International Forum

News and Stories from rest of the World
Raisi wa Rwanda Paul KAGAME ametoa shutuma nzito kwa mataifa ya magharibi kuingilia uchaguzi wa Rwanda utakaofanyika mwezi ujaoo. Katika shutuma hizo ni pamoja nchi za magharibi kuzungumza na...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Rais wa Venezuela Nicolás Maduro amepongeza hatua ya kumuachilia kutoka gerezani moja wa viongozi wakuu wa upanzani nchini humo Leopoldo Lopez. Bwana Lopez amepelekwa katika kifungo cha nyumbani...
0 Reactions
2 Replies
743 Views
Asema hata vumilia kuona mahakama inaharisha uchaguzi wa mwezi wa nane. Asema atamshughulikia Raila kama mambo hayatakaa sawa. ------------- Uhuru's Announcement on Postponing August Elections
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nanukuuu tu...msinichukue.. Mgombea wa uras wa kenya kupitia jubelee leo amesema.. kuheshimiwa sio kuogopwa!!!!?? Nini maoni yako kuhusu kauli hii ....
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jumanne wiki hii North Korea imetest tena kombora la masafa marefu liitwalo Hwasong 14 ambalo limepaa juu km 2,802 kabla halijaenda umbali wa km 933 kwa muda wa dakika 39 tu na kupiga target...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari kutoka Ikulu ya Nairobi imesema kuwa Waziri Nkaissery alifariki dunia saa chache baada ya kulazwa ghafla katika Hospitali ya Karen jijini Nairobi. Kifo cha Nkaissery kimewashtua wakenya...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
HITLER ALIKUFA LAKINI AKINA HITLER WAMEENDELEA KUZALIWA. By Luqman Maloto Kansela wa zamani wa Ujerumani na Kiongozi (Fuhrer) wa Ujerumani chini ya Chama cha Nazi, Adolph Hitler, alijipiga...
4 Reactions
20 Replies
6K Views
Mfanyakazi wa bustani ya wanyama ya Chessington, Uingereza, ametengeneza kifimbo hiki kirefu sana ili kujipigia picha pamoja na mnyama twiga. "Hivi sasa sipati shida tena kupiga picha na twiga...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwaka 1963 mwezi November wamarekani walimpoteza Rais wao wa 35 John F. Kennedy , Tukio ambalo kwa hakika hakuna ayelifurahia kutokana namna ambavyo mauaji hayo yalivyotokea, inasemekana Rais...
2 Reactions
38 Replies
6K Views
Russian state nuclear corporation Rosatom suspends Mkuju River uranium project in Tanzania for at least three years due to depressed uranium market. Rosatom, which previously hoped to start...
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Marekani na South Korea wamefanya zoezi la pamoja la kivita kwa kurusha kombola ATACMS (Army Tactical Missile System) katika kujibu majaribio ya NK jana. Taarifa kutoka msemaji wa Pentagon Dana...
5 Reactions
83 Replies
6K Views
White House 'surprised' by McConnell's talk of bipartisan health care approach By Jeremy Diamond, CNN Updated 8:20 PM ET, Fri July 7, 2017 Washington (CNN)The White House was caught off-guard...
1 Reactions
2 Replies
738 Views
Hali haijatengemaa Hamburg, siku ya pili leo. Wajerumani wacharuka. === Dozens injured as anti-G20 protesters clash with Hamburg police ‘like never before An anti-G20 rally in Hamburg has...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro kwa siku za karibuni amepata upinzani mkubwa kutoka kwa opocision wapinzani ambao wamekuwa wakifanya maandamano kumpinga haswa sababu ya hali ya uchumi kudorora...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MILAN, ITALIA: Kikosi cha Ukoaji kimeitoa miili ya watu 8 kutoka katika kifusi cha jengo la ghorofa 5 lililoanguka kusini mwa mji wa Naples. Zoezi la kuitafuta miili hiyo limemalizika mapema leo...
0 Reactions
0 Replies
961 Views
Mataifa manne ya kiarabu, yanayoongoza masharti makali dhidi ya Qatar, yanasema kuwa, hatua ya Doha kukatalia mbali masharti hayo magumu dhidi yake, inaashiria nia yake ya kuendeleza sera ya...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
MISRI: Wanajeshi 10 akiwemo Kanali wameuawa baada ya shambulio la kujitoa mhanga katika moja ya vituo vya ukaguzi wa barabarani kilichopo Kaskazini ya mji wa Sinai. Wanajeshi wengine 20...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ama kweli duniani kuna watu wamejisusa ..hii imetokea Liberia Taarifa kutoka Liberia zinasema kuwa kituo kilichotengwa na kuwekewa karantini kwa sababu ya ebola, kimeshambuliwa na zana...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Waziri wa Ulinzi wa Qatar amesema jeshi la nchi hiyo liko tayari kuilinda nchi hiyo endapo itakabiliwa na chokochoko tarajiwa za maadui. Khalid al-Attiyah Waziri wa Ulinzi wa Qatar amesema nchi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Uingereza yasema Saudia inafadhili makundi yenye itikadi kali Saudia ndio mfadhili mkuu wa watu wenye misimamo mikali ya kidini nchini Uingereza kulingana na ripoti mpya. Ripoti hiyo ya Henry...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom