International Forum

News and Stories from rest of the World
Komandoo wa Iran wameikamata meli ya Falme za Kiarabu iliyokua inapeleka Mafuta na gas kwenye meli za Kivita za Israel. Wakati huo huo Yemen wamesema watakilipua kisima Cha mafuta Cha Israel...
9 Reactions
47 Replies
2K Views
Ni kazi kubwa sana kupima uwezo wa kijeshi wa nchi, kuna vigezo vingi hutumika na pengine kwa malengo tofauti. Kuna vyanzo ranking huzingatia namba kwamba idadi ya zana na wanajeshi, hii ni rahisi...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Sekunde kabla risasi haijafyatuliwa Trump aligeuza kichwa kuangalia kulia, Risasi iliyolengwa kupenya ndani ya kichwa chake ikamkwaruza sikio, Chupu chupu. PIA SOMA - Marekani: Donald Trump...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Joe Biden aliongea na Waandishi wa Habari baada ya Kikao cha NATO ambapo akijibu swali alimtaja Makamu wa Rais wake, Kamala Harris kama "Makamu wa Rais Trump" Hii ni Saa Moja tuu baada ya...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Wanaukumbi. Mkurugenzi Mtendaji wa Eilat Port: "Operesheni zimesimama kabisa katika Bandari ya Eilat kutokana na meli kushindwa kupita upande wowote kufika bandarini."...
3 Reactions
11 Replies
647 Views
Mwanahabari mmoja wa Italia aitwaye Giulia Cortese ameagizwa kumlipa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Giorgia Meloni fidia ya €5,000 (£4,210) kutokana na machapisho ya mitandao ya kijamii yanayodhihaki...
1 Reactions
21 Replies
679 Views
Eilat na Tel Aviv Inashambuliwa na drone na missile mpaka sasa haijulikani zimetoka wapi na Air defense za Israel zimelala usingizi wa pono 😁😁😁 ⚡️BREAKING: Reports of the Iron Dome's failure to...
15 Reactions
50 Replies
3K Views
Wanaukumbi. MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine...
26 Reactions
362 Replies
13K Views
Hii ni rekodi ya pekee kwa Marekani na ninafikiri wale wanaojihusisha na majaribio ya kutaka kuwaua marais wa Marekani wanaweza kujifunza kitu. Kwamba uwezekano wa kukamatwa au kuuwawa hapo hapo...
1 Reactions
7 Replies
700 Views
Wanajeshi wa Mali watuhumiwa kuchinja magaidi wa jihad ya kiislamu na kuwatafuna nyama, kuna video ilikua inasambaa ila imefutwa.....yaani wote mashetani, binadamu wanafanyiana unyama kuzidi...
11 Reactions
59 Replies
3K Views
Rais wa Marekani mwenye umri mkubwa zaidi katika historia, Joe Biden, hivi karibuni amejiondoa katika kinyang’anyiro cha ugombea Urais nchini humo Amejiondoa kutoka na umri na matatizo ya kiafya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Niaje waungwana Wakuu najua wanaJF wengi wa hili jukwaa la "International forum" watashangazwa na msimamo wangu huu, kwa vile wengi wamezoea kuniona mimi nasimamia ukweli, napinga dhuluma na...
5 Reactions
24 Replies
702 Views
Niaje waungwana, Kusema ukweli kwa hali aliyofikia raisi wa Marekani mhe. Joe Biden, ni vizuri akashauriwa au akajishauri mwenyewe kuacha kugombea uraisi wa Marekani ili apate muda wa kwenda...
15 Reactions
112 Replies
4K Views
Hesabu za kisiasa zimechezwa na Rais aliyetakiwa kutetea kiti chake amejiengua na badala yake amemuunga mkono makamu wake, Kamala Harris kuchukua nafasi yake ya kuwania kiti cha Urais kupitia...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Joe Bide mwenye umri wa miaka 81, alijikanyaga wakati wa mahojiano jana 4/7/2024 Alhamisi na WURD ya Philadelphia, akionekana kujichanganya na Makamu wake Kamala Harris. '.... hata hivyo...
11 Reactions
39 Replies
2K Views
No Biden, Bush or Clinton on presidential tickets for first time since 1976 The three familiar last names in US politics have been candidates for president or vice president in every presidential...
3 Reactions
6 Replies
987 Views
Wanaukumbi. Msemaji wa Jeshi la Yemen "Houthis": Tunatangaza eneo la Yafa "Tel Aviv" kama eneo lisilo salama na litakuwa lengo kuu ndani ya anuwai ya silaha zetu. Shambulio la ndege zisizo na...
12 Reactions
78 Replies
8K Views
As President Biden has just endorsed her for President, here are 14 key things to know about her. 1- Historic Vice President: First female, Black, and South Asian Vice President. 2- Legal...
4 Reactions
4 Replies
466 Views
Spika wa bunge la Marekani anasema watapiga kura kumuondoa Rais mgonjwa kwa mujibu wa katiba baada ya chama chake kumuona ni mgonjwa inamaanisha kuwa hata kumalizia muda sio sahihi Mwanadamu...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Wakati matumizi ya mtandao barani Afrika bado ni ya chini ikilinganishwa na maeneo mengine ya dunia, hatua kubwa zimepigwa katika miaka ya hivi karibuni. Mtandao sasa ni sehemu muhimu ya maisha...
0 Reactions
2 Replies
503 Views
Back
Top Bottom