Watu wengi wanashangaa kwanini U.S anamwaga mpunga Ukraine katika nyakati ngumu za recession nchini kwake.
Kama mtakuwa na kumbukumbu mtakumbuka Donald Trump alikuwa impeached kwa kutishia...
Wakazi wa Kijiji cha Maharashtra wamedai wamejitangazia uhuru kutoka katika Dunia ya digitali baada ya kuchukua hatua hiyo ili kuwawezesha wananchi kupata muda wa kuzungumza.
Uamuzi huo umefikiwa...
taking advantage of EU energy crisis – Paris
Washington is selling gas to the EU for four times what it charges at home, the French finance minister says
US taking advantage of EU energy crisis –...
Mnamo tarehe 8 Oktoba 2022, kila mtu Duniani aliamka na habari ya mlipuko katika daraja la Kerch, ambalo linaunganisha nchi ya Urusi na Peninsula ya Crimea. Mlipuko huo ulisababisha njia moja ya...
Rais Putin amesema kuwa Ukraine imehusika kwenye shambulizi la kigaidi la daraja la Crimea. Shambulio hilo lilisaidiwa na baadhi ya raia wa Urusi na raia wa nchi nyinginezo. Shirika la kijasusi la...
Marekani yalalamika kuwa Sergei Surovikin, kamanda mpya anayeongoza mashambulizi ya Urusi nchini Ukraine, ndiye aliyesuka na kutembeza jana kipigo kitakatifu kisicho na chembe ya huruma koote...
Wanajeshi wa Urusi walifanya shambulizi kubwa la roketi katika miji yote ya Ukraine Jumatatu asubuhi.
Kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu, shambulizi lilifanywa katikati mwa Kyiv.
Milipuko...
Zelensky asema majeshi ya Urusi yamenyesheleza mvua za makombora Ukraine kote.
Kyiv imepigwa kibiriti...mtaa wenye ofisi kuu za shirika la kijasusi la Ukraine pia umepelekewa moto mkali wa mvua...
Mwanamke mmoja akiwa kichwa wazi bila kuvaa hijab, ameonekana akirusha mawe kwenye Jengo la Serikali linalohusika na Usimamizi wa Sheria za Kiislam ikiwemo uvaaji wa Hijab.
Chanzo: Verified...
International Red Cross suspends operations in Ukraine
The move comes after Russia launched missile strikes across the country
International Red Cross suspends operations in Ukraine
Emergency...
Biblia na Qur'an ziko pamoja na nchi ya Iran, unaweza usitamani kutembea uchi lakini ukawatetea wanaotembea uchi. Kufurahia mwanamke kutembea uchi elewa umefurahia mama wa mtu kuwa uchi.
Naanza...
ni dhahiri sasa Rusia wameamua kudeal na Soft targets.
makombora zaid ya 80 yalio rushwa hovyo hovyo mengine yameanguka barabarani mengine nyikani mengine kwenye majengo ya raia mengine...
Waandamanaji laki moja na elfu tisini na tatu wamwagika kwenye mitaa ya Uingereza wakipinga kulipia bili zao za umeme baada ya nishati hiyo kupanda juu zaidi kutokana na Urusi kutowapa gesi na...
Mashambulizi yao leo katika maeneo mbalimbali kama barabara zilizojaa watu, ofisi, maeneo ya biashara na sehemu za kucheza watoto Kyiv na miji mingine yaliandaliwa na kupangwa muda mrefu na...
Ripoti zinazotufikia hivi punde zinasema milipuko kadhaa imekumba mji mkuu wa Ukraine wa Kyiv.
Mashambulizi hayo yanajiri siku mbili baada ya daraja pekee linalounganisha Urusi na Crimea...
Kikao cha 18 cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) kilichokaliwa Desemba 22, 2021 kimeikubali Jamhuri ya Kidemokrasia Congo kuwa mwanachama wa EAC
Hatua hiyo imekuja baada ya nchi...
Zaur Dadayev, who has been charged with involvement in the murder of Russian opposition leader Boris Nemtsov inside a defendant's cage inside a Moscow court building
An ally of the Russian...
Wanajaribu kutuangamiza Duniani' - Zelensky
Volodymyr Zelensky
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema.Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema. Msururu wa mashambulio ya makombora...
Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameahidi kuisaidia Belarus kwa kuwapelekea mifumo ya Iskander-M inayoweza kufyatua makombora ya nyuklia
Putin ameweka msimamo huo baada ya kukutana na Rais wa...
kuna mlipuko kwenye daraja la Crimea asubuhi hii, Crimea ni daraja muhimu sana linalounganisha urusi na Crimea , Taarifa zaidi zitakujia badae
nafkiri Ukraine army wameandaa special birthday Gift...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.