International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Baada ya ombi la kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis kwa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kulegeza sera yake dhidi ya wahamiaji haramu kwamba utekelezwaji wake...
6 Reactions
11 Replies
523 Views
Kinaenda kunuka huko Bunia. Jeshi la Uganda, leo limeingia nchini DRC, kukabiliana na vikundi vya wapiganaji wanaotumia siraha, wanaotekeleza mauaji ya Wahima kutoka Uganda. Huko pia ikumbukwe...
3 Reactions
24 Replies
895 Views
Ukiangalia hiyo chart hapo juu utaona zaidi ya Egypt hakuna nchi nyingine ya Africa iliyonufaika missada ya US kupitia USAID kama nchi za mabara mengine mfanonUlaya. Lakini toka rais Trump asaini...
4 Reactions
16 Replies
763 Views
Lambert MENDE, aliwahi kusema haya: https://x.com/JKapitene/status/1888165972340584920 Mmeuliza kama hakuna haja ya kuzungumza na kukubaliana na M23. Nimesimama hapa na niongee kwa kauli ya...
1 Reactions
7 Replies
375 Views
Watu 15 akiwemo Mtoto, wamejeruhiwa huku baadhi yao wakiwaishwa Hospitali kutokana na majeraha waliyoyapata baada ya Ndege ya Delta ya Nchini Marekani kupata ajali leo kwa kubinuka juu chini...
1 Reactions
17 Replies
596 Views
IDF imethibitisha kufanya shambulio la anga katika mji wa pwani wa Sidon, Lebanon, asubuhi ya leo, na kumuua kamanda mwandamizi wa Hamas. Shabaha ya shambulio hilo, Mohammed Shaheen, alikuwa mkuu...
4 Reactions
13 Replies
845 Views
Wakuu, Muda mfupi baada ya kuwepo kwa taarfa kuwa Bashar Al Assad amekimbia nchi na kwenda kusikojulikana, Rais mteule wa Marekani Donald Trump ametoa tamko Trump amesema kuwa moja ya sabu ya...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu, Kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru Senegal imeanza kusafisha mafuta ghafi ambayo yanazalishwa ndani ya nchi, ikifungua mlango mpya katika sekta ya nishati. Kampuni ya African Refinery...
10 Reactions
27 Replies
828 Views
Mi nataka tu kujua ni Mungu yupi huyo wa kweli anaewatuma watu kwenda kuua watu wengine kinyama. Unaweza kudhania huyu mtu ana tatizo la akili ila ni mhanga wa ITIKADA ZA KITAPELI
10 Reactions
83 Replies
2K Views
Haya Yangu macho Mwamba ametangaza hataki kusikia tena mateka 3-4-8 Anataka mateka wote saa kumi na mbili jioni wawe Tel Aviv Else hataki kusikia Majadiliano yakiendelea Na hamas WAKUBALIANE...
1 Reactions
3 Replies
155 Views
Marekani inawauliza Ulaya kile wanachohitaji kwa dhamana ya usalama ya Ukraine. Kinachoonekana ni kwamba tofauti na wengi tulivyokuwa tunafikiria kwamba Trump ataisalimisha Ukraine kirahisi kwa...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
  • Redirect
11 Reactions
Replies
Views
Kuachana na propaganda zote zinazoendelea kuwa Kagame anasaidia waasi kuiharibu Congo, ukweli ni kwamba Congo is a failed state. Huu ni mwaka 2025, Congo haina mifumo yoyote ya kusaidia kuiongoza...
15 Reactions
95 Replies
3K Views
Meli za Kivita za Jeshi la Wanamaji za Marekani na Russia wafanya mazoezi Pamoja; Uchina, Mataifa ya QUAD Pia Yajiunga na Komodo 2025. Kwa upande wa matukio ambayo yanapinga mivutano na ushindani...
1 Reactions
0 Replies
371 Views
https://x.com/dr_dash250/status/1891461698176811367 Mwa huu una mapya. M23 ikiwa Bukavu,imewaomba wakazi wa maeneo hayo kuhakikisha waliojihusisha na wizi wa mali za watu,wanarudisha kwa usalama...
1 Reactions
3 Replies
298 Views
JUST WATCH THIS! ... they find themselves in a situation where it's no longer the question of 'left or right' but feel like they could be spiraling into FASCISM AND AUTOCRACY through their...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Jamani, vita vya DRC ni kama comedi. Hakika ndo maana watu wengi wameamua kukaa pembeni. Huu ni ujumbe kwa rais wa DRC na wasaidizi wake. Haya hapa mapokezi ya M23 mpakani Kamanyola...
4 Reactions
11 Replies
568 Views
Ilitegemewa kutokana na urafiki mkubwa na ujirani uliopo kati ya China na Russia basi raia Wachina wangejaa kwa wingi zaidi Russia kuliko sehemu nyingine ila hali ni tofauti kabisa. Kuna raia...
0 Reactions
21 Replies
403 Views
Waziri wa Mambo ya nje wa Djibouti Mahamoud Ali Youssouf ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika maarufu (AUC). Katika Uchaguzi ambao ulikuwa nchini Ethiopia Mahamoud...
4 Reactions
159 Replies
7K Views
Watafiti wa China wanasema wanaweza kugundua ndege ya kivita ya F-35 inayotengenezwa Marekani kutoka zaidi ya kilomita 1,800 kwa kutumia moshi wa injini yake. Watafiti wa China wanasema...
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Back
Top Bottom