Idadi / population ya warwanda
Wahutu 85 %
Watutsi 14 %
Watwa 1%.
Kwa hisoria fupi, mauaji ya Kimbari 1994 yalianza baada ya waasi wa kitutsi wakiongozwa na Kagame kulipua ndege aliyokuwemo...
Huyu alikuwa ndiye waziri wa fedha na uchumi wa Hamas ambaye pamoja na majukumu mengine kazi yake ilikuwa kitengo cha Hamas cha uzalishaji silaha.
The IDF says it killed Hamas's economy minister...
Ni baadhi ya vitu mbavyo Biden na Harris sambamba na Democrats wamevifanya vitavyomsafishia njia Trump.
Mfumuko wa bei, Maisha yamekuwa ghali zaidi kipindi cha Biden na Harris
Hakuna kitu...
In South Africa, there is a church in which they worship RAPPER LIL'KIM as their GODDESS.
The Church is known as " THE HOLY TEMPLE OF GODDESS LIL'KIM" and it operates in form of a secret...
Agosti 9, 2024, Ndege aina ya
DHC-8-300 yenye usajili 5Y-SMI (Kenya) inayoendeshwa na Renegade Air kupitia WFP UNHAS, ilitengana na tairi zake kuu wakati wa kupaa kutoka Buny Airstrip huko...
Katika hali inayoonyesha kugeuziwa kibao, Russia sasa inahaha kupambana na uvamizi uliofanywa na majeshi ya Ukraine katika ardhi yake.
Jeshi la Urusi limesema "linaendelea kurudisha nyuma"...
Ni mojawapo ya vinu vikubwa vya nyuklia Ulaya kilichokuwepo Ukraine kwa ajili ya kuzalisha umeme, kilichukuliwa na Urusi katika uvamizi wa Ukraine na sasa kipo chini ya himaya ya Urusi.
Urusi ina...
Katika siku mbili hizi tumeshuhudia waingereza waliochoshwa na vitendo vya wahamiaji hasa hasa wale wa kiislam, kujichukulia sheria mkononi na kushambulia maeneo ya waislam.
mfano walianzisha...
Wanaukumbi,
Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.
Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor...
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).
Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na...
Wale wanaojidai kuwa huko marekani kuna uhuru na demokrasia isiyo na mipaka wajifunze kwenye matukio kama haya na waelewe kuwa dola siku zote hutumia maguvu.
========
The FBI and state police...
Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa za muda huu ndege za kijeshi za Israel limetanda na kuzunguka kwa Kasi ya kimbunga juu ya anga la Beirut ambayo ni mjii Mkuu wa Lebanon.
Ndege hizo zimezusha...
Rais wa Marekani Joe Biden amepatikana na COVID-19, Ikulu ya White House ilithibitisha Jumatano, Julai 17.
Biden alikuwa Las Vegas kwa hafla ya kampeni alipoambiwa alikuwa na COVID. Ikulu ya...
Watu wengi wanajua kwamba China ni nchi iliyoendelea. China sio developed country, ni nchi inayoendelea.
Uchumi wa China wa 18 trillion USD GDP ni mdogo ukilinganisha na wingi wa raia wake. Pato...
Chek mambo hayo jamaa tumewaacha mbali sana kiuchumi kweli uchumi wa kati kiboko
GDP yetu ni dola bilioni 50
Wakati yao North Korea ni bilioni 18 tu
Huku kenya wao ikiwa ni bilioni 70
Korea ya...
Inanipa shida kubwa sana kuwatafsiri hawa warabu na washika dini!
Kufa, wanakufa wao, tena dhahiri, peupe pe, macho yanaona, lakini bado watakwambia, ametukosa!
Trampo anasema, nchi...
Biden signs Israel, Ukraine, TikTok bill into law
President Joe Biden signed into law measures to provide aid to Israel, Ukraine and Taiwan, as well as force the divestiture of social media...
Katika mtazamo wa Kiislamu, kufa katika vita vya jihad kunaweza kuwa na faida na hadhi maalum, kulingana na mafundisho ya kidini. Hapa chini ni baadhi ya faida na hadhi zinazohusishwa na kufa...
Habari zenu, katika kufuatilia vita mbalimbali zinazoendelea Duniani kila siku kuanzia ile ya Ukraine na Urusi mpaka hii ya Israel na Hamas, hata tukija hizi vita za Jeshi la kongo na Waasi ni...
Huyo kiongozi wa dini ya uislamu anayeongoza Iran alijitokeza na kusifia sifia Wapalestina kwa wao kujitolea kufa, ila rais wa Palestina amemsuta na kumwambia Wapalestina wameteseka, wamekufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.