Huu uzi utunzwe kwa kumbukumbu za tabiri tashtiti zilizowahi kutokea hapa JamiiForums.
Itakuwa hivi. Asubuhi ya Jumatatu, mwili wa Putin utakutwa unaelea kwenye bwawa la kuogelea.
Sii walinzi...
President Samia Suluhu Hassan’s pro-business approach is sending positive signals across the globe, with Moody’s Investors Service changing Tanzania’s outlook from stable to positive.
“The...
Putin analalamika akisema Ukraine walitumia lori kulipua daraja lake Crimea, ila wataalam wanaokagua video za uharibifu huo wanasema lilipua pigo la drone inayosafiria kwenye maji....
Russian...
Ukraine yaripotiwa kufanya Mashambulizi ndani ya Crimea na kusababisha mlipuko kwenye ghala la silaha. Urusi yakanusha kwamba ni shambulio yasema ni ajali.
=============
KYIV, Aug 16 (Reuters) -...
MWAMBA
The demonstrations were sparked by what protesters called economic “disruption” and “energy and health restrictions”
Mass protests against NATO and EU hit Paris
streets (VIDEOS)
FILE...
Pale Crimea hapakaliki, milipuko ya ghafla hadi imekua kero, ndege za kivita zinalipuliwa zikiwa uwanjani, Urusi imeona isiwe tabu, yaanza kuzirejesha nyumbani.....
Sikujua supapawa anaweza...
Nahisi kuna ujumbe unatumwa kwa Putin kwamba popote kambi na kinaweza kikanuka hata sebuleni kwake kiaina bila kombora kutumwa kutoka Ukraina.....kwamba humo humo jeshini kwake wenyewe kwa wenyewe...
Shambulizi la bomu katika makazi ya raia lililofanywa na Russia katika mji wa Zaporizhzhia.
Takriban watu 17 wameripotiwa kuuwawa katika shambulizi la bomu lililolenga raia usiku katika mji wa...
WHAT is the Visa Lottery
Visa Lottery is the popular name for the yearly U.S. Diversity Visa (DV) Program. Its purpose is to bring in immigrants from countries that contribute a low number of...
Wanateseka kutoroka huku wakiburuza majeruhi wao, jameni aliyewaponza yuko Kremlin anapiga gongo la Vodka ametulia hana habari.
The Russians were seen evacuating around 150 wounded soldiers in...
Jameni serikali ya Iran inatumia nguvu nyingi sana kumpigania huyu 'Mungu' wao, inawaua raia wake kama nzige. Wasichokijua, kadiri wanavyowaua watu ndivyo wanazidi kupandisha mzuka nchi yote...
Hali inazidi kuwa mbovu kwa Warusi kwenye nchi ya watu.....
Ukrainian forces sank a Russian barge transporting troops, equipment and weapons across the major river crossing, Ukraine’s Operational...
Serikali ya India imeondoa Muswada wa ulinzi wa data na faragha wa 2019 unaotajwa kuipa Serikali Mamlaka ya kuuliza Kampuni kutoa taarifa binasfi za Wateja wa Kampuni za Teknolojia ili kusaidia...
Nchi za wenzetu wanajuwa wanafanya nini huku viongozi wanajuwa kujilimbikizia mali na kusifiwa na watu wao!tanzania ni nchi yenye neema ya kila kitu lakini wananchi wake ni maskini wakutupwa huku...
Nyukilia ni silaha ya mwisho kabisa silaha zote ilizonazo nchi zikishindwa vitani
Tishio la Russia kutumia Nyuklia ni ushahidi wa wazi kuwa silaha alizonazo Urusi zimeshindwa kazi uwanja wa vita...
Majeshi ya Ukraine yanakaribia kuliteka jiji la KRYMINA lililopo katika Jimbo la Luhansk. Hi ni baada ya kuuteka mji wa TORSKE na vijiji vinavyouzunguka mji huo. Jiji la Krymina lipo umbali wa...
Duh sikujua jamaa wapo hadi nchi maskini kama Burkina, walivamia na kuua madereva na wafanya kazi wa msafara wa chakula uliokua unasafiri kwenda kusaidia vijiji vyenye njaa...
The ambush, claimed...
Takriban watu 17 wameuawa katika mashambulizi ya makombora ya Urusi katika mji wa kusini-mashariki wa Zaporizhzhia, wizara ya ulinzi ya Ukraine imesema.
Makumi wengine walijeruhiwa, na majengo...
Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu aitwae Emmy ,alikua amesinzia huku amemuegemea rafiki yake darasani katika shule iliyoshambuliwa kwa risasi huko Kaskazini mwa Thailand , wakati muuaji alipovunja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.