International Forum

News and Stories from rest of the World
Wachimba migodi wawili ambao walitumia siku tisa wamenasa katika mgodi wa zinki ulioporomoka wa Korea Kusini wakiishi kwa kutumia unga wa kahawa wa papo hapo wameokolewa. Wanaume hao, wenye umri...
0 Reactions
2 Replies
431 Views
Chama cha marubani nchini Kenya KALPA,kimetoa wito kwa wanachama wake kususia kazi kuanzia leo Jumamosi Novemba 5. Taarifa iliyotiwa saini leo na katibu mkuu wa chama hicho Captain Murithi Nyaga...
0 Reactions
1 Replies
527 Views
Zaidi ya abiria 9,000 wamekwama katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata Kenya (JKIA) jijini Nairobi na katika viwanja vingine vya ndege vya kimataifa duniani kufuatia mgomo wa marubani...
1 Reactions
1 Replies
553 Views
UK minister resigns after bullying allegations Sir Gavin Williamson had been in the job for just 14 days Former UK Cabinet officer minister Gavin Williamson© AFP / John Sibley The government of...
1 Reactions
1 Replies
572 Views
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila...
8 Reactions
81 Replies
4K Views
Rais wa Ukraine, Zelenskyy atembelea mji wa Kherson uliokombolewa majuzi na vikosi vya Ukraine kutoka mikononi mwa Urusi. Mwanaume yupo ndani ya artillery range za Urusi na hamna kitu watafanya...
13 Reactions
70 Replies
4K Views
Waandishi wa habari wa CNN NA SKynews wamevuliwa wadhifa kwa kuripoti kutokea mji wa Kherson unaotajwa kukombolewa na Ukraine. Ukiacha waandishi hao mashirika mengi mengine ya Ukraine na nchi za...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Iran yaunda kombora la balestiki la Hypersonic Hawa jamaa Marekani alishachelewa kuwadhibiti mapema hii ndo funga kazi Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya...
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Atanyongwa kwa kuandamana, kosa lenyenye wanaliita "moharebeh" (enmity against God)', au adui wa "mungu". Hata hivyo maandamano yako pale pale. Acourt in Iran has issued the first death sentence...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Ukisikiliza mikwara baina ya Marekani na China kuhusiana na bahari ya Pacific na vita vya kibiashara utafikiri kesho tutaamka kombora limetua Washington au Peking. Halafu ukasikiliza mikwara ya...
0 Reactions
3 Replies
288 Views
Hatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua. Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na...
5 Reactions
408 Replies
34K Views
Jameni wazalendo wa Ukraine wanatembeza moto hadi naumwa aki ya nani, Warusi wameona ili kupunguza kasi ya kufukuziwa, wamelipua daraja na kutoroka. Ukrainian armed forces have retaken another...
9 Reactions
84 Replies
5K Views
Hatua hiyo imefikiwa baada ya kudaiwa aliomba rushwa kwa mwekezaji wa madini ya dhahabu ili amtengenezee njia ya kufanikiwa. Aidha, Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo amempeleka kiongozi huyo...
0 Reactions
1 Replies
639 Views
kumekucha tulisema vilianzia CRIMEA na vitaishia CRIMEA Fall of Kherson brings Russian-annexed territory into range, former US commander says Russian-annexed Crimea could soon come under...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Haya tuone kama rais atanasa kwenye mtego wenu, mlisema Urusi ametoroka ili kuwavuta Ukraina waingie kichwa kichwa kwenye mtego, fanyeni sasa. Nakumbuka hata wakati Warusi wanaikimbia Kyev...
2 Reactions
0 Replies
563 Views
Kuna mjinga atasema kwamba, hata Ukraine anasaidiwa kifedha na silaha lukuki! Ni ujinga tu! Tukumbuke, Putin ndiye aliyetoa tahadhari za taifa lolote litakalooyesha nia tu ya kuingilia mgogoro...
9 Reactions
51 Replies
3K Views
Tukio liko mubashara Al jazeera Putin: Kuanzia Leo raia wa majimbo 4 ya Ukraine yaliyosaini mkataba ni " Raia wa Russia Milele" na tutawalinda kwa Nguvu zote dhidi ya yoyote atakayewasogelea!
11 Reactions
55 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Tume, Mahmood Yakuba, amesema ana wasiwasi kuhusu mashambulizi "kuongezeka" wakati nchi hiyo inapojiandaa kwa uchaguzi wa Rais unaotarajiwa kufanyika Februari, 2023 Akiongea katika...
0 Reactions
1 Replies
457 Views
Habari zenu wana JF wenzangu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Katika zunguka zunguka yangu yote katika nchi mbali mbali nikianza na nyumbani Tanzania, kwa kweli sijawahi kuona...
66 Reactions
363 Replies
27K Views
Marekani anaibembeleza South Korea imuuzie makombora ili akamsaidie mshirika wake anayepata kipigo kizito Toka kwa Urusi hizi ni dalili za mwanzo tu za NATO kuaibika. US to Buy 100,000 Korean...
4 Reactions
69 Replies
3K Views
Back
Top Bottom