International Forum

News and Stories from rest of the World
Kuna nini Afrika mpaka kufanya siasa iwe ni kwa Mabavu, ghiliba, Uzushi, Uonevu, uuaji na ukandamizaji wa haki za binadamu kwa kiwango cha hali ya juu sana? Halafu inakuwaje hao wanaokandamiza...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
UJERUMANI: Takribani askari polisi 76 wamejeruhiwa walipokuwa wakiwatawanya mamia ya Waandamanaji wanaopinga kikao cha mataifa tajiri(G20) kinachofanyika katika Jiji la Hamburg. Askari hao...
0 Reactions
2 Replies
953 Views
Jeshi la Niger limewaua kimakosa raia 14 waliodhaniwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram katika eneo la mashambani la Kusini mashariki kulingana na maafisa. Waathiriwa wote wakiwa wakulima wasio na...
0 Reactions
3 Replies
852 Views
Anashangiliwa kweli kweli na Wapoland. Yupo live sasa hivi CNN na Aljazeera
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Rais wa Zambia Edgar Lungu ametangaza hali ya dharura nchini humo kutokana na moto mkubwa uliyotekteza soko kuu la mjini Lusaka. Moto huo pamoja na visa vingine kama hivyo unadhaniwa kuanzishwa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Watu wanane wamefariki na zaidi ya 50 wamejeruhiwa kufuatia watu kukanyagana wakiingia uwanjani katika maadhimisho ya siku ya uhuru. “Eight people — seven children aged around eight years old...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
July 06, 2017 Report by the Economic Intelligence Unit (EIU) has predicted that four major factors will remain a source of instability in Nigeria in the next five years. Those factors allegedly...
0 Reactions
1 Replies
568 Views
Watu wasiojulikana wanadaiwa kuchoma moto soko la jiji la Lusaka. Moto huo umeanza saa 10 na nusu asubuhi ya jana na ulikuwa ukienea hadi 12 asubuhikwenye masaa ya Zambia Wafanyabiashara na...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Ajali ya lorry moja la mizigo huko Jamhuri ya Afrika ya kati CAR imesababisha vifo vya zaidi ya watu 80, wengi wakiwa wachuuzi waliokuwa wakielekea sokoni mjini Bambari. Walioshuhudia tukio hilo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Takribani watu 56 wamefariki na wengine 22 hawajulikani waliko kufuatia mvua kubwa zilizopelekea mafuriko makubwa yaliyoharibu miundombinu ya umeme, nyumba na ofisi. Mafuriko hayo yamepelea kujaa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mapema jana NK ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa kurusha kombora la masafa marefu(ICBM) Kitendo kilichoibua hofu kubwa dhidi ya mahasimu wake(USA). Kupitia waziri wake wa ulinzi marekani...
5 Reactions
32 Replies
6K Views
Mwanamke mmoja ambaye jina lake halikutambulika, amekutwa akiwa ananing'inia nusu uchi kwenye nyaya za umeme katika mitaa ya China, akikimbia fumanizi. Kwa mujibu wa Daily Mail, chanzo kimeeleza...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Kaburi la Mtunzi wa Wimbo wa Taifa wa Uganda marehemu George Kakoma limefukuliwa na watu wasiojulikana, huku kukiwa na wasiwasi kwamba mabaki ya mwili wake yameibiwa. Gazeti la Daily Monitor la...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa sasa kuna korea mbili Bila shaka kulikuwa na korea moja tu iliyojulikana kama Jamhuri ya korea Sasa ni sababu gani ilifanya korea hizi kutengana hadi kuwa na korea ya kaskazini na korea...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nchi nyingi za kiarabu zikiongozwa na Saudi Arabia, zikiwemo Misri, UAE, Bahrain, Yemen, Libya, Maldives na Libya, pamoja na Morocco na Mauritania, zimevunja uhusiano na Nchi ya Qatar tangu tarehe...
3 Reactions
56 Replies
7K Views
Wanachokitafuta watakipata!! US-led coalition downed Syrian army plane in southern Raqqa countryside - army statement == detail: Syria-based journalist Alaa Ebrahim told RT he believes that, by...
1 Reactions
74 Replies
7K Views
Siku za karibuni wanamuziki maarufu wa kimarekani wameangukia kimapenzi kwa Mabilionea wa kiaarabu, Rihanna mwimbaji maarufu huko Marekani ameangukia na penzi kwa bilionea wa kutoka huko Saudh...
5 Reactions
18 Replies
4K Views
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na kiongozi wa upinzani Raila Odinga wamejiondoa kutoka kwenye mdahalo wa moja kwa moja kwenye runinga wa wagombea urais nchini humo. Mdahalo huo ulikuwa umepangaiwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Korea Kaskazini yarusha kombora katika bahari ya Japan Korea Kaskazini imerusha kombora jingine la masafa marefu kutoka jimbo lake la magharibi kulingana na mamlaka ya Japan na Korea Kusini. ⦁...
5 Reactions
73 Replies
8K Views
Waziri wa Upelelezi na Intelejensia wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Yisrael Katz ametangaza habari ya kuboreka zaidi mahusiano ya kidiplomasia kati ya utawala huo na Saudi Arabia. Gazeti...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom