International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Hamna ukweli wowote kwamba Uingereza mnamo 2050 itakuwa nchi ya kislamu Hakuna ukweli wowote kwamba Ulaya na Marekani wanaugeukia Uislamu kwa wingi Wakristo wana hofu wakisikia hivyo Waislam...
14 Reactions
154 Replies
2K Views
Kipindi akiwa kwenye kampeni za kutafuta Urais mwaka 2024, Rais wa Marekani Donald Trump aliahidi kumaliza mgogoro kati ya Ukraine na Urusi Mwezi takribani mmoja baada ya kuapishwa, tayari...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
15 February 2025 Kivu DR Congo JENERALI SULTANI MAKENGA AJITOKEZA HADHARANI, NA KUSISITIZA NIDHAMU Jenerali Sultani Emmanuel Makenga ajitokeza na kutembelea askari waliotekwa wa jeshi la...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Excerpt: Rwanda has suspended its 2024-2029 development cooperation agreement with Belgium, citing Brussels' push for EU sanctions and economic pressure over alleged support for M23 rebels. This...
0 Reactions
0 Replies
169 Views
Maonesho ya biashara ya Utalii (COTTM) yamemalizika hivi karibuni mjini Beijing, China. Maonesho haya yaliyofunguliwa tarehe 16 na kuendelea hadi tarehe 18 mwezi wa 10, yalitoa jukwaa muhimu la...
1 Reactions
1 Replies
231 Views
M23 Rebels Call for Overthrow of Tshisekedi’s Government The ongoing conflict in the eastern Democratic Republic of Congo (DRC) has escalated significantly as the March 23 Movement (M23)...
0 Reactions
2 Replies
175 Views
Chezea njaa wewe. Njemba zinakomaa lakini cha moto wanakiona. Baada ya Taifa teule la Israel kuruhusu kwa wingi malori yaliyojaa chakula kuingia Gazza Hamas wamefurahi kweli nakuahidi kuachia...
0 Reactions
20 Replies
499 Views
  • Redirect
https://x.com/andrewmwenda/status/1892078764554670497?s=46 Yanayojili huko Uvira, Kivu kusini
0 Reactions
Replies
Views
Maelfu ya wanajeshi wa FARD walioweka silaha chini na kujisalimisha kwa M23, leo hii wamehitimu mafunzo yao ya muda mfupi na kula kiapo kipya. Wanajeshi hao baada ya kukabidhiwa sale mpya za M23...
3 Reactions
8 Replies
389 Views
Wanaukumbi. CAIRO (AP) - Misri inasonga mbele na mpango wa kuijenga upya Gaza bila kuwalazimisha Wapalestina kutoka nje ya eneo hilo kujibu pendekezo la Rais Donald Trump la kuhama eneo hilo ili...
0 Reactions
9 Replies
337 Views
Kwa wale wenye kumbukumbu watakumbuka kile kikosi cha kijeshi cha waasi Sudan kilichokua na jina la Janjaweed wakati wa enzi ya utawala wa el Bashir. Kikosi hiki kilichoundwa na wasudan wenye...
3 Reactions
15 Replies
358 Views
"Moja ya mikutano ya kwanza ninayotaka kufanya ni pamoja na Rais Xi wa China, Rais Putin wa Urusi, na ninataka kusema, tupunguze nusu ya bajeti zetu ya kijeshi na nadhani tutaweza kufanya hivyo."...
18 Reactions
113 Replies
3K Views
Kwa source za ki intelgensia unaambiwa m23 wapo kila sehemu kwa sasa hawategemei struggle kuteka mji kama ilivo mwanzo uko kivu. KWA NN BUKAVU IMEKAMATIKA KIRAISI? m23 wamejipanga na wana...
2 Reactions
6 Replies
477 Views
Hii ilitokea wakiwa wanajadili masuala kadhaa ya biashara Waziri wa Russia wa Kilimo akatolea mfano jinsi Ujerumani inafaidika kwa mauzo ya kitimoto/nguruwe kwa mamilioni ya tani kwenye nchi...
9 Reactions
19 Replies
1K Views
Ok wana jamvi twende kazi KATI YA MAREKANI NA CHINA Naona hapa nchi zote hizo zina moto yani 🔥🔥🔥 Haya wataalamu wa uchumi na kujitafuta na pia wale waliofika au wanaishi katika izo nchi tajwa...
4 Reactions
29 Replies
977 Views
17 February 2025 Bujumbura, Burundi https://m.youtube.com/watch?v=WQg06wGKXV0 Jeshi la polisi laimarisha usalama, na kuendesha operesheni kukamata wageni wasio na vitambulisho Wakati wengine...
1 Reactions
13 Replies
518 Views
Afisa wa Hamas, Taher al-Nunu Hamas amethibitisha kuwa itawaachilia wanawake wanne wa kutoka Israel waliokuwa mateka kwa kubadilishana na wafungwa wa Kipalestina. Hili litakuwa tukio la pili la...
1 Reactions
7 Replies
415 Views
Wiki hii Rais wa marekani ametoa taarifa kuwa ikiwa Hamas haitawaachia mateka wa Israel jumamosi mchana watavunja makubaliano na kuanzia mashambulizi. Hamas imetoa taarifa rasmi kuwa haitafuata...
7 Reactions
54 Replies
1K Views
Ni interview aliyofanyiwa Douglas Murray na Mwandishi wa Habari wa Al Jazeera
2 Reactions
21 Replies
553 Views
Majambazi na wezi wanakwida watu, wanawapukutisha hadharani na kufanya mauaji kiholela sana kama vile hakuna kitu kinaitwa police au magereza.
0 Reactions
12 Replies
279 Views
Back
Top Bottom