Ndege ya kivita ya DR Congo (Sukhoi-25) leo asubuhi iliingia katika anga la Rwanda na kutua katika Uwanja wa Ndege wa Rubavu Jimbo la Magharibi.
Rwanda haijachukua hatua yoyote ya kijeshi, lakini...
Hili kuna watu ambao hawawezi kulielewa ila anacho fanya China huku Afrika katika miaka ijayo tutakuja kukijutia
Mmoja alikuja usiku akatutawala
Mwingine amekuja mchana anataka kututawala
Sijui...
Hadi sasa ramani inakoelekea ni wazi kabisa Republicans wanaweza kumpendekeza kipenzi chao Mheshimiwa Trump achukue kiti cha uspika ambacho kwa sasa kipi kwa bibie Pelosi anaesubiri kung'oka...
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika.
Kwa wasiofahamu, ni kwamba Nigeria inakwenda kufanya uchaguzi wake mkuu wa uraisi miezi mitatu...
1. Kujiondoa kwa Urusi kutoka Kherson kunaipa Ukrainia udhibiti wa barabara kutoka Crimea.
Kujiondoa kwa Urusi mji wa Kherson kwenye ukingo wa magharibi wa Mto Dnipro kunairuhusu ukreine kutishia...
Kwanza, nimejiuliza kuhusu vita ya Russia na Ukraine, kwamba pasingekuwa na mkono wa US tayari biashara ingeisha mapema sana. Saa hizi Ukraine yote ingekuwa imepambwa kwa bendera za Urusi tu...
System inamuogopa sana Trump, wanajua ana support kubwa sana ya wamarekani ukiachana na data zinazopikwa na cnn na ggogle aonekane hapendwi, kwa mara nyingine tena Trump kafumua mshono kajibu kwa...
Ukraine wanaendelea kukomboa miji iliyopigiwa kura za maoni na Warusi.
Hivi yule kamanda wa Urusi tuliyeaminishwa ndiye muuaji namba moja kule Syria, mbona sijaona chochote cha ajabu kwake...
Watu wengi wanashindwa kupata milo mitatu ya siku, hali inayowalazimu waende kutafuta chakula kutoka katika mashirika ya wasamaria wema, jambo lililopelekea mashirika hayo kuzidiwa kutoa misaada...
Mamia ya wanajeshi wa Ukraine wameingia katika mji wa kimkakati wa KHERSON baada ya kuyafurusha majeshi ya Urusi ambayo yaliukalia mji huo tangu ulipotekwa miezi 8 iliyopita. Haya yanajiri baada...
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeviamlu vikosi vyake kuukimbia mji wa KHERSON kabla mji huo haujazingirwa na majeshi ya Ukraine.
Akiongea na waandishi wa habari,Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi...
Usiende google kucheki matokeo 😂😂 wala cnn , huko hakuna taarifa credible maana ni left wing main strem media, ni haohao walioaminisha umma mpaka dakika ya mwisho 2016 kwamba Trump kashindwa...
Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani amesema kwamba Marekani ipo kwenye mazungumzo na Korea kusini ili kununua Maroketi laki moja kutoka Korea kusini kwa ajili ya kulipatia jeshi la Ukraine...
US refuses to send advanced drones to Ukraine – WSJ
Officials are reportedly concerned that Gray Eagle MQ-1C deliveries may make the conflict worse
The administration of US President Joe Biden...
Latvia ni kataifa kadogo sana jirani ya Urusi, ila mwanachama wa NATO, sasa Urusi imezoea kuparamia vitaifa majirani ila kwa wanachama wa NATO hukaa mbali au kuandika barua za kulalamika, kama...
,Wengi Mnakumbuka Sekeseke la Juzi ambapo Marekani waliishutumu Qatar kusaidia kifedha Mitandao ya Ugaidi.
Balozi mbalimbali zilifungwa na Sasa Marekani na Qatar wamesaini deal ya Kuuziana ndege...
Wakuu Kijana mmoja raia wa Nigeria ametoa mkanda wa Video Wa Ngono wa Zanele Sifua ambae ni Spika wa bunge la Jimbo la ANC Free State Nchini Nigeria.
Kijana huyo amevujisha Mkanda Huo Baada ya...
Jameni kuwa mwanajeshi wa Urusi ni shida, kule mbele mnapigwa na kuuawa kama senene, mkirudi nyuma mnauawa na kikosi kilichobuniwa na Putin cha kuua wanaokimbia.
Sidhani kama kuna miaka itakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.