International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Sasa hii nayo imetokea usiku wa kuamkia Februari 10, 2025 huko Sri Lanka ambapo wakazi zaidi ya milioni 22 waishio nchini humo wamelala gizani, na yote sababu ya Tumbili mmoja tu. Unaambiwa...
2 Reactions
9 Replies
413 Views
Katika kila tukio kubwa lilowahi kutokea Duniani kuna watu wengu wanaoamini conspiracies mbalimbali kuhusu hilo tukio kinyume na historia inayoaminiwa na wengi. Mfano kuna watu wanaamini mauaji...
2 Reactions
6 Replies
200 Views
Habari wana jamvi , imekua ndoto yangu ya muda mrefu kutaka kusogea mbele kidogo na kubadilisha upepo wa bongo kutokana na factors nyingi tu ikiwemo ugumu wa maisha pamoja na uvunjifu wa...
5 Reactions
32 Replies
8K Views
Watawapokea Wapalestina wa Gaza Wa kwanza ni Abdel Fattah El-Sisi, rais wa Misri, na wa pili ni Abdullah II, mfalme wa Jordan Hawa jamaa ni pro west na pro Israeli. Walipokea misaada ya kutosha...
9 Reactions
108 Replies
2K Views
Rais wa Ghana, John Mahama ametangaza marufuku ya safari za Ndege za daraja la kwanza kwa Maafisa wa Serikali wakiwemo Mawaziri ikiwa ni sehemu ya juhudi za kupunguza matumizi ya Serikali...
0 Reactions
5 Replies
217 Views
Elon Musk ametaka kufungwa kwa Radio Free Europe/Radio Liberty (RFE/RL) na Voice of America (VOA), vyombo viwili vya habari vinavyofadhiliwa na serikali ya Marekani, akidai kuwa havina umuhimu...
12 Reactions
87 Replies
3K Views
Anaitwa Ian Kagame (Luteni Usu) Mtoto wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kwa sasa rasmi amejiunga na kikosi cha Ulinzi wa Rais wa Nchi hiyo (PSU). Hivi karibuni (mwishoni mwa Mwaka 2022) Ian...
18 Reactions
67 Replies
6K Views
I have been wondering what is going on in the minds of many people,even here in JF.You wonder whether these people are normal.The rationale of their arguments was far from having a human touch,it...
0 Reactions
1 Replies
147 Views
Wanakumbi. Vikwazo vya mara moja kwa Malema na kutangazwa kwake kama mhalifu wa kimataifa! Elon Musk. Majibu ya Julius Sello Malema. Nadhani umepoteza kabisa ubongo wako wa kushoto: shujaa wa...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Wanajeshi 75 wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wanapandishwa kizimbani leo Februari 10, 2025 wakituhumiwa kukimbia mapigano baina ya vikosi vya Serikali na waasi wa M23. Taarifa...
3 Reactions
14 Replies
669 Views
Mamia ya askari wa Rwanda waliokuwa wakipigana bega Kwa bega na waasibwa M23, wamefariki dunia Kwa kipindi Cha mwezi mmoja wa mapigano ya kuuteka mji wa Goma. Taarifa za ndani zinasema askari...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Wanaukumbi. All three Israeli captives were starved because of Israel. Israel controls the borders and the aid going in. It is Israel that imposed starvation on Gaza as a whole. The irony is...
7 Reactions
101 Replies
2K Views
Burkina Faso iliyo chini ya utawala wa kijeshi wa Kapteni Ibrahim Traore imeanzisha utaratibu wa kurusha live kesi zote zinazohusu ubadhirifu wa fedha za umma. Utaratibu huo umeanza mwezi Novemba...
1 Reactions
25 Replies
783 Views
Mjasiriamali bilionea Elon Musk ameibua mvutano mpya na kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), Julius Malema, akipendekeza kwamba Malema atangazwe kuwa mhalifu wa kimataifa...
1 Reactions
1 Replies
301 Views
Baada ya sintofahamu iliyotokea kuhusiana na usafirishaji za maiti za wanajeshi wa Afrika Kusini waliokufa wakipigana na kundi la waasi la M23, hatimae wamesafilishwa kupitia Rwanda. Kamati ya...
3 Reactions
66 Replies
2K Views
Hizi Nchi za Kusini mwa Afrika thnazoambiwaga ni tajiri na zimeendelea zinaonekana Zina hali ngumu sana ya maisha on grounds. Haiwezekani Nchi Tajiri wa Madini kama Namibia imeshindwa kutafuta...
2 Reactions
45 Replies
1K Views
Ohad Ben Ami, 56 ni miongoni mwa mateka walioachiwa huru na Hamas ili kubadilishana na wafungwa wa kipalestina amesema wazi wazi. “I say to the families of the captives, go out and demonstrate and...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
Kufuatia Bilionea Elon Musk mwenye uraia wa Afrika Kusini na Marekani kutaka Kamanda mkuu wa chama cha EFF Bw. Julius Malema atajwe kama mhalifu wa kimataifa, chama chake cha EFF kimetoa kauli...
4 Reactions
9 Replies
615 Views
Katika ligi nyingi za michezo za Kimarekani, kama MLB Major League Baseball, NBA National Basketball Association, na NFL National Football League, timu zinazoshindana na wachezaji wake huitwa...
1 Reactions
8 Replies
276 Views
USAID is officially dead. Elon Musk alisema USAID ni shirika la kihalifu na linapaswa kufa Kwa taarifa hii ni wazi kwamba kauli yake imetekelezwa Je ndugu zangu nini itakuwa athari kwa Afrika...
22 Reactions
249 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…