International Forum

News and Stories from rest of the World
Msemaji wa jeshi la anga la Ukraine Colonel Yurii Ihnat ameilalamikia Urusi kuwa inataka rasmi kulifuta taifa la Ukraine kwenye uso wa dunia kutokana na Urusi kukusanya ndegevita nyingi mno...
13 Reactions
95 Replies
6K Views
Chama tawala cha Angola kinatazamiwa kurefusha utawala wake kwa miaka mingine mitano, na kukipa jumla ya miaka 52 madarakani. Upinzani mkuu ulisema utapinga matokeo ya kura ya Jumatano. Rais wa...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Duniani mataifa makubwa yameanza kunoa visu na makucha, yanajiweka mkao wa mapambano makali, hivi Waswahili tuko vipi, au tupo tupo tu siku ziende. Tokyo, Japan is considering the deployment of...
9 Reactions
55 Replies
4K Views
URUSI NA CHINA;KUANGUKA KWA DOLA NA KUINUKA KWA YUAN. Leo 14:30pm 06/03/2022 Rais wa Urusi,Vladimir Putin hakuivamia Ukraine bila mipango (kwa bahati mbaya),Urusi haifanyi kitu chochote bila...
19 Reactions
70 Replies
7K Views
Katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na changamoto mbalimbali, mzigo wa madeni wa nchi za Afrika umeongezeka. Baadhi ya nchi za magharibi zinadai kuwa China ndio inaibebesha Afrika “mtego wa...
0 Reactions
5 Replies
614 Views
Kanada watafiti wanasema haina uwezo wa kuzalisha LNG hadi mwaka 2025 kwa maana hio hii alternative haifanyi kazi tena UTEGEMEZI upo palepale kwa habari zaidi pitia hapa chini 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 Germany...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Itaru Nakamura Mkuu wa Jeshi hilo amesema kuwa ameamua kuwajibika juu ya dosari za Usalama ambazo uchunguzi ulionesha kuwa Jeshi halikumlinda ipasavyo Waziri Mkuu wa zamani, Shinzo Abe aliyeuawa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Marekani yaripoti kuwa howotzer za Ufaransa (French CAESAR 155 mm Self Propelled Howitzer) zinachomwa vibaya na kuangamizwa na MLRS (Artillery) za Urusi nchini Ukraine. Katika kuthibitisha hilo...
9 Reactions
20 Replies
2K Views
Baada ya Waziri wa Mambo ya Nje kutangaza Agosti 20, 2022 kwamba nchi hiyo inasamehe mikopo 23 kwa nchi 17 za Afrika, huku ikiahidi kuimarisha uhusiano wake na nchi hizo baadhi ya wanadiplomasia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Maafisa nchini Myanmar awamemkamata balozi wa zamani wa Uingereza nchini humo na mumewe, mchoraji maarufu ambaye wakati mmoja aliwahi kuwa mfungwa wa kisiasa. Utawala wa kijeshi wa Myanamr umesema...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jaji Bruce Reinhart kutoka Mahakama inayosikiliza kesi hiyo, ameiamuru Idara ya Haki kufikia saa 1:00 jioni leo Agosti 26, 2022 iwe imeweka hadharani Hati ya Kiapo ambayo iliruhusu upekuzi wa FBI...
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Pia yaongeza uzalishaji, yaani Urusi anatumbukia kwenye shimo la kujitakia, gesi yake atabaki nayo. Norway now supplies Europe with more natural gas than Russia does after Moscow cut flows, per...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Mkuu wa haki za binaadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet amemkosoa vikali Rais Jair Bolsonaro akisema ameongeza mashambulizi yake kwa idara ya mahakama nchini Brazil na mfumo wa upigaji...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Watu 22 wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio la kombora la Urusi kwenye kituo cha treni cha Ukraine. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy amesema shambulizi hilo lilifanywa katika...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Maisha ya raia wa Urusi yamezidi kuwa magumu kufuatia Taifa hilo kuingia vitani na jirani yake Ukrain. Hali hii imefanya mataifa mbalimbali kuiwekea vikwazo kadhaa ikiwemo baadi ya raia kuziwa...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Marekani inatarajia kupeleka kifurushi kingine cha Silaha ambacho ni kikubwa zaidi tangu kuanza kwa vita ya Ukraine. Kifurushi hicho kina thamani ya Dola bilioni tatu ($3 billion) na taarifa...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
Wafanyakazi nchini humo wameitisha maandamano nchi nzima kupinga kupanda kwa gharama za maisha na ukosefu wa ajira wakati ambao mfumuko wa bei ukifikia kiwango cha juu tangu mwaka 2009. Maelfu ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Zaidi ya Tsh. Bilioni 53 zilizochukuliwa na mtawala wa zamani wa kijeshi Sani Abacha, zitakabidhiwa kwa serikali ya Nigeria baada ya nchi hizo mbili kutia saini makubaliano. Balozi wa Marekani...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Tume ya Uchaguzi imesema kuwa Chama cha MPLA kinaongoza baada ya matokeo ya mapema ya uchaguzi wa Rais na Wabunge uliofanyika Agosti 24 Tume hiyo ilisema kuwa kutokana na theluthi moja ya kura...
0 Reactions
0 Replies
605 Views
Warusi wana hasira kwa kutamaushwa na vita ambavyo vinawagharimu sana, mpaka wanapiga mabomu kwenye mashamba sasa..... Nearly 600 hectares of various sorts of grain have burned down as a result...
3 Reactions
1 Replies
754 Views
Back
Top Bottom