemo wanawake 18 wameokolewa
========
At...
Watu 16 wafariki kwenye ajali ya ndege Marekani takribani watu 16 wamefariki kwenye ajali ya ndege ya jeshi kwenye jimbo la Mississipi nchini Marekani.
Ajali hiyo ilitokea katika kaunti ya...
Russian state nuclear corporation Rosatom suspends Mkuju River uranium project in Tanzania for at least three years due to depressed uranium market. Rosatom, which previously hoped to start...
Tu-95 Bombers
Jeshi la Urusi limefanya mashambulizi dhidi ya ISIS kwa makombora yake mapya Kh-101 strategic cruise missile. Sehemu za kuhifadhia silaha na kituo cha mawasiliano cha kundi hilo la...
Harnaam Kaur ni mwanamke anayefuga ndevu "Nilianza kufuga ndevu nilipokuwa na umri wa miaka 16.
Nilikuwa na nywele zilizojaa usoni tangu nibalehe, ikafikia wakati ambapo nilifikiri iwapo nywele...
Kiongozi wa dini wa cheo cha juu nchini Nigeria, Sultan wa Sokoto, amewaonya watoto, hususan wasichana wasije wakatumia muda wao mwingi kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwa inaweza kusababisha...
Rais wa Marekani Donald Trump anasema kuwa ni wakati wa kushirikiana na Urusi baada ya mkutano wake na rais wa Urusi Vkladimir Putin.
Aliandika kwenye mtandao wa Twitter kuwa Putin alikana kabisa...
Mradi huo mkubwa uliogharimu dola za kimarekani milioni 470 ulifadhiliwa na China Exim. Siku ya Jumapili ilikuwa nzuri kwa wakazi wa Addis Ababa kwani walipata usafiri wa bure wakati wa uzinduzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.