International Forum

News and Stories from rest of the World
NA Morris Ochieng Uwazi na uaminifu, ushirikishaji na ustawi wa pamoja, na ushirikiano na maendeleo ya amani. Haya ni mambo makuu matatu ambayo hujitokeza katika hotuba za Rais wa China Xi...
1 Reactions
0 Replies
405 Views
Chombo cha habari toka Urusi kimesifia ufanisi wa Makombora ya kubomolea vifaru Aina ya TOW yaliyojumuishwa kwenye kifurushi cha msaada wa kijeshi kilichotangazwa wiki iliyopita. Chombo hicho...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Msemaji wa Polisi kutoka Kabul, Kabul Khalid Zadran amesema watu 21 akiwemo Imamu wa Msikiti wamefariki dunia na wengine 33 kujeruhiwa baada kutokea Mlipuko mkubwa kwenye Msikiti uliokuwa na watu...
2 Reactions
79 Replies
3K Views
Hivi kuna mtu wa Nchi hii anafuatilia na kuanzisha Mada JF ya nayoendelea Afrika Mashariki yanayohisiana na vita au heka heka ya kuagiza Yesu Africa? Au nikiumbelel na kumuhemuhe au ubwege wa...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Bulgaria's energy minister Rossen Hristov said the country would likely go back to talks with Russia on resuming gas deliveries from state-run energy supplier Gazprom. Gazprom provided 90% of...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Wiki moja baada ya kufanya uchunguzi wa chanzo cha kifo cha mwanamke aliyefariki katika mji wa Beni, Serikali nchini humo imetangaza kurejea tena kwa ugonjwa huo hatari katika jimbo la Kivu...
0 Reactions
1 Replies
736 Views
Watu wenye Silaha wamewaachilia huru "bila kujeruhiwa", Watawa 4 wa Kikatoliki waliotekwa nyara mapema wiki hii katika jimbo la Imo Kusini-Mashariki mwa Nigeria. Msemaji wa Polisi katika eneo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Neno la Mungu linasema shika sana kile ulichonacho asije mwovu akakunyang'anya. Kwa sasa Dunia inapitia kipindi kigumu sana na nyakati kama hizi ni lazima tuongeze Dua na Maombi kwa Mungu wa...
3 Reactions
6 Replies
902 Views
Russia rasmi na utawala wa vibaraka wao waamua kuondoka mapema Kherson mara baada ya kukosa usambazaji wa Siraha baada ya vituo vya karibu vya kuhifadhi kulipuliwa. Huku kikosi cha Anga ambacho...
17 Reactions
73 Replies
6K Views
Hiki kibibi ambacho kimekaribia kuhitimisha maisha yake hapa duniani kinaweza kusababisha maelfu ya watu wakiwemo watoto na vijana kufariki kama kitaendelea na chokochoko chake cha kulazimisha...
19 Reactions
396 Replies
21K Views
HABARI za majukumu wana jukwaa naingia ulingoni kama ifuatavyo: Mwanzoni mwa operetion ya urusi pale Ukraine nchi za magharibi zilijibu kwa kuweka vikwazo vizito dhidi ya russia ili kuhakikisha...
12 Reactions
19 Replies
2K Views
Nguli wa mchezo wa kikapu katika Ligi ya NBA, Dennis Rodman amedai ana ruhusa ya kwenda Urusi kwa ajili ya kujaribu kumtoa kifungoni nyota wa kikapu wa Marekani, Brittney Griner. Griner...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Rais wa Zambia amewaambia wananchi wake kuwa hapendelei sana pongezi ila wananchi wa Zambia wajipongeze wenyewe kwakuwa kila kitu kinatoka kwao, hata hivyo amewataka wanaZambia kumkosoa na kumsema...
16 Reactions
53 Replies
3K Views
Baada ya Finland na Sweden ku apply kujiunga NATO tulitegemea Putin aje na vitisho vile vile dhidi ya ukrain, lakini kanywea. Kwanini? Putin ni mtu muongo muongo sana. Putin anaitamani ukrain...
10 Reactions
32 Replies
3K Views
Vita ya kwanza ya dunia iliibuka kutokana na kuwepo kwa mataifa (multipolar) yenye nguvu ya kiuchumi na kijeshi yaliyokosa kuheshimiana! Baada ya vita hiyo, kukatengenezwa 'the league of nations'...
12 Reactions
17 Replies
2K Views
Licha ya vitisho kutoka kwa China, Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi amewasili katika Kisiwa cha Taiwan. Amewasili kwa kutumia ndege ya Jeshi ambayo ilitokea Malaysia alipokuwa katika...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Mahakama ya Katiba imemsimamisha kazi Waziri Mkuu Prayuth Chan-ocha baada ya kuwekewa pingamizi na vyama vya Upinzani vilivyodai kiongozi huyo amemaliza muhula wake wa miaka minne Inaelezwa kuwa...
0 Reactions
1 Replies
523 Views
Ushabiki tuache kando. Ambao kamwe hautatusaidia kupiga hatua mbele toka hapa tulipo. Tukiwa kama bara tuna mikakati gani ya kufaidika au kujifunza kutokana na huu mzozo? Tukiangalia kwenye...
1 Reactions
11 Replies
585 Views
This is the kind of the leader I admire! The one who needs people's views towards development and not based on people's statuses(level of education, family status, personalities etc) . What...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Madikteta huwa wanakufa kizembe sana Mlikuwa mnasifia viongozi kutosafiri? Mnamfahamu Jenerali Sani ABACHA? Yeye sio tu kwamba alikuwa hapendi kusafiri bali katika kipindi chote cha utawala wake...
12 Reactions
49 Replies
5K Views
Back
Top Bottom