International Forum

News and Stories from rest of the World
Kwa mara nyengine tena raisi wa Uturuki ,Tayyib Erdogan amekuja na pendekezo la kupambana na Israel ili kuwatetea wapalestina na kujikinga na hatari za kujitanua kwa Israel kwenye maeneo ya...
4 Reactions
35 Replies
1K Views
Zaidi ya watu 179 wamefariki dunia nchini Vietnam kufuatia maporomoko ya ardhi na mafuriko yaliyosababishwa na kimbunga Yagi. Habari kutoka Vietnam zinasema watu wengine zaidi ya 140 hawajulikani...
0 Reactions
2 Replies
271 Views
Mchungaji wa Ufilipino, Apollo Quiboloy mwenye ushawishi mkubwa na aliyekuwa akisakwa nchini Ufilipino na Marekani kwa tuhuma za biashara ya ngono kwa watoto na usafirishaji haramu wa binadamu...
4 Reactions
2 Replies
437 Views
Privatisation Gone Mad or State Capture! Kenya's privatisation is nothing short of a masterclass in state capture, a system so drenched in corruption that it's impossible to discern where public...
0 Reactions
1 Replies
276 Views
Waziri mkuu wa Taifa Teule Israel ameomba radhi baada ya Mateka 6 kukutwa wamekufa Source: BBC Mlale Unono 🐼
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Kabisa kabisa kama unaamini Tanzania tuna Siasa, Vyama Vya Siasa na Wanasiasa basi wasikilize Trump na Kamala Harris kwenye Mdahalo wao Utajua Hujui Nasubiri mrejesho Ahsanteni Sana 😂😂🔥
1 Reactions
4 Replies
191 Views
Ili nisiwachoshe, naona nibora niwawekee screenshots za cover page na page nyingine mbili ambazo zinafichua 1. BBC ktk taarifa zao waliepuka kutaja kuwa kati ya waliouawa walikuwepo askari wa...
0 Reactions
2 Replies
366 Views
Harris campaign wants a second debate Harris’s campaign has almost immediately called for a second debate against Trump. “Under the bright lights, the American people got to see the choice they...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Tamko la aina hiyo limeshatolewa huko nyuma na makamanda wa jeshi la Marekani na ikaonekana kama ni utani.Kwa mara nyengine limetolewa na kamanda mkuu wa vikosi vya wanamaji wa Marekani eneo la...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Haya sasa piga kura hapo kati ya kamala na trump nani kashinda Mimi hapa naenda na Trump 100% he just COOKED kamala
11 Reactions
49 Replies
3K Views
Ndege isiyokuwa na rubani inayogharimu dola milioni kadhaa za kimarekani imedondoshwa na wanamgambo wa Houth huko Yemen. Taarifa za kuangushwa kwa ndege hiyo ya upelelezi ya MQ-9 reaper bado...
0 Reactions
7 Replies
592 Views
Wanakumbi. Netanyahu alikuwa akitetemeka sana wakati mpiga picha alipogundua, mara moja alijaribu kuwaficha kwenye video . Netanyahu ana kila kitu anapewa misaada ye pesa na silaha kutoka...
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Kwa ufundi na subira za hali ya juu Hamas wameweza kuhimili kipigo kizito cha Israel na washirika wake mpaka umefika mwaka mmoja hapo Septema 7. Uzito wa vita hivyo umeonekana na kila upande...
2 Reactions
34 Replies
930 Views
TRUMP: Anamshutumu Kamala kwa mfumuko wa bei uliopanda maradufu. Anamshutumu Kamala kwa makosa waliofanya kupelekea vifo na uachaji wa silaha za vita kipindi wanaondosha jeshi Afghanistan...
8 Reactions
48 Replies
3K Views
Habari za kijasusi za Marekani kwamba Iran wameisambazia Urusi makombora ya masafa mafupi zitakazotumika katika vita na Ukraine, sasa si siri tena baada ya mbunge wa Iran na mjumbe wa kutunga...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
Marekani ina mabilionea wengi zaidi duniani kwa kiasi kikubwa, zaidi ya mara mbili ya nchi inayofuata kwa juu zaidi duniani-China. Lakini wote wanaishi wapi? Tunapanga idadi ya mabilionea katika...
2 Reactions
19 Replies
942 Views
Mkutano wa Kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika ulimalizika mjini Beijing wiki iliyopita, ambapo wakuu zaidi ya 50 wa nchi au serikali za Afrika walihudhuria mkutano huo, na...
1 Reactions
8 Replies
617 Views
Usiku wa kuamkia leo Jumatano Septemba 11, 2024 wagombea urais wa Marekani, Donald Trump (Republican) na Kamala Harris (Democratic) wamefanya mdahalo wa kutoa hoja zao mbele ya wananchi huku...
1 Reactions
8 Replies
523 Views
Baada ya kufuatilia kwa makini mkutano mkuu wa Democratic na kampeni za Donald Trump nimegundua kwamba Trump hatoweza tena kamwe kuupata uraisi wa Marekani anaoutamani. Historia ya maisha yake ya...
10 Reactions
145 Replies
3K Views
Kuna uzushi mwingi wa vijiweni kwamba raisi wa MAREKANI anapatikana na deep state na kwamba kuna kikundi kidogo cha watu sirini wanamteua raisi. Hii sio kweli. Raisi wa MAREKANI anapatikana kwa...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom