Katika mwezi Oktoba pekee mauzo ya gesi ya Urusi yamepanda kwa asilimia 1.1 kutoka 4.3 ya kabla yake.
Wateja wakubwa wa gesi ya Urusi ni mataifa ya Ulaya karibu yote. Katika kuiunga mkono Ukraine...
CHINA YARUSHA MAKOMBORA KARIBU NA TAIWAN
China imerusha makombora karibu na Taiwan ikiwa ni sehemu ya mazoezi ya kijeshi kufuatia ziara ya Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi katika kisiwa...
Rais wa Marekani Joe Biden amesema kwa mara nyengine kwamba Marekani itailinda Taiwan endapo kutatokea "shambulio ambalo halijawahi kushuhudiwa" na China.
Akizungumza katika mahojiano ya chombo...
Kwa sasa Urusi hana ushawishi wowote ukanda huo, hiyo ni baada ya kuvurugwa na kataifa kadogo Ukraine....
The US-organized peace talks between Armenia and Azerbaijan in Washington come only a...
Ili kutatua changamoto ya mfumuko wa bei nchini Marekani, Benki Kuu ya nchi hiyo inayofahamika kama “Federal Reserve” imeongeza viwango vya riba mara sita tangu mwanzoni mwa mwaka huu, ambapo...
Angalia yanayo endelea Congo, viongozi wanashindwa kuambiana ukweli kwamba we fulani ndio chanzo na tuna ku suspend kwa muda mpaka utie adabu, Hilo halipo kwa sababu ni jumuia zimekaaa kubebana na...
Familia za Watoto 70 waliofariki kutokana na Majeraha ya Figo yaliyohusishwa na dawa za kutibu kikohozi zilizotengenezwa nchini India, zimekataa fidia ya Dola za Marekani 20,000 sawa na zaidi ya...
Habari,
Kulingana na mzozo uliopo kwa sasa kati ya DRC na Rwanda juu ya tuhuma za Serikali ya Reanda kuwa support waasi wa M23!
Hali ya mzozo imeendelea baada ya DRC kurusha mizinga kadhaa...
Mwaka huu mwezi wa 6 mkuu wa kikundi cha maji maji alituma video kwenye mtandao wa Facebook akiomba raisi wa Kongo ampe vita hivyo yeye na kundi lake wakasambaratishe Rwanda kwa siku 7 tu
Na...
Kwa kutumia demokrasia watu wenye sifa mbaya kiutawala na ambao wamewahi kuzitiia nchi zao kwenye mizozo wamekuwa wakirudi madarakani kwa kasi.Mmojawapo ni Benjamin Netanyahu wa Israel.
Muda...
Wakuu habari..
Hali inazidi kuwa Tete Kati ya DR Congo na Rwanda baada ya Rais Felix Tshisekedi kuwataka Vijana waji mobilise kwenye Vikundi kwa ajili ya mapambano na Rwanda..
Source: BBC👇
Ni drone maarufu kamikaze au suicide drone ,wapinzani walivyosikia walichukulia vitu vidogovidogo sana,genius engineer wa Russia wakajifungia waka study wakaviongezea uwezo hasa katika final...
Zaidi ya watu 100,000 wamekimbia makazi yao na makumi ya wengine wameuawa baada ya mapigano kuzuka kati ya wanajeshi wa Jamhuriya Kidemokrasia yaCongo na kundi la waasi wa M23, katika moja ya...
Baada ya rais wa Ukraine kutembelea maeneo yaliyokombolewa na kukuta makaburi ya haraiki amependekeza viongozi wa dunia wamuorodhese rais wa Urusi katika orodha ya magaidi na wanaofadhiri ugaidi...
Mubarak Isa Muhammed na Muhammed Bula wamehukumiwa kuchapwa viboko 20 kila Mmoja na kulazimishwa kusafisha Mahakama kwa Siku 30, baada ya kukutwa na hatia ya kutumia Mitandao ya Kijamii kumkashifu...
Iran bao wanaendelea kuliamsha, wanauawa ila hawakomi, serikali inapambana kumlinga 'mungu' na uislamu
Iranian protesters clashed with security forces on Thursday in the town of Karaj, some 40...
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo (DRC), Felix Tshisekedi anatarajiwa kukutana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame Nchini Angola kwa ajili ya mazungumzo kutokana na mgogoro unaoendelea baina ya...
Pape Alé Niang, ambaye anaendesha tovuti ya habari ya Dakar Matin, inayosifika kwa kuikosoa Serikali, amekamatwa kwa tuhuma za kusambaza habari zinazoweza kudhuru usalama wa nchi hiyo
Vyombo vya...
Ni jambo lisilopingika kwamba demokrasia ni thamani inayotafutwa na binadamu wote bila kujali tofauti za tamaduni na mipaka ya nchi, na haiwezi kukiukwa.
Lakini kwa sababu za kihistoria, haki ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.