International Forum

News and Stories from rest of the World
Rais wa Marekani Mh Donald John Trump amemteua na kuthibitishwa na bunge la congress ndugu Mike Pompeo kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa shirika la Ujasusi wa mambo ya nje la Marekani yaani CIA Aidha...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Shule zimefunguliwa nchini Swaziland chini ya agizo jipya la serikali kufunza somo la dini ya kikristo pekee, hatua iliokosolewa kwa kuwa inakataa kuheshimu dini nyengine kulingana na chombo cha...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
DAR ES SALAAM, TANZANIA — Turkish President Recep Tayyip Erdogan on Monday talked about trade and security on the first stop of an African tour, urging Tanzania's leader to shut institutions...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Rais Mteule wa Gambia Bw.Adama Barrow leo anarejea Nchini Gambia baada ya kuridhishwa na hali ya Usalama nchini humo. Barrow ambaye aliapishwa kwenye ofisi za ubalozi nchini senegal ameapa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau habari za muda huu, Najaribu kutafakari na hatua ambazo Rais Donald Trump anachukua kwa sasa na matokeo yake kwa wamarekani na ulimwengu kwa ujumla. Sote tunajuwa kwamba Urusi aliinjinia...
1 Reactions
63 Replies
4K Views
Obama alikuwa anamcheka D.Trump kwamba hawezi kuwa Raisi wa USA!
1 Reactions
0 Replies
638 Views
Kiongozi wa Muungano wa Upinzani nchini Kenya (CORD) Raila Odinga anaishtumu Serikali kwa kutumia idara ya ujasusi nchini humo NIS kuwasajili raia wa nchi jirani kama wapiga kura kuelekea uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mahakama yaamuru Bunge kuhusishwa kuamua kama Serikali inaweza kuanza mchakato wa kujitoa katika Umoja wa Ulaya(EU). Uamuzi huu unamaanisha kuwa Waziri Mkuu, Theresa May hawezi kuanza mazungumzo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mark Glenn, mchambuzi mashuhuri wa kisiasa nchini Marekani amesema yumkini serikali ya Washington ikapanga njama za kuuawa Rais mpya wa Marekani Donald Trump, iwapo hatasimamia maslahi ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Na. Mtatiro J (Imefasiriwa na JSM). TRUMP: Jaji Mkuu Roberts, Rais Carter, Rais Clinton, Rais Bush, Rais Obama, Wamarekani wenzangu na watu wote duniani, asanteni sana. (MAKOFI) Sisi, Wananchi...
13 Reactions
26 Replies
5K Views
Kama alivyoahidi siku Namba 1 ni kushughulikia kuondoa Obama care, na kushughulikia ameshaanza, bado sisi kufuta Obama road! Obama care, tupa kule! Hiki kibao kiondoke pia, Obama drive...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Viongozi wa Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo FARDC waomba kamanda wa waasi wa kundi la M23 Makenga kujisalimisha mara moja kwa jeshi la serikali la sivyo ataoneshwa kwa raia akiwa hai ama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jeshi la marekani limefanya mashambulizi ya anga huko nchini Libya,ambapo yalilenga kambi za mafunzo za Isis. Ndege mbili za marekani za mashambulizi mazito ikiwemo ya nyuklia aina ya B-2 stealth...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Swap to EnglishWashington (CNN) Rais Donald Trump na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu alizungumza Jumapili mchana na Trump walioalikwa mwenzake wa kutembelea Marekani mapema mwezi...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Katika kutimiza ahadi zake wakati wa UCHAGUZI Trump muda mfupi uliopita ameweka sahihi Miswaada kadhaa miongoni mwazo ni KUJIONDOA kwa Marekan katika MKATABA wa KIBIASHARA wa Trans Pacific...
10 Reactions
64 Replies
6K Views
Hii imekaa je ktk siasa zetu Tanzania na mabalozi wa marekani hasa ktk MCC waliochonganisha kidogo. ====== Donald Trump has fired all foreign US ambassadors with nobody to replace them He...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Mwanamume aliyelalamikia ugumu wa nyama kwenye mgahawa nusura ageuke kipofu baada ya mpishi alipomrushia pilipili usoni Ripoti zinasema Bw David Evans alikuwa na mkewe Michelle katika hoteli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
SIRI YA WHITE HOUSE MAREKANI. Karibia siku nzima nilikuwa nimekaa mbele ya televisheni kushuhidia hatua kwa hatua tukio la kihistoria la kuapishwa kwa Rais wa 45 wa Marekani ambaye anakuwa ndiye...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
All these endtime pastors. A pastor named Rev.Orinthius Jermaine Simmons, Sir. Of Jacob Chapel Church is being accused of sleeping with a member's wife after the member was arrested and charged...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika uchaguzi uliopita USA katika hali ya kushangaza Wanawake wengi sana wa pia walimpgia kura D.Trump kinyume na matarajio ya maelite ambao walitaka H.Clinton ndiyo awe raisi wa USA! Sasa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom