President Jacob Zuma has sent a message of condolence on behalf of the South African people to the government and people of Tanzania following a deadly earthquake which has resulted in the death...
Ndege mbili za kivita za Marekani zenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia, B-1 Lancer, zimepaa juu ya anga ya Korea Kusini, siku chache baada ya Korea Kaskazini kufanya jaribio la tano la silaha...
Mafuriko makubwa yanayoendelea Korea ya Kaskazini yamepelea takribani watu 133 kupoteza maisha na wengine 395 hawajulikani walipo.
Watu 107,000 hawana makazi.
=====================
Severe...
Korea Kaskazini 'kulipua bomu la nyuklia tena'
12 Septemba 2016
Maafisa wa korea kusini wametahadharisha kwamba huenda Korea Kaskazini ikafanya jaribio jingine la bomu la nyuklia wakati wowote...
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amerudisha pesa zilizotumiwa kukarabati nyumba yake binafasi jinsi ilivyoamriswa na mahakama.
Mwandishi wa BBC mjini Johannesburg anaripoti kuwa msemaji wa wizara...
David Cameron leo amejiuzulu ubunge katika jimbo analoliwakilisha la Whitney.
Hilo ni baada ya kukubali kushindwa katika kura ya maoni katika sakata la Uingereza Kujitoa au kubaki ndani ya Umoja...
Rais mteule wa Zambia, Edgar Lungu na Makamu wa Rais Inonge Wina wameapa leo kulitumikia taifa hilo kwa miaka 5.
===========
Zambia has sworn in President Edgar Lungu amidst protests by the...
Here are 10 of the worst lies that have been peddled by the West regarding Syria, with the aim of giving people living in Western countries an entirely false view of the conflict that has been...
Joe Biden huwa ananifurahisha sana.
Jamaa ni kama mchizi flani hivi.
Hebu ona hilo kumbatio...Hillary kwa kutumia lugha ya mwili anasema kabisa 'Joe imetosha, niachie basi'...
Lakini Joe bado...
Mwanamke mmoja kutoka Ghana ajirusha ghorofani baada ya kugundua mumewe kampa ujauzito mama yake mzazi
=======
A pregnant Ghanaian woman has committed suicide after finding her husband having...
Hillary Clinton not feeling well, leaves 9/11 event early
(CNN)Hillary Clinton left the 9/11 commemoration ceremony Sunday early after she felt overheated and went to her daughter's apartment...
The Anadolu news agency reports that the Turkish authorities have sent tanks to its border with Syria.
The Turkish military has sent 20 more tanks to an armored brigade it has stationed at...
Kituo cha Habari cha Urusi ambao uhusika na uchukuaji picha kimenasa tukio la Kulipuka kwa Volcano huko Kisiwani Reunion hii leo. Reunion inatenganishwa na Zanzibar na Mwambao wa Pwani ya Tanzania...
Nimenununa bidhaa kutoka aliexpress na nikiangalia tracking information zinasema mizigo ishafika Dar . Je ntaipataje au ntapigiwa simu? Nlitumiwa kupitia china post
A city in Ohio says it decided to release a set of graphic photos to drive home the devastating effects of heroin addiction and the toll it takes on families.
The photos show a man and woman...
Wizara ya Ulinzi ya Korea Kaskazini imetangaza kumaliza maandali yake ya kufanya jaribio la sita la kurusha kombora la nyukilia.
Marekani na Korea Kusini wasikitishwa na vitendo vya KOrea...
Serikali yatangaza kuwapunguza kazi jumla ya Watumishi wa Umma 25,000 kwa sababu haina uwezo wa kuwalipa wote mishahara
Pia imetangaza kufuta posho zote kwa wafanyakazi wa umma kwa kipindi cha...
Rais wa Marekani Barack Obama amevunja mkutano wake na Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte, ambaye awali alikuwa amemwita "mwana wa kahaba".
Bw Obama awali alikuwa amesema kwamba angemuuliza...
10- J- 10
.
"
The J-10 adopts a tailless delta-canard aerodynamic layout, which was originally developed for the cancelled J-9 fighter. The aircraft has the horizontal control surfaces...
John W. Hinckley Jr. Aliyejaribu kumuuwa rais Ronald Reagan mwaka 1981 ameachiwa huru.
Mahakama ameamuru aachiwe huru mara baada ya kubaini anamatatizo ya akili, amekaa gerezani kwa miaka 35...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.