International Forum

News and Stories from rest of the World
Maandamano yanaendelea Iran ya kupinga dhuluma za dini ya kiislamu, huku serikali ikiua wananchi, ila wakuu wa nchi wanalaumu Israel kwa yale yanayoendelea... ===================== "Various...
0 Reactions
3 Replies
594 Views
Dakika 12 zilizopita Urusi imefanya shambulizi katika mji mkuu wa Ukraine Kyiv, huku milipuko ikisikika na moshi ukionekana kupaa angani. Majengo mawili ya makazi katika wilaya ya kati ya...
6 Reactions
142 Replies
6K Views
Sio pro Russia wa Kibongo tu hata Warusi wenyewe baada ya Mobilisation kutangazwa tumeshuhudia jamaa walivyokanyagana kwa kukimbilia nchi za watu Georgia tu imewapokea Warusi Laki 7 waliokimbia...
7 Reactions
19 Replies
920 Views
Mapema leo Asubuhi chama cha Repulican Kimefanikiwa Kushinda wingi wa viti katika Bunge la Congress na sasa Ni wazi Kwamba wana nafasi ya Kupendekeza na Kumchagua Spika wa Bunge. Ni wazi kwamba...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Kutoka nchini Zambia, mwanaume mmoja amerudi nyumbani kwake na kumfumania mke wake wa ndoa akiwa chumbani na mwanaume mwingine. Mwanamke huyo ambaye ni mjamzito alikuwa akivunja amri ya sita na...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Spika wa 52 wa Baraza la Wawakilishi na mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo akiwa kiongozi wa chama cha Democratic kwa miaka 19, ametangaza hatua hiyo baada ya kuhudumu kama Spika mara 2 kwa...
2 Reactions
4 Replies
942 Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa Ndola huko Zambia amemuua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula. Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja...
9 Reactions
867 Replies
32K Views
Sehemu ya eneo la Hospitali ya Colchester ilifungwa kwa muda kutokana na mgonjwa kuonekana ana dalili za awali za ugonjwa huo huku akiwa na historia ya kutembelea Bara la Afrika. Inaelezwa...
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Baada ya kombora kuanguka Poland dunia nzima ilikua kwenye kihoro, kila mtu alikaa standby panic button ikabonyezwa. Baadae ikagundulika limerushwa na Ukraine. Hali ikapoa. Si unajua tena...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Russia imerusha kombora na kutua Poland Two people died Tuesday afternoon after a projectile struck an area where grain was drying in Przewodów, a Polish village near the border with Ukraine...
3 Reactions
202 Replies
12K Views
Marekani ilijinasibu sana kuwa imeshapeleka air defense system za hali ya juu lakini bado jiji la Kiev linapata kipigo cha mbwa mwizi kila urusi ikitaka. Ukraine has reportedly received two...
7 Reactions
40 Replies
4K Views
DRC hatuwezi kupata amani hata siku moja tusipo achana na hili Ukabila hiki ni kitu ampka sasa hivi ndo kinapoteza DRC inawezekana kweli Rwanda wakawa wanachangia kuiba Mali za DRc au kuleta...
1 Reactions
4 Replies
633 Views
MHASIBU wa Kampuni ya Your Home Choice ya Keko, Dar es Salaam, Deodatus Luhela (35), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kuwa ametekwa na kujeruhiwa na majambazi...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Mahakama moja ya mjini Istanbul nchini Uturuki Jumatano imemhukumu mtu mmoja kifungo cha miaka 8,658 kwa kujihusisha na wanawake ambao hawakuwa wamejistiri vizuri aliokuwa akiwaita “paka”, chombo...
1 Reactions
0 Replies
350 Views
Ukraine imesema itatoa msaada wa nafaka tani 27,000 kwa Ethiopia taarifa imetolewa na Wizara ya miundombinu ya Ukraine. Pia Ukraine imesema itatoa msaada wa tani 50,000 za ngano kwa Ethiopia na...
2 Reactions
4 Replies
541 Views
Inflation in Italy highest since 1984 Consumer price growth was led by soaring energy and food costs, official data shows © Getty Images / Karl Weatherly Italy’s domestic price index jumped...
1 Reactions
6 Replies
554 Views
Mwanasiasa wa upinzani Fadel Abdelkefi amesema askari Polisi wakiwa hawana kibali chochote walimzuia kusafiri alipokuwa Uwanja wa Ndege wa Carthage licha ya kuwa hana mashtaka wala kizuizi...
0 Reactions
1 Replies
522 Views
Mkutano wa 27 wa Nchi Wanachama wa Makubaliano ya Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi unafanyika nchini Misri, na pande mbalimbali zinajadiliana jinsi ya kukabiliana na changamoto...
0 Reactions
1 Replies
472 Views
Taarifa hizi za Urusi kupiga kombora Poland nilitegemea ziibue panic si ya kawaida kwa NATO wote (wale halisi wa kule na hawa wetu waliopo nanjilinji, mailimoja, kwa mfipa n.k) kwa jinsi...
9 Reactions
21 Replies
1K Views
Ninajaribu kufikiria kitu Sipati majibu kabisa Wanaojua naomba wanipe ukweli au wanieleweshe zaidi Hivi ni nini sababu za Urusi kumpiga ukrain? Leo nimesikia kuwa Urusi amerusha makombora mawili...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom