Trump aliwahi kufungiwa kwenye mtandao wa X kipindi ukiwa unaitwa Twitter, Akaanizisha platform yake inayoitwa Truth kwasababu kwa kipindi hicho mtandao wa Twitter ulianza kuegemea zaidi maono ya...
Hawa magaidi ya waislamu, Houthi wamekua wakifanya maugaidi ya kidini huko mbali na Israel, walikua wanaonywa mambo yao hayo yaishie huko, juzi walithubutu kufikisha drone moja Israel, wamepokea...
Nimeshawaambia kuwa weatern siyo watu wazuri wakitaka jambo lao lazima litimie. Putin alinifanya mjanja sasa anapumulia mashine. Ukrain wameweza kuingingia nchini mwake na wanateka watu na putin...
Kwa historia, kuna mashujaa wengi wa Kiislamu waliokufa katika vita vya Jihad. Hapa kuna baadhi yao maarufu:
Hamza ibn Abdul-Muttalib - Ami yake Mtume Muhammad na mmoja wa wapiganaji waaminifu...
Chanzo cha picha,Reuters
Maelezo kuhusu taarifa
Ndani kabisa ya mji wa kaskazini mwa Israeli wa Haifa, kuna hospitali kubwa ya chini ya ardhi.
Mamia ya vitanda vimepangwa ndani ya kuta zake za...
Huwa naangalia video jinsi vikosi maalumu vya Kenya Haiti wanavyokomaa mtaani kupambana na magenge ya waarifu huko Haiti.
Wale jamaa ukwaangalia na kiongozi wao Babacue ni watu waliokata tamaa na...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa za muda huu
Tetemeko kubwa la ardhi limezipiga nchi za LEBANON na SYRIA huku maeneo ya kaskazini mwa Israel yakiwa salama
Nchi hizo zote zinatumiwa na magaidi wa...
Ndiyo!
Africa mpaka sasa sifahamu ni nchi gani ambayo viongozi wake wakikohoa, kina Kagame wanakaa kimya
Congo, watu wake wanapata tabu sana kwa vita ambavyo tangu nimekuwa na akili nasikia tu...
Nchi nyingi zilizoshindwa au failed state huwa zina changamoto kama
1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana
2.Dini (vita ya kidini kati ya Waislam na dini zingine kama Ukristu, Uhindu na...
Nikisikia hii kauli najiulizaga WTF?
Labda umesikia kauli kama hizi youtube, kwene website au social media
Lakini ukweli ni kwamba waafrica wengi na viongozi wengi ni kina TIP TIP
Asiejua...
Wadau hamjamboni nyote?
Maonyesho ya kimataifa ya silaha za hatari huko Urusi , Iran yaanika makombora yake hatari yenye uwezo kupiga Hadi kilometers 2,000
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo...
Zaidi ya makanisa 4,000 yamefungwa mwezi uliopita nchini Rwanda kwa kushindwa kufuata kanuni za afya na usalama, ikiwa ni pamoja na kutokuwa na ufunikaji sauti mzuri.
Hii imeathiri hasa makanisa...
Maoni yangu hii vita haitatokea. The fact kwamba wahasimu hawa wawili, wakiwashirikisha Super Power walio upande wao wamefikia hata kuzungumzia silaha za Maangamizi (kunazungumzwa sasa Nuclear)...
Umoja wa Ulaya unafikiria kuyabana makampuni yanayotoa huduma za mitandao ya kijamii kutafuta namna ya kuwabana watumiaji wanoitumia kueneza habari za uzushi na uvumi unao hatarisha usalama wa...
2024 Olympics Medal Count for Middle East & North Africa Countries
[emoji1130] Iran: 12 medals ([emoji1628]3, [emoji1627]6, [emoji1626]3)
[emoji1250] Turkey: 8 medals ([emoji1628]0, [emoji1627]3...
NB: Paschal Mayalla naomba utupe fasiri sahihi ya sentesi hii (Revenge is a dish best served Cold)
Wadau hamjamboni nyote?
Kumekucha Mashariki ya kati
Spika wa bunge la Lebanon na mshirika...
Hiyo hapo juu ni orodha na picha ya Magaidi 19 ya Hamas na Islamic Jihad yaliouwawa na Airstrike ya Jeshi teule tukufu la IDF yakiwa yamejificha shuleni wakidhani yatakuwa salama.
Pia soma: LIVE...
Wadau hamjamboni nyote?
Serikali ya Kiislamu ya Iran imeamua kujipanga kisawasawa
Imefanya uteuzi wa kihistoria Jenerali Aziz amekabidhiwa rasmi kuongoza wizara ya ulinzi ya nchini humo.
Ni...
Wadau hamjamboni nyote?
Jeshi la Israel limepuga marufuku marubani wake wote kusafiri nje ya nchi hiyo kama tahadhari ya maandalizi ya vita dhidi ya Iran, Hezbollah na washirika wao
Agizo hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.