International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Baada ya Canada kujibu vikwazo vya ushuru vilivyoweka na Trump kwa kuongeza kiasi cha ushuru katika umeme wanaoiuzia Marekani Trump amekuwa mbogo akiuliza kwa nini Marekani inanunua umeme kwa nchi...
19 Reactions
47 Replies
2K Views
Serikali ya Marekani imerudisha tena usaidizi wake kwa Ukraine baada ya Ukraine kukubaliana na Marekani juu ya mpango wa usitishaji vita kwa siku 30. Mara baada ya uamuzi huo, misaada mbalimbali...
2 Reactions
9 Replies
691 Views
Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri. Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa...
14 Reactions
199 Replies
4K Views
Ofisi ya Rais wa Ufilipino imeripoti kukamatwa kwa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Rodrigo Duterte, baada ya kupokea ombi kutoka kwa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Duterte alikamatwa...
5 Reactions
48 Replies
2K Views
Kikao cha marais wa nchi za SADC, kimeamua kuondoa majeshi yote ya nchi hizo, kurahisisha upatikanaji wa suruhu la kudumu la amani nchini humo. Wakati huo, kisiwa cha Idjwi tayari kipo mikononi...
1 Reactions
15 Replies
586 Views
Ukiulizwa sababu za China kuendelea na kujitegemea unaweza taja utitiri wa sababu lakini sababu kuu ya China kuendelea ni kuichukia historia nzima wao wanaiita "Century of Humiliation"...
6 Reactions
16 Replies
307 Views
Kwenye ufunguzi wa mkutano wa bunge la umma uliofanyika hapa Beijing, Waziri Mkuu wa China Bw. Li Qiang amewasilisha ripoti ya serikali inayokadiria ongezeko la uchumi wa China kwa mwaka huu kuwa...
1 Reactions
1 Replies
123 Views
Mimi sio mtaalam wa mambo ya mataifa. Lakini ilivuma sana kuwa Russia imewekewa vikwazo ilivyoivamia Ukraine. Kwanza ulaya ilisapoti sananvikwazo na marekani wakapilia msumari. Hadi kufikia...
1 Reactions
19 Replies
718 Views
Marekani yapewa taarifa na Russia dakika 30 kabla, Ukraine na washirika wake washindwa kuizuia. Ina uwezo wa kufika na kuangamiza mahali popote Ulaya nzima. Hakuna mfumo wa kuizuia. Ni...
40 Reactions
167 Replies
9K Views
Pamoja na kwamba mshirika wake,Mmarekani hayuko vizuri kuendelea kumsaidia lakini bado Israel haijachoka kuchokoza majirani zake na bado inajiamini kuwa ina mpango bora wa kupata ushindi dhidi ya...
2 Reactions
25 Replies
705 Views
Viongozi wa ngazi za juu jeshini nchini DRC, waliokimbia Goma na Bukavu, wataanza kujitetea mahakamani kuanzia leo tarehe 13 March 2025 na mahakama kuu ya jeshi. Wanakabiliwa na tuhuma za kuachia...
0 Reactions
3 Replies
236 Views
11 March 2025 Dira Yetu : SEKTA YA MADINI NCHINI RWANDA : Je ni kweli Rwanda Haina M8godi ya Uchimbaji ? https://m.youtube.com/watch?v=T2NW4_-B6-4 Muongoza kipindi ndugu Masantura amewakaribisha...
1 Reactions
0 Replies
128 Views
12 March 2025 A message to President Tshisekedi | Aid | Rwanda's Dignity | President Kagame talks to Mario Nawfal Walitaka nchi ya Rwanda iwe tupu watu wakimbie, tunakumbuka mamilioni ya...
1 Reactions
1 Replies
275 Views
Paul Kagame au unaweza kumuita Paulo Kagame, huyu ni kijana wa Nyerere aliyepikwa kijeshi na kuiva vyema hapa nchini Tanzania, aisee mwamba anajiamini sana unajua kwa nini!! Twende kazi!! Ni rais...
13 Reactions
107 Replies
3K Views
Serikali ya Modi (waziri mkuu wa India) inaweka msingi juu ya maadili ya uondoaji wa dola na kutoa njia kwa dola ya Marekani kustawi. Mwanachama wa BRICS India kwa mara nyingine tena amekataa...
5 Reactions
24 Replies
932 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani la Umoja wa Mataifa (WHO),Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema kuwa Mlipuko wa Mpox si janga la Afrika pekee bali ni la kimataifa katika mkutano wa kamati...
0 Reactions
3 Replies
803 Views
Ukraine imekubali kupitisha pendekezo la Marekani la kusitisha mapigano mara moja kwa siku 30 katika uvamizi unaoendelea wa Russia dhidi ya nchi hiyo ya Ulaya Mashariki, ikisubiri Moscow ikubali...
3 Reactions
14 Replies
629 Views
Taasisi ya Sera ya Mikakati ya Australia (ASPI) sasa inakabiliwa na wasiwasi mkubwa kuhusu bajeti yake, kwani Marekani imesimamisha msaada wa kifedha tangu Donald Trump alipoingia madarakani...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
Hali ya jangwa imekuwa mojawapo ya changamoto kubwa zaidi za kimazingira zinazowakabili wanadamu, kwani inasababisha dhoruba nyingi za mchanga na vumbi, kuhatarisha usalama wa chakula, kufanya...
1 Reactions
2 Replies
91 Views
Katika miaka ya karibuni, China na Afrika zimehimiza ushirikiano wao katika sekta mbalimbali kwa njia ya kiuvumbuzi, mfano ukiwa ni karakana ya Luban, ambayo imekuwa alama ya ushirikiano kati ya...
1 Reactions
1 Replies
74 Views
Back
Top Bottom