International Forum

News and Stories from rest of the World
Ukraine waanza kula viapo vya mapigano ambayo yatarejesha ardhi yao....
4 Reactions
1 Replies
1K Views
Tokea mwaka 1958 sudan yameshatokea majaribio almost 36 ya kupindua serekali kwa lugha nyepesi sudan ni moja ya nchi ngumu sana kuiongoza afrika Mwanzon wa miaka ya 2000 kulikua na vuguvugu la...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Wala sina mengi, ni kama unamkata mtu na panga alafu lile panga linakurudia. Ujerumani lazima waamke.
11 Reactions
23 Replies
2K Views
Tofauti na wengine wanavyofikiri, ni vigumu sana kwa kombora la Hypersonic (Kinzhal) kuharibu kabisa mfumo wa ulinzi wa anga kama Patriot Air Defense System. Mfumo huu wa ulinzi wa anga kwa namna...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Mifumo ya ulinzi wa anga Kyiv ipo imara sana, yaani drones za Iran na hypersonic za Warusi zimekua kama toy... Yaani usiku wa kuamkia leo zaidi ya drones 40 zimepigwa chini.... Ukraine's capital...
4 Reactions
11 Replies
931 Views
Katika miaka 12 iliyopita Uingereza imejiingiza kijeshi kwa siri katika nchi 19 duniani Matokeo ya utafiti mmoja uliofanywa yameonyesha kuwa vikosi maalumu vya Uingereza vilihusika katika...
1 Reactions
3 Replies
810 Views
Marekani ametimiza malengo yake kwa Ulaya ila amefeli kwa Urusi. 1. Lengo la Marekani lilikuwa kumshusha kiuchumi Ujerumani. Ikumbukwe kuwa Ujerumani ndilo taifa lililokuwa na uchumi imara barani...
17 Reactions
22 Replies
2K Views
Mei 29, 2023, Taifa la #Nigeria, lenye utajiri wa Dola Bilioni 441 GDP na idadi kubwa ya Watu Barani #Afrika (Milioni 223), litashuhudia kuapishwa kwa Rais Mpya, #BolaTinubu na Makamu wake...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
"Debt ceiling" ni mjadala fikirishi. America kama ipo kwenye anguko la kiuchumi vilee.., na pia wapo kama vilee kwenye kubana mzunguko wa dollar yao kutishia uchumi wa dunia kuanguka kama mbinu ya...
5 Reactions
77 Replies
4K Views
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta. Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD) Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika...
15 Reactions
53 Replies
4K Views
Sisi kama binadamu ni vyema tukajuliana hali na kuweka utu mbele. Ni karibia wiki 3 sasa huyu mwamba haonekani hadharani. Kuna tetesi zinasema jamaa kaenda na maji au kadhurika vibaya sana baada...
6 Reactions
50 Replies
3K Views
Mkusanyiko wa mamilioni ya watu wa Iran; kufukuzwa wafanya ghasia na Umma wa Mtume Mtukufu (saw) ======== Wananchi wa mikoa tofauti ya Iran siku ya Jumapili, ambayo ilisadifiana na siku ya...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Baada ya tathmini ya mashambulizi makubwa zaidi ya makombora tangu vita ianze juzi nchini Ukraine, msemaji wa jeshi la anga la Ukraine anasema Patriot zizotumika katika pambano hilo dhidi ya...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Viongozi wa G7 naona wameamua kujibatiza kama viongozi wa dunia!! Vyombo vya habari vya magharibi viko mstari wa mbele kuwatangaza kama viongozi wa dunia. Watu husema kuwa uongo ukisemwa sana, na...
9 Reactions
120 Replies
6K Views
Marekani yasikitika kuwa the US Patriot missile defence system iliyopelekwa Ukraine kulinda anga la Zelensky, imeharibiwa vibaya mno na makombora ya Hypersoniki ya Urusi (Kinzhal Hypersonic...
13 Reactions
125 Replies
9K Views
Ukraine waendelea na ujasiri wa kuanza kupiga ndani ya Urusi moja kwa moja...... Russia’s southern Belgorod region bordering Ukraine came under attack from Ukrainian artillery fire, mortar shells...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Kiongozi wa chama cha EFF cha Afrika Kusini: Russia inapambana na ubeberu, nitaipa silaha Kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), chama cha tatu kwa ukubwa cha kisiasa nchini...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mohammed bin Salman wa Saudia akataa kukutana na Netanyahu Duru za kidiplomasia za kigeni zinasema kuwa hakuna maendeleo yoyote katika kuanzishwa uhusiano wa kawaida wa kidiplomasia kati ya...
1 Reactions
3 Replies
687 Views
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama Tawala cha African National Congress (ANC) cha #AfrikaKusini, Fikile Mbalula ambaye ametaja sababu kuwa ni kukatika kwa Umeme kunakotishia kuzorotesha...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Kwenye kampeni ya kuomba kuchaguliwa kuwa rais Zelensky alisema hivi: “Our first priority is a ceasefire [in Kiev’s war with the Donbass]…I would not hesitate to lose my position for the sake of...
10 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom