International Forum

News and Stories from rest of the World
TOKYO -- An estimated 300,000 barrels of Russian petroleum made their way to the U.K. in June despite government claims of zero oil imports from Russia that month, Nikkei research suggests. Being...
2 Reactions
3 Replies
734 Views
Kwenye juhudi za kuokoa miji yao, Ukraine wameishia kuzingira wanajeshi 10,000 wa Urusi. ======== Two days after punching through Russian defenses outside the city of Kharkiv, Ukrainian forces...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Kutoka kutekwa nyara hadi talaka na shutuma za ubaguzi wa rangi, familia ya kifalme imekuwa mgeni kwa kashfa kwa miongo kadhaa. Malkia Elizabeth II anasifiwa kwa kiasi kikubwa kustahimili dhoruba...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mahakama ya kikatiba ya Angola imekataa madai ya Chama cha Upinzani cha #UNITA ya kutaka kubatilisha matokeo ya Uchaguzi Mkuu ww Agosti 24, 2022 kutokana na madai ya Uchaguzi huo kuwa batili...
1 Reactions
1 Replies
564 Views
Vikosi vya jeshi la Ukraine vimepata mafanikio kwenye uwanja wa vita baada ya kuyakomboa maeneo kadhaa yaliyokuwa chini ya udhibiti wa Urusi kwenye mkoa wa mashariki mwa nchi hiyo wa Kharkiv...
11 Reactions
28 Replies
2K Views
“UHUSIANO WENYE PANDE MBILI ZA SARAFU” 10/09/2022 Ukiniuliza kuhusu uhuisano wa Malkia Elizabeth wa Pili na Afrika basi nitakujibu kuwa ni uhusiano wenye pande mbili za sarafu, kwa upande wa...
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Moto unaowaka Kherson siyo mdogo, yaan sijui watu wanapataje data za waliokufa ,na vifaa vilivyoaribika. Mahojiano yalifanywa kwa wanajeshi 7 wa Ukraine ambao walipata majeraha na wako katika...
14 Reactions
59 Replies
5K Views
Rais Putin ameahidi kumimina nafaka kwenda nchi masikini. Ameahidi kusupply tani milioni 30 mpaka mwisho wa December. Na pia Urusi ipo tayari kuongeza kiwango hicho na kufikia tani milioni 50...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Ni dhahiri kachezea kichapo, ngumi za kwenye uso, ila alipohojiwa nani kampiga akagoma kutoa jibu. Kwa hasira alizo nazo Putin sasa hivi inabidi kukaa mbali naye, hata kama una urafiki naye wa...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Serikali ya Marekani imekubali kupunguza kifungo cha “tapeli wa mitandaoni” Hush Puppi hadi miaka 11 kwa kuwasaidia wapelelezi kutatua kesi nyingine. ⠀ Hush Puppi maarufu raia wa Nigeria...
5 Reactions
11 Replies
995 Views
Hii ni code name inayosimama kwa ajili ya utaratibu mzima wa hatua kwa hatua ya kile kitakachotokea baada ya kifo cha Malkia Elizabeth II. Mpango mkakati huu ulitengenezwa kwa mara ya kwanza mwaka...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni kuanzia tarehe 31 mwezi ujao wa Oktoba na sababu kubwa ni thamani ya euro kuendelea kuporomoka jambo ambalo linawapa wasiwasi. Baadhi ya wateja wa PayPal huko Ulaya wameanza kujulishwa kupitia...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Anasema mto umefurika miili ya wanajeshi wa Urusi, alikua anaongea na mkewe kwa simu, anatukana balaa na kulaani... "F***ing HIMARS s**t. They are long-range and our tank was hit too....," the...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Huyu jamaa sasa hivi akapimwe maana anakoelekea ni kituko, si alidai hatorudisha gesi hadi waondolewe vikwazo vyote. Now kikwazo ni turbine. Putin says Russia will restart Nord Stream 1 gas...
5 Reactions
129 Replies
7K Views
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]]...
0 Reactions
5 Replies
755 Views
Leo ni sherehe za uhuru nchini India toka walipopata uhuru kutoka kwa Muingereza mwaka 1946. Kwa miaka 75 India imejenga uchumi unaokua haraka zaidi huku ikiwa imebeba miongoni mwa watu matajiri...
2 Reactions
2 Replies
713 Views
Leo ndio mazishi ya Prince Philip wa Uingereza waweza angalia moja kwa moja tv ya SKYNEWS Maandalizi yote ya msiba wake aliyaanda mwenyewe kabla kufa na ratiba aliindaa mwenyewe. Katika maagizo...
4 Reactions
31 Replies
5K Views
Ukraine imekiri rasmi kwamba ilifanya shambulizi la Makombora na maroketi kwenye kambi ya jeshi la Urusi Crimea baada ya wiki kadhaa kukana kutohusika na shambulizi hilo. Mkuu wa jeshi la Ukraine...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu habari za muda huu nimeona nifungue uzi huu kwa lengo la kujadili kwa mapana haya yanayoendelea nchi ni Burundi baada ya Ijumaa ya wiki jana Rais wa nchi hiyo kutamka hadharani kuwa kuna...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Tayari ni MFALME CHARLES Kuzaliwa: 1948
7 Reactions
55 Replies
4K Views
Back
Top Bottom