Siku moja tu tangu wanamgambo wa Houth wavurumishe kombora la ballistic katikati ya Israel,mmoja ya wasemaji wao amesema wana makombora ya kutosha ya masafa marefu kuendeleza vita na Israel...
Ryan Wesley Routh: Picha na Reuters.
Shirika la upelelezi la FBI laendelea na uchunguzi wa jaribio la kumuua mgombea wa kiti cha uraisi wa Marekani bwana Donald Trump katika viwanja vya mchezo wa...
Uzuiaji wa makombora ya Iran 110 yaliyofanywa na Israel majuzi imeishtua dunia nzima. Hata hivyo kwa India tukio hili lina umuhimu wa kipekee kabisa kwa kuzingatia ushirikiano kati ya Israel na...
Kwa sisi tunaofutilia siasa za dunia kwa maslahi mapana ya nchi yetu, macho yetu yanaangalia kwa umakini kampeni za urais zinazoendelea Marekani.
Siasa ina mambo mengi. Kuna michezo michafu pia...
Serikali imetangaza kurejea kwa Ugonjwa wa Kipindupindu nchini humo ikiwa ni ndani ya miezi miwili tangu iliporipotiwa kumalizika kwa maambukizi.
George Jobe, Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa...
Mtu mmoja aliyekuwa na silaha amesababisha maafisa wa usalama wa Donald Trump kupiga risasi
Hata hivo walinzi maalumu wa Trump walijibizana Kwa Risasi, haijafahamika mpaka Sasa ikiwa Wamemuua...
Jana matokeo ya uchaguzi yalipotoka ilitangazwa kuwa Nicolás Maduro ameshinda tena kiti cha uraisi nchini Venezuela. Akimshinda mpinzani wake Edmundo González ambaye anaungwa mkono na Marekani...
Wanaukumbi.
Jeshi la Israel limethibitisha kwa mara ya kwanza habari zilizoripotiwa na Channel 12: mateka Ron Sherman, Nick Beizer, na Elia Toledano waliuawa kutokana na mashambulizi ya...
Marekani na Washirika wake wamepeleka zana nyingi mashariki ya kati kwa lengo la kuikinga Israel dhidi ya Makombora toka Iran na Yemeni leo tumeshuhudia Israel imepeta kipigo cha aibu makombora...
BREAKING:
🇾🇪🇮🇱 Yemen ilipiga Tel Aviv kwa kombora
Takriban saa 3 zilizopita, saa 6:30 asubuhi (GMT +3:00), kombora la balistiki lililorushwa na Wahouthi wa Yemen lilipiga Tel Aviv.
Lengo...
Bibi Jacquie anaishi katika kijiji cha Mayeba kilichoko misituni kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Ingawa kijiji hicho kiko karibu na migodi maarufu ya KFM na TFM, ambayo ina...
Hili ni shambulizi kubwa zaidi kufanywa na Kombora na kuleta uharibifu mkubwa hivi.
Hili kombora limeleta maafa makubwa sana upande wa Israel inaripotiwa kuna majeruhi wengi sana na vifo bado...
Yemen yathibitisha ilitumia kombora la hypersonic ambalo ni ngumu kulitungua Waisrael zaidi ya milioni 2 wakimbilia mashimoni
BREAKING:
[emoji1267][emoji1134] Yemen confirmed that they used a...
Tujifunze kidogo kuhusu taifa LA Iraq🇮🇶
Iraq ni taifa lenye history kubwa kuliko matafa mengi duniani
Wanadamu wa kwanza (Adam na Hawa)waliishi hapa katikati ya mito ya Tigris na Euphrates...
Mambo yamekuwa mambo !
Vice Adm. Brad Cooper wa jeshi la wanamaji wa Marekani amesema nchi yake haijawahi kupigana vita vikali vya majini tangu vita vya pili vya dunia kama mwaka huu na wanamgambo...
Askari kadhaa wa Ukraine wameonesha dalili za wazi za kujuta na kulaumu uamuzi wa kupelekwa huko wakati wakianza kuzingirwa na majeshi ya Urusi.
Kwa mujibu wa askari hao ambao hata majina yao...
Ijumaa 13 September 2024
Moroni, Comoros
Rais Azali Assoumani mwenye umri wa miaka 65 amenusurika shambulio la jaribio la kumuua wakati akihudhuria maziko ya kiongozi mkubwa kidini siku ya...
Wakati mwingine nafikiri Israel inaachilia makombora yasiyo na madhara ili inapolalamika inavamiwa jumuiya ya mataifa iwaelewe vizuri
Pia inaachia makombora yasiyo na madhara makubwa ili ikilipa...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Netanyahu to make five-day jaunt to New York for UN speech
By Lazar Berman Follow
Today, 2:32 pm
Prime Minister Benjamin...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Advertisement
Live Update From the Liveblog of Sunday,
September 15, 2024
IDF reportedly tells families it accidentally killed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.