International Forum

News and Stories from rest of the World
Hii vita tuacheni masikhara. Hii vita ni Ngumu. andunje pls do something. unatuvunja moyo asee. Ukraine imesema imerejesha tena udhibiti wa sehemu ya mji wa viwanda wa Sievierodonetsk, ambao...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Akizungumza Jumanne, Meya wa Mji wa Luhansk, Serhiy Haidai amesema mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki wakati ambapo vikosi vya Urusi vinajipanga upya baada ya kuongeza shinikizo na...
9 Reactions
10 Replies
2K Views
Bunge la Ukraine limepiga kura kuunga mkono mswada unaopiga marufuku baadhi ya muziki wa Urusi kwenye vyombo vya habari na maeneo ya umma nchini humo. Mswada huo, uliopata kura za uungwaji mkono...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Mkuu wa jeshi la Uingereza: "Lazima tuwe tayari kupigana tena Ulaya". Barua ya Kamanda ilitumwa kwa askari na maafisa wote wa Jeshi la Uingereza, pamoja na watumishi wa umma. Image caption: Barua...
9 Reactions
89 Replies
6K Views
Urusi inaendelea kuunda silaha inayoweza kupooza kabisa sila za maadui zake, za hali ya juu kabisa, zikiwemo makombora ,makombora ya kudungua makombora,meli,ndege, vifaa vya mawasilano, na...
7 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakati vita ya kwanza ya Dunia inatokea hakuna aliyedhani kuwa vita kuu ya pili ya Dunia itakuja kutokea, Vita kuu ya Dunia ilivyokuja kutokea hakuna aliyetarajia na ilitokea kwa mchezo huu huu wa...
21 Reactions
117 Replies
8K Views
Katika hali isiyo yakawaida, Chombo cha Anga cha Urusi kilichokuwa kimetumwa Kyiv, Kimeangushwa na Mifumo ya Ulinzi wa Anga la Ukraine. Mpaka sasa haijawekwa wazi ni Chombo cha namna gani na...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Francis Marquez ambaye amewahi kuwa kijakazi almaarufu Beki tatu amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa kwanza Mweusi Nchini humo.. Safi Sana wamama wa kiafrica wanazidi kuaminiwa kwenye uongozi 👇
0 Reactions
4 Replies
837 Views
WILD COAST – GORGONA, SNAKE PRISON ISLAND From the turbulent reefs of the Pacific Ocean, to the sun-bleached sands of the Caribbean Sea, ‘Colombia’s Wild Coast’ takes us on a trans-oceanic tour...
0 Reactions
2 Replies
845 Views
Mzuka wanajamvi! Vibaka Tehran nchini Iran wametoboa ukuta wa benki kutokea kwenye jenho lililo karibu na benki iyo nakuiba maboksi 280 (safes) zenye pesa na Vito vya thamani. Wezi hao...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Fadhili Mpunji Tarehe 20 na 21 Juni Ethiopia ilikuwa mwenyeji wa mkutano wa amani wa Pembe ya Afrika uliofadhiliwa na China. Huu ni mkutano wa kwanza wa namna hii kuzikutanisha Ethiopia, Eritrea...
0 Reactions
1 Replies
682 Views
Tarehe 21 Juni ni Siku ya Twiga Duniani. Twiga ni mmoja wa wanyama wanaopendwa zaidi na watu barani Afrika. Lakini katika miaka ya hivi karibuni, kupungua kwa wanyama hao kumesababisha wasiwasi...
0 Reactions
0 Replies
352 Views
Pili Mwinyi Mkutano wa 14 wa wakuu wa nchi za BRICS zikiwemo Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini unatazamiwa kuanza tarehe 22 Juni hadi 24 Juni hapa Beijing, na safari hii utafanyika...
2 Reactions
4 Replies
670 Views
Mamia ya watumishi wa umma wa Sekta ya Afya nchini humo wamegoma kutokana na mishahara duni na mazingira duni ya kazi. Mgomo huo unawahusha madaktari, madaktari wakuu, wauguzi pamoja na...
0 Reactions
3 Replies
645 Views
Kunapokuwa na foleni nchini Ujerumani, madereva hulazimika kisheria kupita pembeni ya barabara ili kuacha nafasi ya magari ya dharura kama magari ya wagonjwa na zimamoto. Je unadhani ni muhimu...
2 Reactions
4 Replies
688 Views
Mamlaka ya Ubelgiji imekabidhi jino la kiongozi wa uhuru wa Congo Patrice Lumumba, kwa familia yake katika hafla iliyofanyika Brussels. Jino hilo ni sehemu pekee ya mabaki ya mwili wake ambayo...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Wataalam wa vita silaha na satelite tuchambulieni mada hii,Urusi imrusha angani satelite yenye tabia za ajabu,inayojibadilisha kitabia na inayoweza kuangamiza ICBM,hali hii imewachanganya sana...
8 Reactions
98 Replies
14K Views
Viongozi 7 wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatarajiwa kukutana leo Juni 20, 2022 Jijini Nairobi, Kenya mada kuu ikiwa ni mgogoro unaoendelea kati ya DRC na Rwanda. Kumekuwa na mapigano...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu huku London hali tete sana. Lita moja ya diesel ni £2 sawa Tsh 5600 per lita kwa hapo nyumbani, Umeme, gesi, maji nazo zime double price. Watu wanahaha Watu wanajuta, Marekani kamuingiza...
6 Reactions
10 Replies
791 Views
Kutoka kupanga na kusababisha mauaji ya kimbali rwanda watu million 1 kufa, mpaka kuanzisha first African war (first congo war) na second African war(second congo war). Vita vilivyochuka maisha ya...
0 Reactions
4 Replies
839 Views
Back
Top Bottom