International Forum

News and Stories from rest of the World
Kwema Wakuu! Vita inayoendelea huko Israel Vs Palestina (Hamas) inadhihirisha kuwa namna bora ya kukabiliana na Magaidi ni kutumia mbinu zao wenyewe, yaani kuwafanyia ugaidi mara mbili. Kwa...
7 Reactions
181 Replies
4K Views
Katika video inayosambaa mtandaoni inamuonesha waziri mkuu wa Israel, Netanyahu akiwashutumu waislamu kwa kumshawishi Adolf Hitler kuwauwa na kutaka kutokomeza taifa hilo. Adolf Hitler aliacha...
7 Reactions
59 Replies
3K Views
Lakini wanatumia akili wapo makini, hawaingii kichwa kichwa kama Warusi walivyofanya Kyiv na kuangukia pua, hawa wanaingia kiaina yaani kikomando, na mpaka sasa wako Gaza ndani wanasukumiza...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Watu 32 wamefariki na wengine 63 kujeruhiwa leo, katika ajali iliyohusisha basi la abiria na magari kadhaa kugongana na baadhi kuwaka moto katika mkoa wa Beheira nchini Misri kwenye barabara ya...
0 Reactions
1 Replies
571 Views
Mahakama ya Qatar imetoa hukumu ya kifo kwa raia nane wa India ambao ni wafanyakazi katika Kampuni ya Al Dahra Nchini Qatar baada ya kukutwa na hatia ya kufanya ujasusi. Maafisa hao walikamatwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwanaharakati anayetetea matumizi sahihi ya bangi, Whoopi Goldberg aliyefahamika kupitia Filamu ya Sarafina amebuni bidhaa hiyo ili kuwaokoa Wanawake Akihojiwa na New York Times, Whoopi mwenye...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
week kadhaa zilizopita tulikuwa tunashangalia humu kuwa wameuawa waisreli wengi sana huko Israel .mimi nilisikitishwa na sherehe hizo ni kasema...
0 Reactions
11 Replies
718 Views
[emoji1134][emoji1096] Sources to Al-Mayadeen: The attack targeted the highest peak of Mount Amba Suir, from which Israeli forces take an observation post in the Red Sea. Israeli forces are...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Shabiki wa Liverpool amelalamika mtandaoni kwa kitendo cha kuondolewa uwanjani kwa sababu ya kuvaa koti Lenye ujumbe wa "Free Palestine". Shabiki huyo aliondolewa uwanjani na vyombo vya usalama...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Watu wawili wameuawa katika maandamano nchini Msumbuji ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa mitaa. Shirika lisilo la kiserikali la Centre for Public Integrity - CIP limesema polisi waliwafyatulia...
2 Reactions
3 Replies
687 Views
Buriani kwa sisi waswahili ni maneno ya mwisho ya mtu ambaye amejiona yuko hatua za mwisho kufa na kuiacha dunia. Salamu kama hizo leo zimetolewa kwa wingi kwenye mitandao ya kijamii kama tiktok...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Kwa sauti moja hapo jana baraza kuu la umoja wa mataifa lilipitisha azimia likitaka vita visitishwe kwa muda ili kutoa fursa ya majadiliano na kuwezesha misaada kuingia Gaza. Kinyume chake taifa...
11 Reactions
72 Replies
3K Views
Baada ya mfululizo wa mashambulizi kwenye kambi zake huko Syria na Iraq Marekani imeamua kuondoa Wanamgambo wake Iraq na kuwapeleka Denmark === More than 40 American soldiers depart from Baghdad...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Leo karibu misikiti yote duniani kulikuwa na hotuba ya kuwalaani Mayahudi na kuwaombea dua na kuwapongeza Palestina kwa hatua yao ya kuilinda ardhi yao na kuilinda ardhi tukufu ya waislam...
8 Reactions
93 Replies
3K Views
Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Boris Johnson amejiunga na kituo cha televisheni cha ‘GB News’ kilichopo jijini London, Uingereza. BBC imeripoti kuwa Johnson, ambaye alijiuzulu ubunge mapema...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
-AL Jazeera correspondant Wael Dahdouh's wife, daughter and son we're killed when Israel bombed Gaza - Dahdouh had sent his family to AL CAMP for their safety before they used to live in Gaza...
2 Reactions
78 Replies
3K Views
Kama kuna jamii ya watu wa ajabu ni Waafrica, ukitizama mitandaoni utaona namna gani watu wako busy kuitetea Izrael na Palestina, watu wanakosa usingizi kutetea SLAVE MASTER wao. Kwa kifupi kama...
10 Reactions
36 Replies
1K Views
Kitendo cha kuigawia uhuru wa dola nchi ya ISRAEL mwaka 1948 haikuwa sahihi na huenda ilikuwa ni mpango mkakati wa kuivuruga amani pamoja na uchumi wa dunia hii inatokana kuwapo na histosia kubwa...
1 Reactions
9 Replies
899 Views
yule mjeda aliepita muda mwingi alikuwa anabadilisha mahospitali tu kwa umri mrefu na hadi ameondoka hata upande huu haujui maana hajawahi kukatiza huku. huyu wa sasa siku wanamwapishwa alikuwa...
5 Reactions
9 Replies
520 Views
Tembea uone na kuishi kwingi ni kuona mengi: Clip hii inajieleza. Demokrasia ipi au haki zipi za bindamu Marekani au Ulaya magharibi watamwambia nani wapi? Undumila kuwili wao unawapa sana...
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Back
Top Bottom