International Forum

News and Stories from rest of the World
Why did Mark Zuckerberg choose now to confess? Monday, September 02, 2024 Consider Mark Zuckerberg’s revelation and its implications for our understanding of the last four years, and what it...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Marekani, baada ya kuinunua Twitter kaanza kuruhusu kuwe na neutral ground kinyume na democrats wanavyotaka mawazo yao peke yao yasikike, hiki chama huwa kinacheza rafu sana, huanza kwa makesi...
0 Reactions
11 Replies
865 Views
Kila baada ya muda fulani nchi ya Marekani huwa inafanya mambo ambayo yanazidi kuishushia hadhi nchi hiyo. Mambo hayo ni yale inayoyapinga kufanywa na wenzake. Inaua sana kila nchi lakini...
4 Reactions
85 Replies
4K Views
Nasikia NATO wamemshauri Zele akimbilie Poland kujificha kunusuru maisha yake.
5 Reactions
47 Replies
3K Views
Yule msemaji asiyechoka wa Hamas aitwaye Abu Ubeida amesema tangu mwezi Juni mwaka huu wamebadili mfumo wa kuwalinda mateka na kutoa maagizo hayo kwa wanaowalinda pindi askari wa Israel...
8 Reactions
42 Replies
2K Views
Mongolia ni landlocked country imepakana na China na Russia pekee. Yote haya mataifa mawili ni nuclear powers na mataifa yenye nguvu kubwa za kijeshi. Ili uweze kuivamia Mongolia na kuiangamiza...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani, Shabani Lukoo amesema, Watu 129 wameuawa wakati wakijaribu kutoroka katika Gereza Kuu la Makala jijini Kinshasa na wengine 59 wakijeruhiwa. Waziri Lukoo ametaja madhara...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
My Take 😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆 Hii ikitekelezwa itakuwa Kali ya mwaka. ========= Maafisa wa Mongolia wamesisitizwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuwa na "wajibu" wa kumkamata Rais wa Urusi...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Chama cha Upinzani cha UTM kimekataa Ripoti ya Uchunguzi wa Ajali ya Ndege iliyosababisha Kifo cha aliyekuwa Makamu wa Rais Saulos Chilima na watu wengine 8. Ripoti hiyo iliyowasilishwa na...
1 Reactions
3 Replies
537 Views
Raisi Paul Kagame leo mchana ameridhia kupandishwa vyeo vya ngazi ya brigedia jenerali na cheo cha kanali kwa maofisa kadhaa wa jeshi la Rwanda. Hatua hii yafuatia hatua ya raisi Kagame kumteua...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Mara kadhaa nimewahi kushiriki na naendelea kushiriki kutoa maoni ya kusuluhisha mgogoro mkongwe na mgumu mno wa Wayahudi na Wapalestina. Kwa ujasiri mkubwa kabisa, nisisitize kuwa nakusudia na...
5 Reactions
33 Replies
799 Views
Ijumaa iliyopita Marekani ilikuwa inaadhimisha kujiondoa rasmi nchini Afghanistan baada ya vita dhidi ya ulichokiita ugaidi vilivyochukua miaka 20. Kuangukia mikononi mwa Taliban kwa mji wa Kabul...
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Najua ni wachache wanaokumbuka tukio hili Hili ni tukio la kuvutia na la kusisimua ndani ya mieleka ya WWE lililopewa jina la "THE BATTLE OF THE BILLIONAIRE`S" Ulikuwa ni mpambano mkali kati ya...
10 Reactions
115 Replies
32K Views
Rwanda ni nchi flan yenye ukubwa wa km za mraba zisizopungua 26330 hivi.. ikiwa na idadi ya watu wasiopungua million 10.. huku mji mkuu ukiwa ni Kigali wenye idadi ya watu kama million 1,288,000...
34 Reactions
122 Replies
5K Views
Kukamatwa kwa Pavel mmiliki wa mtandao wa Telegram pengine kumepelekea mtandao huo kuwa slow sana na wakati mwingine mpaka utumie VPN .Vip inaweza kuwa sababu hiyo ?? Wajuzi wa mambo mtujuze...
10 Reactions
150 Replies
9K Views
Tume ya uchaguzi ya Tunisia imeidhinisha wagombea watatu pekee kugombea katika uchaguzi wa urais mwezi Oktoba 6, 2024, ikipuuza uamuzi wa mahakama wa kuwarejesha wagombea wengine watatu. Wagombea...
0 Reactions
1 Replies
367 Views
Reports: New York is Deploying National Guard troops,not State Guard Troops for Trump sentencing on Sept 18. There are claims that Trump will be lmprisoned on that day,so they fear riots will...
3 Reactions
12 Replies
674 Views
Nyangumi aina ya ‘beluga’ anayeshukiwa kupewa mafunzo ya kijasusi na Urusi amepatikana amefariki katika pwani ya Norway. Mwili wa mnyama huyo - kwa jina la utani Hvaldimir - ulipatikana ukielea...
1 Reactions
2 Replies
495 Views
Yafahamu mataifa 10 barani Afrika yenye uwezo mkubwa wa kijeshi 2024 Chanzo cha picha,Reuters Maelezo ya picha,Wanajeshi walinda amani wakipiga doria Libya 31 Mei 2021 Uwezo wa kijeshi ni muhimu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Yonhap, Watumishi wa zaidi ya Taasisi 50 katika Jimbo la Gyeonggi wataanza jaribio hilo badala ya Siku 5 au 6 za sasa. - Majaribio hayo yanayotarajiwa kuanza...
0 Reactions
1 Replies
719 Views
Back
Top Bottom