International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Wiki ya kwanza tu baada ya kurejea Ikulu, Rais wa Marekani Donald Trump aliharakisha usafirishaji wa shehena ya mabomu 1,800 aina ya MK-84, kila moja likiwa na uzito wa tani moja, mabomu hayo...
7 Reactions
57 Replies
2K Views
Kushabikia Wayahudi au Waislam katika vita hivi ni matokeo ya ujinga wa maarifa. Wayahudi na waislam wote hawamjui Yesu. Wananyozidi kuuana wanaongeza idadi ya watu wa jehanam. Mkristo unatakiwa...
7 Reactions
66 Replies
2K Views
18 February 2025 Katika mahojiano na msemaji wa AFC /M23 Bw. Lawrence Kanyuka amewataka ujumbe wa EAC na SADC watembelee maeneo yaliyokombolewa na waasi Lawrence Kanyuka...
3 Reactions
25 Replies
800 Views
Pichani, ni aliekuwa kiongozi wa kundi la wapiganaji TWIRWANEHO(TUJIRINDE), la wanyamulenge huko Kivu kusini. Ameuwawa akiwa na wenzie wa 5,wanaosemekana kuwa walinzi wake, katika shambulio la...
8 Reactions
12 Replies
881 Views
Taarifa zilizopo, zinasema kwamba, Kanali wa DRC, Mushonda Jacques Mukalayi, aliuwawa jana, tarehe 19 Februari, 2025. Kwa mjibu wa vyanzo,Kanali huyu, ambaye ni Mnyamlenge, aliuliwa akiwa nyumbani...
4 Reactions
6 Replies
485 Views
  • Redirect
Shehe huyu kauawa huko SA kwa kujitangaza hadharan kuwa yeye ni shoga
0 Reactions
Replies
Views
  • Closed
Kwa Tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili.... Muhsin Hendricks, anayetambuliwa kama Imamu wa kwanza kutamka hadharani kuwa mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja duniani, amepigwa risasi na kuuawa karibu...
8 Reactions
100 Replies
3K Views
Msemaji mkuu wa kisiasa wa AFC/M23, Lawrence Kanyuka, ametangaza kwamba, wanajeshi wa Afrika Kusini waliopewa hifadhi katika kambi ya MONUSCO huko Goma, walitakiwa kuwa kwao kwa sasa, kwa sababu...
1 Reactions
5 Replies
411 Views
Umewhi kujiuliza kwenye hio vita ya congo ingekua ni jamii mbili tofauti ndo zinazopiganna yani mfano jamii moja iwe mtu mweus nyingine iwe mzungu au mwarabu mu asia n.k Si kwa chuki, si kwa...
0 Reactions
1 Replies
156 Views
Chama tawala cha Fatah cha Mamlaka ya Palestina (PA) kimepiga marufuku shirika la habari la Al Jazeera lenye makao yake nchini Qatar kufanya kazi katika maeneo ya Judea na Samaria, likilituhumu...
6 Reactions
52 Replies
2K Views
Kuna maoni kutoka wachambuzi wa uchumi wa nchi za Magharibi kama Marekani yakidai kuwa bidhaa za viwandani za China ni za bei rahisi kwa sababu wafanyakazi nchini China hawalipwi vizuri. Na...
14 Reactions
97 Replies
2K Views
Waafrika tuache unafiki na woga, tuchukue hatua sasa kuhusu kile kinachoendelea kule mashariki mwa DRC. Hakuna siri, Rwanda ndio kichocheo kikuu cha vita huko DRC kwa kuwaunga mkono kwa kila kitu...
3 Reactions
15 Replies
501 Views
Uingereza siku ya Jumanne ilitangaza kwamba imemuita Balozi wa Rwanda nchini Uingereza baada majeshi ya Ulinzi ya Rwanda na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda kusonga mbele katika mashariki...
2 Reactions
12 Replies
685 Views
Huko Duniani kote Vita ya Uchumi imepamba moto Wamarekani, Bara la Ulaya, Waarabu, Uchina na hata Urusi wanagombania Rasilimali chache zilizobakia Africa Tuzidi kuwaombea Mkuu wa Rasilimali za...
1 Reactions
19 Replies
831 Views
15 February 2025 Uganda Yatangaza Nia Ya Kuchukua Jimbo la Ituri la DRC CDF Muhoozi Kainerugaba SAT 15 FEB, 2025 12:57 Na Jacobs Seaman Odongo Uganda imekuwa ikifanya operesheni za kijeshi...
9 Reactions
106 Replies
4K Views
Haya mataifa yaliyotengeneza silaha za nuclear walizitengeneza za nini kama hawana mpango wa kuzitumia? Wanakaa nazo kama mapambo tu?! Huwa nasikia baadhi ya wachambuzi wa geopolitics wanasema...
2 Reactions
18 Replies
430 Views
Kituko cha kwanza mazungumzo yanafanyika pasipo wahusika wakuu Ukraine kuwepo katika hayo mazungumzo! Yani ni sawa na umemkamata mgoni anamtafuna mke wako ukazua ugomvi halafu wapatanishi wanakuja...
8 Reactions
29 Replies
1K Views
Jeshi la Kongo lime collapse na Wanamgambo wa Wazalendo wameanza kushambulia jeshi la Kongo huko Uvira. Sasa hivi M23 wanaangalia tu kazi inafanywa na Wazalendo ambao wameshatuhumiwa kwa mauaji...
7 Reactions
66 Replies
2K Views
Back
Top Bottom