International Forum

News and Stories from rest of the World
Wakati anasomwa mchezo na kakalia miji kadhaa kadhaa ya Ukraine. Kama kawaida yake na mbwembwe nyingi alinukuliwa akitolea mfano jinsi Peter au Pyotr the Great alivyouchukua St Petersburg kutoka...
5 Reactions
2 Replies
366 Views
Wingu la taharuki limewakumba Warusi, waliahidiwa ushindi ila wanachokiona ni maiti za vijana wao zinaletwa nyumbani kuzikwa na kila wakiingia kwenye mitandao wanasoma jinsi wanajeshi wao...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
MKUBWA ANAZIDI KUADHIRIKA....[emoji1787][emoji1787] "Russian state media says defence ministry ordered troops to leave the vicinity of Izyum, a key city in northeast Ukraine." Russia has...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Super power mandonga aishiwa silaha, sasa akipigana miaka 2 si ataishiwa mpaka bunduki, hahaaaa super power wa mchongo anachekesha. Russia to buy North Korean artillery shells, rockets: Report...
6 Reactions
107 Replies
7K Views
: Top official over not joining trade pillar of IPEF By Reena Bhardwaj Los Angeles [US], September 9 (ANI): A top official on Friday said that India stands for its independent trade policy and...
0 Reactions
0 Replies
353 Views
Pentagon wanametoa mlio wa uchungu baada ya Ndege zake zenye technojia ya hali juu za F 35 Mchina kaanza kuuza spea zake. Kilio kimezidi baada kugundua mchina ameshaiba technolojia ya Ndege zake...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Los Angeles Afisa mwandamizi wa serikali alisema kwamba India inasimamia sera yake huru ya biashara na kuongeza kuwa kabla ya kwenda kujiunga na jukwaa hilo la biashara la pamoja la India na...
0 Reactions
0 Replies
380 Views
Mkuu naomba uanzishe group la whatsapp la ku support Ukraine . wasiwepo hawa idiots Russian. Naomba uweke link ya WhatsApp ya kujiunga mkuu. Asante kwa Kazi nzuri .
4 Reactions
18 Replies
1K Views
A United States District Judge Terry Doughty, a Donald Trump appointee, has ordered Tony Fauci, White House press secretary Karine Jean-Pierre, and other officials in Joe Biden’s regime to...
0 Reactions
2 Replies
409 Views
Wamehamisha magoli sasa hivi wanadai wameondoka kharkiv kwa mda tuu ila watarudi,Kauli hii imetolewa na msemaji wa jeshi la Russia. Kwa watu wazima mnajua nini kinaendelea. Mwanaume kashikwa...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Mwanamfalme wa Uingereza Prince Harry na mkewe Meghan Markle wanataka kujiondoa katika majukumu ya familia ya kifalme. Aidha, Prince Harry na Meghan Markle wanasema kuwa baada ya kujitafakari na...
11 Reactions
369 Replies
44K Views
CNN — Several elected officials in Russia have been summoned by police after they called for the impeachment of Russian President Vladimir Putin. In a rare display of dissent in the country...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Russian wenyewe hawajasema chochote ila pro Russia wa mitandaon wameshatoa majibu yao Kremlin refuses to comment on counteroffensive of Armed Forces of Ukraine Ukrainska Pravda Fri, September 9...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanajeshi wa Ukraine wameukomboa mji mzima ambao Ni wa pili kwa ukubwa Nchini Humo wa Kharkiv baada ya Wanajeshi wa urusi kuukimbia mji huo. Vijiji vingi hasa mashamba yamejaa miili ya Raia na...
21 Reactions
162 Replies
13K Views
Putin cha moto atakiona . Unapoenda vitani na Nchi nyingine ambayo hujui chocho lazima wakupige , wakufuruge tuu
1 Reactions
7 Replies
605 Views
Baada ya wanajeshi wa Urusi kuteka mji wa Kherson, wazalendo wa Ukraine wamepambana kwa kujitoa mhanga na kukomboa mji, jameni hamna raha kama hii vijana mnalakiwa na wazee wenu wakishangilia ujio...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba msaada wa kujua je, unaeza pata visit visa ya Canada then ukifika nchini humo ukapata kaz ukabidili kuwa work. Naombeni mchango wenu kwenye hili ni muhimu sana.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
RUSSIA anapewa kifurushi kinacho itwa HALICHACHI bando. au yakwako tuu bandle. ukraine hawana mda wa kupoteza. wakikomboa kijiji wanawaachia Germany [emoji629] kazi ya kutegua mabom ya ardhin...
1 Reactions
1 Replies
342 Views
Ina mapigo kama ya HIMARS ila mizinga yake haikosei shaba..... America has sent Ukraine its "most accurate artillery shell", a high-precision GPS-guided munition called Excalibur, Pentagon budget...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Waziri wa biashara wa Urusi asema iPhone 14 zitapatikana nchini humo Licha ya kampuni ya Apple kusitisha uuzwaji wa bidhaa zake kwenye nchi hiyo. Waziri huyo asema wafanyabiashara wataruhusiwa...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom