27 July 2024
London, Uingereza
MAANDAMANO MAKUBWA LONDON 27 JULY 2024
Maandamano makubwa yafanyika na kuhutubiwa na kiongozi Tommy Robinson mwenye siasa za mrengo wa kulia yaani msimamo mkali...
Media ni hatari sana. Zinaweza wachagulia Rais bila nyie kujua.
Huyu jamaa ana nguvu sana baada ya kununua twitter. Inadaiwa kuwa kuna kipindi baada ya kununua twitter alipost tweet yake...
Uchaguzi wa Rais huko Venezuela uko katika hali tete baada ya matokeo yaliyosambaa kutoka katika kituo kikuu cha majumuisho ya kura kuonyesha Rais wa nchi hiyo Nicalas Maduro kushindwa kwa...
Kufuatia matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Rais wa Venezuela Nicolas Maduro maelfu ya wananchi wameyapinga na kuzua vurugu katika jiji la Caracas.
Hasira za umma ziliongezeka baada ya baraza...
SINGAPORE 4th PM
Singapore has chosen its 4th PM.
After 4 years of strict, tedious filtering & performance index review applied on 4 outstanding candidates. Finally, Mr. Lawrence Wong was chosen...
Shirika Kuu la Utangazaji la China (CMG) Jumatatu liliandaa mdahalo kuhusu "Fursa Ulimwenguni katika Kukuza Mageuzi ya China katika Enzi Mpya" jijini Nairobi, nchini Kenya ili kuashiria hitimisho...
Shirika Kuu la Utangazaji la China (CMG) Jumatatu liliandaa mdahalo kuhusu "Fursa Ulimwenguni katika Kukuza Mageuzi ya China katika Enzi Mpya" jijini Nairobi, nchini Kenya ili kuashiria hitimisho...
C-spire kampuni ya mawasiliano ya Marekani imejitoa kuadvertise michezo ya Olympic inayofanywa huko Ufaransa.
Sababu wameitaja kwenye akaunti yao ya X kuwa ni kebehi iliyoonyeshwa na mashoga...
Taasisi za utetezi wanawake nchini Iran zinashinikiza utawala wa nchi hiyo kutowanyonga wanawake wawili wafungwa wa kisiasa waliopewa hukumu ya kifo hivi karibuni.
Katika kile kinachoonekana ni kuchukizwa na kudhalilishwa kwa Yesu katika Ufunguzi wa Olimpiki huko Ufaransa Iran imelaani kitendo hicho na kumuita balozi wa Ufaransa
Hii imefuatiwa na nchi...
Mkuu wa Baraza la Kitaifa la Uchaguzi (CNE), Elvis Amoroso - ambaye ni Mshirika wa karibu wa Maduro amesema kwa 80% ya kura zilizohesabiwa, Rais Maduro alikuwa na 51.20%
Mpinzani wake Mkuu...
Wayahudi 11 wanaripotiwa kufariki dunia katika shambulio lililofanyika katika milima ya Golan.
Hezbollah wamekiri kuhusika katika shambulio hilo.Wayahudi wameapa kulipa kisasi! Allah vs Yahweh...
Kutoka mitandaoni...
TAIFA LA ISRAEL NA UNABII WA SIKU ZA MWISHO.
Na Joshua Ntagala
Taifa la israel ni taifa takatifu la Mungu,
utakatifu wake sio katika matendo ya kiuungu lakini ni takatifu...
26 Jully 2024
Mpumalanga, South Africa
https://m.youtube.com/watch?v=ShyPIO7q3Yk
ARE WE REALLY SAFE AS SOUTH AFRICANS?FOREIGN NATIONALS OCCUPYING OUR MILITARY DEPOTS ILLEGALLYWAS EVEN OUR...
Tangu vita vya Gaza vianze zaidi ya miezi 9 iliyopita Israel ilipata msaada mkubwa kutoka Marekani na Uiengereza kuwazuia wapiganaji wa Houth ambao wameapa kuwaunga mkono wapalestina kwa kuelekeza...
Wanaukumbi.
Familia za wahasiriwa huko Majdal Shams huko Golan huwafukuza mawaziri wa serikali ya Israeli kutoka eneo la mazishi la waliokufa, akiwemo Smotrich baada ya kubainika kuwa kombora...
Huyu ni Hassanal Bolkiah Kiongozi Mkuu wa Brunei (Sultan) Tangu Mwaka 1967. Ni Mmoja wa Matajiri Wakubwa Duniani. Shamba la Mifugo Analolimiliki Huko Australia ni Kubwa Sana Zaidi ya Ukubwa wa...
Short story. Nguvu ya Marekani ipo kwenye dollar yake anbayo ndiyo "sarafu ya dunia." Moja ya sababu inayofanya dollar iendelee kuwa sarafu ya dunia ni kutumika kwake kufanyia biashara ya mafuta...
Nchi ya Saudi Arabia ipongezwe kwa ubunifu wa chanzo kikubwa cha mapato.
Jamaa walioweka vifungu vya kuwataka watu waende Madina na Mecca waliona mbali sana.
Rais Felix Tshisekedi amesema Rais wa Kenya, William Ruto amevuruga mazungumzo ya amani yaliyoanzishwa na Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kati ya Serikali ya DRC na Makundi ya Waasi.
Akizungumza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.