Mnaokesha humu kushabikia HAMAS huwa mnatumia vigezo gani kando na dini, nini kingine kinachowapa hamasa ya kushabikia maovu yao, wameteka watu wa mataifa mbali mbali wasiohusiana na ugomvi wa...
Palestina kuna makundi mawili yenye nguvu yanayoongoza Palestina.Moja ni la Raisi wa Sasa wa Palestina Mohamood Abbas ambaye ana jeshi lake la Palestine Liberation Amry ambalo ni muunganiko.wa...
Mfumo huu ambao unaaminika kuwa bora na wenye ufanisi mkubwa katika siku za hivi karibuni umeonyesha shaka. Mfumo huu ulibuniwa na kampuni ya kizawa Rafael advanced system
1: Hamas waliporusha...
Aidha tatizo ni kutoelewa kingereza au nini haswa, wengi wameelewa kwamba ile kura iliyopigwa kusitisha vita ili kuruhusu misaada iwafikie wahanga, kwamba hiyo ina maana wameunga mkono Palestine...
Kwa mujibu wa kesi hiyo inadaiwa kwamba Meta ilihusika katika 'mpango wa kutumia watumiaji watoto wa mitandao hiyo kwa faida' kwa kuwadanganya kuhusu vipengele vya usalama na upatikanaji wa...
Njia pekee ya Israel kujilinda kwa sasa ni kutoa DOZI
Nakumbuka siku ya kwanza Israel ilipovamiwa, Hamas waliitwa kila aina ya majina ya kishujaa na shangwe zilipigwa sana kiasi kwamba watu hawa...
Habari ya hivi punde Israel inapigwa Makombora toka Yemen.
Al Jazeera reporter Wael al-Dahduh:
“We are not all right, body parts are everywhere, missiles are aimed at everyone, and the bombing...
Rais Donald Trump ametangaza kwamba kiongozi aliyekuwa akijificha wa kundi la Islamic State , Abu Bakr al Baghdad alijiuwa mwenyewe wakati wa uvamizi wa kikosi maalum cha Marekani nchini Syria...
Hali ndani ya Gaza imeelezwa kuwa ni balaa na machafuko huku majeshi ya Israel yakiwa yameingia kikamilifu eneo hilo na askari wa IDF wakipigana na watu mpaka kwenye kambi za wakimbizi.
Katika...
Waziri Mkuu wa Slovakia Robert Fico aliwaambia waandishi wa habari siku ya Ijumaa kufuatia mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels, na kuzua shaka kuhusu ufadhili wa umoja huo kwa Kiev...
pic.twitter.com/jOodYoS7vb
30 tanks and armoured destroyed many killed the u s israel censoring the news. Biden now has recommended a type of ceasefire
[emoji777][emoji777]The humiliating defeat...
Jarida lathibitisha: Vikosi maalumu vya Marekani vinapigana bega kwa bega na Wazayuni katika vita vya Gaza
Oct 29, 2023 03:00 UTC
Jarida la Marekani linalohusika na masuala ya kijeshi...
Muslims in Dagestan captured an “Israeli” a while ago, in response to the Israel's Government actions in Gaza Palestine.
People now hate every Israeli just because of the wrong policies of Netanyahu.
Vizuizi vya EU havifanyi kazi, Waziri wa Mambo ya nje Peter Szijjarto alisema
Budapest haitaunga mkono awamu inayofuata ya vikwazo vya Brussels dhidi ya Moscow ikiwa ni pamoja na hatua dhidi ya...
https://twitter.com/BBCAfrica/status/1718621781681225871?t=WUh4HXG5Uesi2sl0WRcEUw&s=19
Huyu bwana wa Zambia amekuwa na maigizo mengi Ili aendelee kusalia na rating aliyokuwa nayo kabla ya kuwa...
Waziri wa mambo ya nje wa Misri amesema vikwazo vya Israel ikiwwemo upekuzi ndicho kinachopelekea kutokuingia misaada Gaza kama inavyotakiwa. kupitia kituo cha Rafah
Katika malalamiko yake amesema...
Wapalestina wa buza na kitambaa cheupe mna habari?
Taarifa ni kuwa Jordan, Egypt, Syria, Lebanon, Iraq, Saudi Arabia and Kuwait wamekataa kuwapokea wakimbizi wa palestine.
Kumbukeni nchi hizi ni...
Ukiona hijab (wakiristo huita ushungi) usiumie utaingia prseha
1. Halimah.
Halimah Yacob (born 23 August 1954) is a Singaporean former politician and lawyer who served as the eighth president of...
Kitendo cha HAMAS kuvamia Israel na kuua baadhi ya Raia, kumimina risasi uraiani, na kuteka watu ikiwemo watanzania wawili, icho tayari ni kitendo cha Kigaidi (Terrorism Act), rejea maana ya neno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.