Karibu JPM. Sisi huwa tunapima utendaji wa ulichosema. Tumekupokea hadi ukasema really tunakupenda. Sisi hatuna kinyongo. Ndio maana mbunge na meya (wote upinzani) wamekupokea.Tumesambaa tz nzima...
Akiongea na kituo cha CBS trump alisema japokuwa Kim alipata madaraka akiwa na umri mdogo lakini aliweza kupigana na watu wagumu.
"Watu wanasema ni mwendawazimu ... Sifahamu hilo lakini alikuwa ni...
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametangaza nyongeza ya mshahara wa chini zaidi mfanyakazi anastahili kulipwa kwa asilimia 18
Rais Kenyatta alitangaza hilo wakati wa sherehe za kuadhimisha siku ya...
'You cannot make decision against the host'
One question is vital,
Why UN headquarters in New York?
Perhaps the question might be easy to answer since it follow prescribed procedures. Does...
WAKATI Korea Kaskazini ikidai kuwa inaweza kuzamisha meli inayoendeshwa na nguvu za kinyuklia yenye iwezo wa kubeba ndege za kivita, wataalamu wanatazama itakuwaje iwapo vita hii na Marekani...
Mexico's lower house overwhelmingly passed a bill Friday approving the use of marijuana for medicinal purposes, the latest in a series of legal changes and court rulings that have somewhat relaxed...
Wikiendi imeisha vibaya kwa wenzetu!
Jumapili ya jana, takribani watu 14 wameripotiwa kufariki baada ya kutokea mafuriko makubwa yaliyosababishwa na gharika katika eneo la Canton huko Texas...
Sasa vita hakuna tena; baada ya Putin kuonesha wazi yupo upande wa Mapanki lazima Trump arudishe jeshi lake....
WATCH: Russia claims it can WIPE OUT US Navy with ‘ELECTRONIC bomb’ amid WW3 fears...
Rais wa Syria Bashar al-Assad amesema kwamba nchi yake ipo kwenye mazungumzo na Urusi kuhusu ununuzi wa mitambo mipya na ya kisasa zaid ya kulinda anga.
Assad anasema kwamba ununuzi wa mitambo...
Hospitali moja nchini India ambapo mwanamke wa Misri anayeaminika kuwa na uzito mkubwa zaidi inasema mama huyo amepunguza nusu ya uzani wake kutoka kilo zaidi ya 500 hadi kilo 270.
Familia ya...
Meli zilizobeba ndege Za kivita za marekani zawasili pwani ya korea ya kaskazini Huku Japan na Korea ya kusini zikiunga mkono marekani. Kwa upande kwa Korea ya kaskazini imesema ipo tayar kujibu...
Rais wa Marekani Donald Trump ameaonya kwa mara nyengine kwamba mzozo mkubwa utaibuka na Korea Kaskazini kuhusu mpango wake wa kinyuklia na ule wa kutengeza makombora.
Katika mahojiano na chombo...
North Korea ni Nchi ndogo sana kwa Marekani, Tukianza na Umbo hadi Teknolojia! Yaani huwezi amini mabomu wanayoyafanyia majaribio leo N. Korea wenzao marekani waliwarushiaga Japan mwaka...
Hii ni kauli iliyotoka kwa Jumuia ya Vijana wa North korea (North Korean Youth League) kwa mujibu wa gazeti la The Sun la Uingereza.
Kauli kutoka kwa Umoja huo inasema watawafuta maadui wao wote...
Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akizungumza kuhusu maisha ya awali kabla ya kuwa rais na kueleza jinsi wajibu wake huo mpya katika Ikulu ya White House ni ngumu.
Trump alisema aliyapenda...
vyombo vya magharibi vimeripoti kwa mara nyingine tena kuwa korea ya kaskazini imefanya jaribio la kurusha kombora la masafa marefu lakini jaribio hilo limefeli. na hii ni kwa mara ya nne...
Maafisa wa Marekani na Korea Kusini wamesema jaribio la kombola la korea Kaskazini limefeli kwani kombola hilo lilianguka punde tu mara baada ya kupaa angani.Maafisa wa Marekani wamesema kombora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.