The return of TikTok to the United States apparently came at a politically-correct price: Shut down all criticism of Israel.
Users of TikTok have suddenly found the phrase "FREE PALESTINE" is...
Wakiwa kwenye hafla ya chama cha wachezaji NCAA Trump na gavana wa jimbo la Maine Janet Mills wamerushiana maneno baada Trump wakati anahutubia kumuita gavana huyo na kumtaka kutekeleza amri...
Habari zilizopo kwa sasa, ni kwamba baada ya wanajeshi wa Burundi na FARDC kukimbia uwanja wa ndege na kukimbilia mjini Bukavu, yawezekana M23 tayari ilikuwa mjini ikiwachora tu. Tofauti na Goma...
Siwezi mlaumu Trump maana Marekani imemlushia pesa mingi sana Ukraine
KYIV — Utawala wa Trump uko karibu kufikia makubaliano na Ukraine kuhusu upatikanaji wa haki za madini zenye thamani ya mamia...
Wadau hamjamboni nyote?
Mteule huyo aliyekuwa amestaafu ni rubani wa ndege za kijeshi na amewahi kukaimu nafasi ya mkurugenzi Mkuu CIA
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Today, I am...
Wadau hamjamboni nyote?
Jenerali CQ Brown muda wake wa kuhudumu akiwa Mkuu wa.majeshi unaisha mwaka 2027
Ametumbuliwa akiwa kwenye ziara ya kikazi kusini mwa marekani na taarifa amezipata...
Baadhi ya MAGAIDI walioachiwa hivi karibuni kutoka kwenye magereza ya Israel leo waliweza na kufanikiwa kupachika vilipuzi kwenye mabasi 5 ambayo yalikuwa yamepark katika sehemu mbalimbali nchini...
Mheshimiwa Kagame ameitaka SADC (yenye wanachama 16 ikiwamo Afrika Kusini) ikae mbali na DRC maana hayawahusu.
**Kagame anaongea Kama Nani? Msemaji wa DRC?
--
FOLLOWING a recent threat of...
Chuo kikuu kikongwe zaidi duniani ambacho kinaendelea kutoa elimu ni kile kilichopo barani Afrika, nchini Morocco na ambacho kilianza msikitini(masjid) na kuendeshwa kwa mfumo wa madrasa.
Chuo...
Baada ya Viongozi wa Africa kufanya vikao vyao vya kunywa kahawa Dar es Salaam na Zimbabwe huku wakipiga picha kwa mbwembwe bila kuupatia suluhisho la kudumu Mgogoro wa Congo naona wazungu...
Mara baada ya kuapishwa alitishia kuimiki Green Land na mfereji wa Panama huku akiwatishia amani Canada na Mexico zinazopakana na Marekani.
Kwa upande wa Palestina amewatishia amani vibaya...
Trump calls Zelensky a 'dictator' as he hits back at 'disinformation' criticism
Watch live
Advertisement
Summary
Donald Trump launches a fresh attack on Ukrainian President Volodymyr Zelensky...
Trump baba unajua, unajua sana.
Hongera zako! Kaza hivyo hivyo mpaka tuseme!
Mwenye email ya Trump aiweke kwenye comment, kuna jambo nataka nimwambie. 🥱
Uzi tayari!
Pichani, ni magari ya kivita na siraha nzito. Zilitelekezwa na jeshi la Congo, na kwa sasa ni mali ya M23.
Hakika na serikali ya DRC ni mmoja wa wafadhili wakubwa wa M23.
Pamoja na vifaa hivyo...
..
..maiti wamekuwa wengi mno, askari wa vyeo vya chini wanazikwa katika mass graves huko DRC.
..miili ya maofisa inayorudishwa Rwanda ina hali mbaya ya kutisha, familia zinalazimishwa kuzika...
Toka kiongozi mpya wa Marekani aingie madarakani, ameonyesha ulafi wa rasilimali za nchi zingine /
Lakini si kwa namna hii.
----------
The White House says Pres. Trump is "very frustrated" with...
Africa is increasingly becoming a dumping ground for the European Union’s over 200 banned pesticides. Despite being prohibited in Europe, these toxic pesticides are still exported, with 10%of them...
Bado nasimamia kwamba Trump na Netanyahu wamechanganyikiwa kuhusiana na wapalestina na hasa Hamas. Wanapenda na wangetamani vita vingekwisha na kutangaza ushindi.Jambo hilo ni gumu kwa sasa na...
Common sense has finally prevailed. Diplomatic ties restored between the US and Russia
Hal Turner World
Russian President Vladimir Putin has announced the restoration of Diplomatic Ties between...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.