Mbunge mmoja nchini Uholanzi amegoma kumpa mkono Waziri Mkuu wa israel Benjamin Netanyahu kama ishara ya kupinga mateso ya wapalestina mashariki ya kati.
Netanyahu yuko Nchini Uholanzi kwenye...
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis ametangaza kwamba Mother Teresa atafanywa mtakatifu Septemba mwaka huu.
Sherehe ya kumtawaza kuwa mtakatifu itafanyika tarehe 4 Septemba.
Njia ya...
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ameomba msamaha kwa kutoa hotuba inayofanana kila neno na ya Obama aliyotoa baada ya kushinda uchaguzi mwaka 2008.
Baadhi ya setensi zilikuwa zinafanana kila kitu...
Army uses helicopters to evacuate 20 soldiers injured in the dawn attack followed by hours-long gunfight
The soldiers’ deaths follows more than two months of clashes between protestors and...
Watu wanne wamefariki na wengi kujeruhiwa kufuatia basi walilokuwa wamepanda wachezaji wa timu ya soka ya South Carolina kupata ajali baada ya basi lao kupasuka tairi.
Baada ya kupasuka tairi...
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kituo cha televisheni cha serikali ya N. Korea , KRT, kinasema mafuriko hayo yaliosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kuwa yaliwahi kulikumba taifa hilo...
Taasisi ya KUpambana na Rushwa nchini Nigeria imezifunga akaunti za Mke wa Rais mstaafu wa Nigeria, Goodluck Jonathan.
Akaunti hizo zilikuwa na kiasi cha shilingi bilioni 64, mke huyo wa Rais...
On the night of February 17, a United Nations base in Malakal, South Sudan, sheltering about 47,000 displaced persons, was engulfed in violence that left at least 30 people dead and much of the...
Ukuda walioifanyia Russia sasa unaelekea ukingoni kwani database Yao wanaume WA kazi wameshaidukua Na wameahidi kumwaga ugali kwa fujo kwani hao the so called World Anti Doping Agency (WADA)...
Takribani watu 25 wameuawa baada ya kutokea shambulio la kujitoa mhanga katika msikiti mmoja.
Mlipuko huo ulitokea katika mkusanyiko wa swala ya ijumaa katika kijiji cha Payee Khan wilaya ya...
BEIJING - In an otherwise nondescript conference room, Wu Jianping stands before a giant wall of frosted glass. He toggles a switch and the glass becomes transparent, looking down on an imposing...
Some of the detainees boarding the police van on Saturday following the arrests. Picture- Reuters
Takribani watu 100 wamekamatwa na Polisi pamoja na wabunge wa Upinzani wanne kufuatia maandamano...
ISIS has marked Eid by hanging dozens of prisoners upside down from meat hooks and 'butchering them like sheep' in a gruesome new execution video.
In one sickening scene, men accused of being US...
Facebook imebatilisha uamuzi wake wa awali wa kufuta moja ya picha mashuhuri ya wakati wa vita vya Vietnam.
Picha hiyo inamuonyesha mtoto msichana aliyekuwa bila nguo akikimbia moto katika kijiji...
Mamlaka nchini Burkina Faso wanamshikilia aliyekuwa waziri mkuu wa taifa hilo kwa mauaji ya waandamanaji waliokuwa wanaupinga utawala wa rais wa za zamani Blaise Compaore.
Rais huyo aliyetawala...
Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte leo amevitaka vikosi vya Marekani vilivyoko nchini humo kuondoka mara moja akidai kuwa wanaweza kumleta balaa la kushambuliwa na magaidi wa ISIS.
Kauli hiyo ya...
Rais wa zamani wa Italia Carlo Azeglio Ziampi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96.
Rais huyo alizaliwa mwaka 1920 na alifanikiwa kuliongoza taifa la Italia kuanzia mwaka 1999 mpaka mwaka...
Mabaki yaliyopatikana Pemba, Tanzania ni ya MH370
Waziri wa uchukuzi wa Malaysia Liow Tiong Lai amesema kupitia taarifa, kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, kwamba baada ya uchunguzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.