International Forum

News and Stories from rest of the World
Leo nimepitia pages na groups nyingi sana za Gambia raia wengi wanampenda na kumkubali jammeh Nahisi kuna mchezo unachezwa behind the scene juu ya huyu rais. Huyu Adama Barrow anakula kiapo huko...
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Nimesikitishwa sana na maamuzi ya Mohammadu Buhari Rais wa Nigeria kupeleka meli ya kivita katika pwani ya Gambia na anajiandaa kupeleka ndege za kivita Gambia kumuondoa incumbent Strong leader...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Wana Jamvi kuna jambo limeishangaza kuhusu Trump.Huyu jamaa hakosi VITUKO. Inasemekana AMEOMBA kutumia biblia MBILI wakati AKILA KIAPO cha URAIS kama rais wa 45 wa Amerika. Bibila ya kwanza ni ile...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Nchi za Afrika ya Magharibi zikiongozwa na nchi ya Nigeria ambayo jina lake limetokana na neno Nigga (Nigeria-Niger), zimeanza jitihada zao za kuivamia nchi ndogo ya Gambia kwa lengo la kumuweka...
1 Reactions
120 Replies
12K Views
Mshindi wa uchaguzi mkuu wa mwezi Novemba Donald Trump leo anatarajiwa kuapishwa kuwa rais wa 45 wa Marekani. Bw Trump wa Chama cha Republican anatarajiwa kuapishwa mbele ya watu 750,000 mbele ya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Katika siku yake ya mwisho madarakani, Rais Barack Obama amebatilisha vifungo vya wafungwa mia tatu na thelathini, wahalifu wengi wao wakiwa wa dawa za kulevya. Mshauri wa Ikulu ya Marekani, Neil...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu....nipo naangalia FRANCE 24 mda huu..! Wanadai majeshi ya Senegal yameingia Gambia,maneno hayo yamesemwa na msemaji wa jeshi...Mkuu wa majeshi wa Gambia yuko pamoja na wafuasi wa...
6 Reactions
88 Replies
11K Views
Kampuni ya ndege ya EasyJet imepigwa faini ya Pauni 52, 000 na mahakama nchini Ufaransa kwa kukutwa na hatia ya kumzuia abiria ambaye ni mlemavu kuingia ndani ya ndege kwa sababu ya usalama wa mtu...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
WASHINGTON — Donald J. Trump will take the oath of office outside the Capitol on Friday, officially becoming the 45th president of the United States. But the ceremony is only the centerpiece of...
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Yahya Jammeh apewa masaa ya mwisho MUUNGWANA BLOG / 59 minutes ago [https://2] Habari za kuapishwa kwa Adama Barrow zilipokelewa kwa furaha na shangwe Banjul Viongozi wa nchi za Afrika...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
namuangalia donald trump hapa amempatia ajira mwanamama live anafanyiwa interview na amesema kama watakubaliana mshahara anampa kazi wooow yuko kwenye mahojiano na waandishi wa habari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Raisi wa USA Obama amevunja rekodi kwa kuwa Raisi aliyeangusha mabomu mengi kuliko Raisi yoyote wa USA aliyeongoza kipindi cha amani, Raisi Obama ameangusha Mabomu zaidi ya 26,000 na amezipiga...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naangalia Aljazeera taarifa ni kuwa majeshi ya washirika hayajapata upinzani wowote kutoka majeshi ya dikiteita Jammey
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Viongozi wa nchi za Afrika Magharibi wamempa muda wa kuondoka iwe mchana wa leo Rais alieshindwa wa Gambia Yahaya Jammeh awe ameachia ofisi ikulu ili mwenzake alieshinda aanze kazi.Mwenyekiti wa...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Tayari Rais mteule bwana DONALD TRUMP na familia yake wameshaingia ndani ya white house jijini Washington. Toa neno la kumtakia kazi njema inayoanza siku ya leo Tr. 20/01/2017...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi kwa kweli napenda sana kujichanganya bar za uswazi na club yoyote. Kupanda usafiri wowote un-noticed, Napenda sana kuingia katikati ya mikusanyiko ya watu bila ya watu kupata attention yoyote...
0 Reactions
6 Replies
913 Views
Car ploughs into pedestrians in Melbourne 9 minutes ago From the section Australia Car ploughs into pedestrians...
0 Reactions
1 Replies
932 Views
Vyombo vya Wazungu na watumwa wao wanaripoti kwamba Jeshi la Gambia halipokei tena Amri ktk kwa Raisi Jammeh, kama hivyo ni kweli kuna haja gani sasa ya kuivamia nchi ya Gambia? Ni kwa nini...
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Back
Top Bottom