Jeshi la Ukraine limeanza taratibu kujiondoa katika Eneo la Viwanda vya Kemikari walipokuwa waneshikiliwa kwa sababu zifuatazo:
1, HAKUNA KILICHOBAKIA, kila kitu kimechomwa Moto na makombora na...
Bunge la Seneti limepitisha mswada wa udhibiti wa bunduki nchini humo, kwa kura 65 dhidi ya 33, kufuatia mfululizo wa matukio ya mauaji katika maeneo mbalimbali nchini humo kuhusishwa ununuzi na...
Serikali imetangaza awamu mpya ya Vikwazo vya kibiashara dhidi ya #Russia ikiwa ni mwendelezo wa Vikwazo kutoka nchi nyingi Duniani kutokana na kuendelea kwa #RussiaUkraineWar
Vikwazo hivyo...
Estonia imelalamika kuwa Urusi inapanga kuishambulia nchi hiyo (Estonia-nchi mwanachama wa NATO) kwa mvua za makombora. Malalamiko yamegusia kuwa Urusi iko inafanya missile simulations juu ya...
Umoja wa Mataifa umeripoti Alhamisi kwamba ghasia magharibi mwa Sudan mwezi huu pekee zimewakosesha makazi watu zaidi ya 84,000.
Umoja wa mataifa umeripoti Alhamisi kwamba ghasia magharibi mwa...
Akihutubia Umoja wa Afrika (AU), Rais Volodymyr Zelensky amesema Afrika ni "mateka" katika Vita ya Urusi dhidi ya Taifa lake, kwani kuzuiwa kwa usafirishaji wa Nafaka Ukraine kumepelekea uhaba...
Na Zaid Bin Shabir
Ok
Uchambuzi yakinifu wa takwimu umepangua mitazamo potofu kuhusu haki za wanawake wa J &K hususani kutoka Kashmir “kuzuiliwa” na mfumo dume kabla ya Agosti 2019.
KUZIMA...
Kama kawaida, watu wengi wamekua wakijua na kusoma au kusikia mambo ya syansi ya juu ya Marekani na Ulaya tu,Nadhani hii ni kutokana na kuwa, pengine mambo ya Mashariki hayapatikani sana sehemu...
Afrika Kusini imeripoti kuwa na kisa cha kwanza cha Virusi vya Monkeypox, ikiungana na nchi nyingine 40 ambazo zimeripoti kuwa na virusi hivyo.
"Mgonjwa ana umri wa miaka 30, ni mwanaume kutoka...
Mtoto huyu mdogo ndiye pekee aliyesalia katika familia yake. Wenyeji wanasema hawakuweza kupata mtu yeyote wa familia yake aliye hai. Anaonekana kama mtoto wa miaka 3.
Wabunge wameidhinisha mpango wa kuchunguza matumizi ya Tsh. Trilioni 3.5 zilizotengwa kudhibiti kuenea kwa COVID19 na kuwaokoa raia dhidi ya athari za kiuchumi za janga hilo kufuatia madai ya...
Wabunge wamemshikia mabango Waziri Mkuu wa Italia, Mario Draghi wakipinga hatua ya kuisaidia Ukraine
===
Italy Deputies rise up against Mario Draghi “Stop sending weapons to Zelensky! More than...
Inaelezwa kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na uharibifu mkubwa wa majengo na miundo mbinu ni kikwazo kikubwa kwa jopo la uokoji kusini-mashariki mwa Afghanistan, ambapo tetemeko kubwa la...
Iran iliwanyonga zaidi ya watu 100 katika miezi mitatu ya kwanza ya 2022, hali ya kutisha ambayo inazidi kuongezeka, kulingana na ripoti ya katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guterres...
Picha ya kwanza ni:
Na picha ya pili ni:
Kwenye picha ya kwanza Rais Macron wa ufaransa akiwa anakaribishwa na mwenyeji wake rais Zelensky wa Ukraine. Naona kama Zelensky amenuna, ni kama...
Ama kwa kweli ukubwa sio nguvu ila ujuzi na matumizi ya ubongo, kainchi saizi ya mkoa mmoja wa Urusi kameitoza Urusi kamasi imepoteza majenerali, meli, wanajeshi maelfu na hasara nyingine nyingi...
Zelensky jana jumatatu amehutubia Umoja wa nchi za Afrika (AU) mtandaoni. Ameziomba ziipe ushirikiano Ukraine sambamba na pia zisiisapoti Urusi, kwamba Urusi inataka kurejesha Ukoloni .
Umoja wa...
Tukirejelea msemo wa "Hata katika hali mbaya kunaweza kupatikana mazuri ukitazama kwa bidii" haya yanaweza kuwa mazuri yatakayotokana na vita vya Russia nchi Ukraine.
1. Mapinduzi makubwa ya...
Kwa mujibu wa Bloomberg.com hivi sasa Russian rubble ndiyo fedha inayoimarika zaidi duniani.
Licha ya vikwazo vyote kutoka U.S.A na washirika wake Russia wanaendelea kuchanja mbuga kwa kuimarisha...
Tarehe 21 Juni, Saipura Jumaikare mwenye umri wa miaka 19 alishikilia nguzo ndefu na kutembea kwenye kamba ya waya iliyojengwa kati ya majengo katika mtaa wa chakula wa Grand Bazaar huko Urumqi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.