A Moroccan real estate company has announced it will construct 5000 affordable housing units in Kigali city. Palmerie Development Group company sealed the deal worth $ 68 million.
The houses will...
Sahara ya Magharibi ni eneo la Afrika ya Kaskazini-Magharibi kwenyemwambao wa Bahari Atlantiki upande wa magharibi.
Imepakana na Moroko upande wa kaskazini, Algeria upande wa masharikina...
Wasalaam,
Leo nimesikia kwamba mkurugenzi wa mtandao maarufu sana Wikileaks ambao kwa siku za karibuni umekuwa ukivujisha habari nyingi hapa duniani; hasa za uchaguzi wa Marekani amefariki dunia...
Serikali ya Gambia imetangaza kujitoa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu ICC.
Hatua hiyo imekuja kutokana na madai kuwa ICC hushughulika na Waafrika pekee.
Maamuzi ya kujitoa katika...
Sasa Wazungu wanasema kama nchi za Kiafrika zikijitoa ICC, kuna hatari ya Mahakama hiyo kuvunjwa, sasa swali ni kwa nini? Je, nchi za Afrika tuseme zikijiondoa UN, Je Umoja huo utavunjwa kwa...
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Colin Powell siku ya jumanne ametangaza kumuunga mkono mgombea wa Hillary Clinton.
Kiongozi huyo ambaye amaewahi kuhudumu katika utawala wa...
Wapiga kura watapiga kura Ntarehe 8 Novemba kumchagua rais atakayemrithi Barack Obama wa chama cha Democratic.
Hapa tutakupatia tathmini ya udadisi wa kura za maoni nchini humo, hasa kuhusu...
Saizi tupo karne ambayo dunia inaendelea kwa haraka na watu wengi wanataka vile vile kujua nini kinaenaendelea duniani kwa haraka.
Lakini hili jukwaa naona sehemu nyingi limepoa nakupoteza mvuto...
Kundi moja la waasi Sudan Kusini limewaachia huru watoto 145 waliokuwa wakitumiwa kama wapiganaji.
Watoto hao walikuwa wakitumiwa na vikundi vya Cobra Faction na SPLA ambavyo vimekuwa vikipambana...
BY DAVID DAYEN
October 14, 2016
The most important revelation in the WikiLeaks dump of John Podesta’s emails has nothing to do with Hillary Clinton. The messages go all the way back to 2008, when...
Mtoto mchanga wa kike kutoka Lewisville, Texas, 'amezaliwa' mara mbili baada ya kutolewa katika kizazi cha mama yake kwa dakika 20 ili kufanyiwa upasuaji.
Akiwa miezi minne mja mzito, Margaret...
Good Wednesday morning. Many of you thanked us for making yesterday's newsletter a Trump/Clinton-free offering. Sorry to disappoint today. Here's what you need to know to Get Up to Speed and Out...
Chaguzi zote za Wazungu huwa zinaibiwa au kwa maana nyingine huwa zimeshapangwa na Rais au Kiongozi huwa tayari ameshateuliwa wanachofanya Wananchi ni kutimiza wajibu wao tu, lkn Wazungu wamekuwa...
VITA vinavyoendelea nchini Syria vilivyodumu kwa miaka mitano sasa viko mbioni kuiingiza dunia yetu katika Vita Vikuu vya Tatu vya Dunia. Wakubwa wa Dunia yetu, Marekani na Urusi, wanaonekana...
Huyu mtoto mama yake Margret alihisi uvimbe tumboni mwake mimba ikiwa na miezi Saba alipoenda hospital akapimwa ikagundulika uvimbe kwa mtoto ambae kwa sasa amepewa jina la leanley.
Ilibidi...
Africa remains a key territory on the global map. Rich in oil and natural resources, the continent holds a strategic position.
It is the world's fastest-growing region for foreign direct...
Vladimir Putin ni Rais wa Urusi toka 7th May 2012, kabla ya hapo alishakuwa Waziri Mkuu wa Urusi kati ya mwaka 1999 na 2000 akawa tena Rais wa Russia kuanzia 2000 mpaka 2008, kuanzia 2008 mpaka...
Mdororo wa Uchumi Nigeria umeathiri kampuni ya Dangote Group inayomilikiwa na mtu tajiri zaidi barani Afrika Aliko Dangote.
Kampuni hiyo imeripotiwa kuwafuta kazi wafanyikazi 48 wakiwemo wataalam...
Burundi imepiga marufuku makundi 10 ya kutetea haki za binadamu, huku muungano wa kutetea haki na maslahi ya waandishi habari pia, ukivunjwa.
Hiyo ni hatua ya hivi punde zaidi ya kupambana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.