Hawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga...
Ndugu zetu waislamu wa Kaskazini mwa Nigeria wamekataza mtu yeyote kuonekana anakula mchana. Kama ikionekana unakula 'SHARIA POLICE' watakushughulikia hadharani.
Bado naendelea kuamini Ujio wa...
Chama cha EFF ambacho kiongozi wake ni Julius Malema kinachukuliwa na wengi kuwa ndio chama cha 'ukombozi' wa mtu mweusi kimetoa tamko kulaani sheria ya dhidi ya ushoga iliyopitishwa na Bunge la...
Georgia Meloni, Waziri mkuu wa Italia, mwanamama machachari wa mrengo wa mkali wa kulia amewashukia vikali wapinzani wake wanaotaka serikali ya Italia iache kupeleka silaha na misaada mingine ya...
Mwanzo aliwatisha wale watakaoisaidia Ukraine kwenye vita kua watakiona cha mtema kuni na atawageuza kuni, ila mpaka leo yupo kimya na Ukraine inasaidiwa mpaka na majirani zake kama Poland...
Hivi karibuni Marekani ilitoa “Ripoti ya Haki za Kibinadamu katika Nchi mbalimbali Duniani”, na kulaani baadhi ya nchi kwa kutofanya vizuri katika kulinda haki za binadamu. Marekani hutoa ripoti...
Korea Kaskazini imesema imefanya jaribio la ndege isiyoendeshwa na rubani yenye uwezo wa kubeba vichwa vya nyuklia na kushambulia ikiwa chini ya maji.
Shirika la habari la nchi hiyo, KCNA...
Kazi iendelee wanajukwaa..
Dunia inazidi kushudia wimbi la Wanawake kishika hatamu za Uongozi..
Zamu hii ni Georgia Meloni aliyeshinda Uchaguzi wa Italy na atakuwa Waziri Mkuu wa Kwanza Mwanamke...
Monday, October 03, 2022
Brand-new Italian Prime Minister Giorgia Meloni has put the globalist elite on notice during a fiery speech following her election victory Sunday in which she said she...
INDIA is very close nation partner in international relations, is super power in digital economy digital skills and digital technology multlatery is fighter wounded and lying in the ground...
Picha: Jean petter bemba
Jean Petter Bemba ameteuliwa kuwa mkuu wa majeshi na felix tshisekedi
Jean Pierre bemba Kabla hajateuliwa Alikuwa na nia ya kugombea urais...
Taratibu hiyo Crimea mtaitema tu, wizi wa ardhi ya watu ni laana.
An explosion in the north of occupied Crimea has destroyed Russian missiles being transported by rail, Ukraine's defence ministry...
Serikali ya Marekani kupitia Wizara ya Ulinzi, Pentagon, imesema kuwa itahamisha ndege vita mpya kutoka Mashariki ya Kati na kuzipeleka Ulaya na Asia, huku Zile za zamani zikipelekwa Mashariki ya...
Mahakama ya Rufani nchini Nigeria imetoa ruhusa kwa mgombea wa chama kiloshindwa cha Labour bwana Peter Obi kupinga matokeo ya uchaguzi ambapo ulimpa ushindi mgombea wa chama cha APC bwana Bola...
Mchawi mpe mwanao akulele, ndivyo unaweza kusema baada ya Rais wa Congo , Felix Tshesekedi, kumteua aliewahi kuwa kiongozi wa waasi bwana Jean Pierre Bemba kuwa waziri wa ulinzi.Hii tafsiri yake...
Wataalamu wametahadharisha kwamba ubora wa mbegu za kiume miongoni mwa wanadamu umekuwa ushuka pakubwa, na kuathiri uzazi.
Hili linasababishwa sana na kula vyakula vya kisasa vyenye mafuta mengi...
Walioteuliwa ni pamoja na Jean-Pierre Bemba aliyewahi kuwa Makamu wa Rais kwenye Serikali ya #JosephKabila na kiongozi wa Waasi kuwa Waziri wa Ulinzi. Bemba aliwahi kushikiliwa na Mahakama ya...
Benki na taasisi za fedha barani Ulaya na Marekani zimeanza kuguswa na mtikisiko wa uchumi ambao unazikumba benki kadha mfano Uingereza na Uswisi nchini Uingereza benki zimeamua kuongeza kiwango...
Wadau ninaleta kwenu orodha ya nchi kumi 10 zenye furaha Afrika kwa mujibu wa jaribu moja la umoja wa mataifa linalojihusisha na mtandao wa maendeleo endelevu duniani Congo wamo naileta orodha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.