International Forum

News and Stories from rest of the World
Ndugu jamaa na marafiki nadhani nyie nyote ni mashaidi ya kwamba Dunia hii si salama tena, migogoro ni mingi sana katika hii Dunia, na hii migogoro kwa kiasi kikubwa inasababishwa na ubinafsi...
0 Reactions
2 Replies
282 Views
Russia imeshambulia kwa Kombora la Iskender ghala lilokuwa linatumika kama maficho ya Wanamgambo Ukraine na Magaidi 40 wa NATO waliokua wakitoa mafunzo huko Kharkov.. 🚨🇷🇺🇺🇦A successful Russian...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Tuwaombee ndugu zetu wa taifa teule la Mungu dhidi ya mkono wa ibilisi anayekusudia kuwaangamiza. Tunaamini taifa teule la Mungu litaendelea kudumu likiwa na baraka tele...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
Msafara unasemekana ni mkubwa kuliko ukiwa na maafisa 67 na wachezaji 7 tu! Msafara wenyewe unaongozwa na makamu wa Rais pamoja mke wake! Waafrika weusi akili zetu tunazijua wenyewe.
21 Reactions
37 Replies
2K Views
Yaani ndege zinapaa na kushusha madude na kujiondokea, baadaye mnaanza kulipukiwa, mnatafuta ndege hazipo, zilishapiga. Huwa hazionekani kwa radar yoyote.... na ndio kilichowakuta magaidi wa...
13 Reactions
70 Replies
3K Views
US President Joe Biden has told Americans in a televised address that he decided to end his faltering re-election campaign in a bid to save US democracy. Mr Biden, 81, said he felt his record as...
1 Reactions
4 Replies
745 Views
Haya wametema ukweli wao ISIS wametangaza vita Rasmi na Hamasi. Tukiwambia wakristo hao ISIS ni mafunzo ya kikristo na kiyahudi mnabisha, jioneni sasa wameona Israel kazidiwa wameamua kutangaza...
12 Reactions
98 Replies
3K Views
Kitendo cha Israel kuivamia lebanon utakua ndo mwisho wa hilo taifa.......Linaweza likafutwa kabisa au kunyong'onyea kabisa likabaki dhaifu kabisa milele. Ni kwa muda mrefu wananchi wa Lebanon...
19 Reactions
127 Replies
4K Views
Wadau hamjamboni nyote? Taarifa mbaya ya kuhuzunisha kutokea Kigali Rwanda Pitia taarifa kamili hapo chini;- Last independent journalist in Rwanda, Ntwali John Williams has been eliminated. On...
8 Reactions
60 Replies
4K Views
Dkt. Jeanne d'Arc Mujawamariya asimamishwa katika majukumu yake akisubiri uchunguzi kuhusu masuala ya Uwajibikaji kumalizika Julai 25, 2024, waziri atafikishwa mbele ya bunge kujibu masuala...
0 Reactions
7 Replies
572 Views
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu leo analihutubia bunge la pamoja la Marekani (House of Representatives na Senate), nusu wabunge na maseneta kutoka chama cha Democrats wamesusia na...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
https://youtu.be/CZqDspnuYSk?si=UMrMe0lG0O0PZovA https://www.youtube.com/live/x0IhM-veJIM?si=tkwDLfxodgRbbTWe Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani, Kimberly Cheatle, alikabiliwa na ukosoaji...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Raisi wa Ukraine [emoji1255] V. Zelensky katika mahojiano na BBC kuhusu vita baina yake na Russia amejikuta akitaka kutokwa na machozi pale alipobananishwa na mwandishi wa habari baada ya kutakwa...
12 Reactions
88 Replies
3K Views
Soma Mwenyewe maneno ya Raisi Paul Bia Wa Cameroon
0 Reactions
7 Replies
583 Views
MAMBO 17 YALIYOSABABISHA KUUAWA KWA GADAFFI 1. LIBYA kulikuwa hakuna bili ya umeme, means umeme ulikuwa bure kwa raia wote 2. Libya kulikuwa hakuna Riba kwenye mikopo, Benk zote Libya zilikuwa za...
24 Reactions
71 Replies
4K Views
Mahakama katika Umoja wa Falme za Kiarabu imewapa raia 57 wa Bangladesh kifungo cha muda mrefu kwa kufanya maandamano katika jimbo la Ghuba dhidi ya serikali ya nchi yao. Washtakiwa watatu kati...
1 Reactions
6 Replies
598 Views
Salaam, najiuliza hawa mfano IDF huwa wanajuaje Millitary target zao sababu hayo ni maeneo ya siri, mfano wamepiga vitu kibao Yemen wanajuaje latitude hii au longtide hii kuna ghala la silaha au...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
"It doesn't matter who they put at the top of the ticket," Johnson said. "If Kamala is the nominee, so be it. She is the co-author and the co-owner of the policies of the Biden administration, and...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
U.S Mkurugenzi wa Huduma ya Ulinzi wa Viongozi (Secret Service) Kimberly Cheatle amejiuzulu baada ya shinikizo kutoka kwa wabunge kumtaka ajiuzulu kufuatia kushindwa kudhibiti shambulio la jaribio...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakazi wa Kijiji cha Lincolnshire nchini Uingereza wameanza kupokea maandalizi ya tamasha la ngono litakalofanyika katika makazi ya kijiji hiko. Wageni mbalimbali kutoka pembe za dunia wameanza...
27 Reactions
212 Replies
8K Views
Back
Top Bottom