International Forum

News and Stories from rest of the World
Wakati nikitafakari viongozi wa kiafrika dhidi ya miradi inayowahusu wananchi wa kawaida huko mtaani, kwa mfano miradi kwa sehemu mbalimbali huko mikoani, utasikia choo au bafu limetumia 230...
10 Reactions
42 Replies
4K Views
Reuters.com This content was produced in Russia, where the law restricts coverage of Russian military operations in Ukraine. * Russia will be stronger – Putin * Putin says the future is in Asia...
7 Reactions
33 Replies
2K Views
Israel imeapa kuishambulia kijeshi Iran, ikiwa mazungumzo baina ya nchi hiyo na mataifa yenye nguvu duniani yatashindwa kuzuia mchakato wa Iran wa kuunda silaha za nyuklia. lakini Iran husisitiza...
11 Reactions
96 Replies
6K Views
Wakati hali ikionekana kuwa shwari, mvutano wa kisiasa umeongezeka tena, kufuatia tuhuma za baadhi ya Viongozi Wakuu kupanga njama ya kumng'oa madarakani Rais Evariste Ndayishimiye Mnamo Agosti 2...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Super pawa la Kibisa. linapelekeshwa Walishindwa kuiteka kyev ilio lindwa Kwa Javellina tu. Wamekimbilia sehem ambapo palishaoza napo bado wanahenya kupachukua. Walitegemea Ukraine itaweka nguvu...
10 Reactions
44 Replies
3K Views
Ivan Neparatov (36) ambae alikuwa jela akiwa na kesi tano za mauaji akitumikia kifungo cha miaka 25 jela. Katika harakati za kuongeza jeshi la Urusi nae alikuwa mnufaika wa uhuru (parody) na...
1 Reactions
2 Replies
670 Views
Putin atoa msimamo wake kuhusu Urusi, asema anaifikiria Urusi kama nchi ya Kikristo Putin ameendelea kuweka wazi kuhusu Urusi.Katika siku za hivi karibuni kabisa,amesema anaifikiria Urusi kama...
4 Reactions
62 Replies
4K Views
Kipindi Cha corona wote tulishuhudia ulimwengu wote ukilazimishwa kutii maagizo ya kukaa ndani (lockdown) na nguvu inayotenda Sirini ya mpinga Kristo. Mdogo mdogo tumeshuhudia jinsi Russia...
2 Reactions
4 Replies
658 Views
Ujerumani ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kuomba poo kwa Urusi kwa namna hali ya mfumuko wa bei unavyo hatarisha uchumi wa nchi yao. Kwa mfano kuanzia leo mabango yote ya matangazo yatawashwa...
24 Reactions
54 Replies
4K Views
Mamia ya Watoto wamefariki Dunia katika Vituo vya Lishe Nchini Somalia kuanzia Januari hadi Julai 2022 na idadi inaweza kuongezeka kutokana na mazingira ya lishe kutokuwa mazuri. Takwimu za...
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Soko la bidhaa za Kitamaduni za Afrika "African Bazaar" lilifanyika hivi karibuni mjini Beijing China na kuwavutia wageni wengi.
1 Reactions
2 Replies
402 Views
Huwa tunawaambiaga watu waache fikra za kimaskini kuhusu mataifa ya magharibi ,jamaa wameshusha zigo la trillion zaid ya mia,kibongobongo tunaila miaka 3. Huwa nashindwa kuwaelewa baadhi ya watu...
11 Reactions
76 Replies
4K Views
Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Kutokomeza Ubaguzi wa Rangi ilitoa ripoti ya tathmini ya jinsi Marekani inavyotekeleza Mkataba wa Kimataifa wa Kutokomeza Aina Zote za Ubaguzi wa Rangi, ikisema...
0 Reactions
0 Replies
550 Views
Ni miaka 20 sasa imetimia tangu Umoja wa Afrika uanzishwe, lengo kuu likiwa ni kuhimiza mafungamano ya kisiasa, kiuchumi, kiusalama, kiutamaduni na hata kwenye mambo mbalimbali ya kijamii. Katika...
0 Reactions
0 Replies
443 Views
Wananchi walioko Crimea wameagizwa wachukue tahadhari ya mabomu, maana vita vitahamia huko muda usio mrefu na kutakua na umwagikaji wa damu balaa kwenye jitihada za kumfukuzia adui Urusi...
8 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwasi Kwarteng, the frontrunner for Chancellor of the Exchequer, has pledged a "lean state" under the new Prime Minister, Liz Truss. The Foreign Secretary won the Conservative leadership race on...
0 Reactions
7 Replies
558 Views
Jameni Ukraine wanapambana na kunifurahisha hadi naumwa, kainchi kadogo saizi ya mkoa wa Urusi ila wanajituma kama mchwa, wamekubali kujitoa mhanga ili wakomboe ardhi yao kwa ajili ya vizazi vya...
12 Reactions
68 Replies
5K Views
Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia uchumi Paolo Gentiloni amesema muungano huo umejiandaa vyema endapo Urusi itasimamisha kabisa usambazaji wa gesi. Gentiloni amesema hawaogopi uamuzi...
9 Reactions
52 Replies
3K Views
Marekani kupitia the USA TODAY yalamamika kuwa Urusi ndio anamiliki silaha nyingi zaidi za nyuklia na ambazo zinaweza kutumia muda wa dakika 10 hadi 15 kufika Marekani na kuigeuza majivu nchi...
11 Reactions
51 Replies
4K Views
Cc: let the caged bird sings, Uturiki yaripoti kuwa viwanda mbalimbali nchini Netherlands vinafungwa kwa 'fujo' (wingi) kutokana na bei ya nishati kuongezeka zaidi. Hiyo ni kutokana na Urusi...
11 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom