International Forum

News and Stories from rest of the World
Mzuka wanajamvi! Hali ya kiuchumi Urusi ni mbaya. Zaidi ya mamilionea elfu 15 pamoja na wafanyabiashara wanatoroka Urusi nakuhamia Dubai na Uturuki. Dubai na Uturuki zimefaidika sana kwa wimbi...
8 Reactions
16 Replies
1K Views
Inadaiwa kuwa zaidi ya watu 100 wengi wakiwa ni kutoka jamii ya watu wa Amhara wameuawa katika eneo la Oromia Nchini Ethiopia, Takwimu hizo ni kwa kujibu wa shuhuda wakati ambapo shuhuda mwingine...
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Kwa mara ya pili baada ya wiki mbili, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alitembelea ngome za jeshi kwenye mstari wa mbele - kwanza katika mkoa wa Kharkiv, na sasa katika sehemu hatari zaidi za...
6 Reactions
52 Replies
4K Views
Hamjamboni nyote? Kutoka Bara zima la Ulaya mpaka sasa Urusi imeangamiza jumla ya mamluki 1250 katika bara la Ulaya pekee. Unaweza kuona idadi kwa kila nchi. Urusi imeangamiza jumla ya mamluki...
1 Reactions
5 Replies
707 Views
Korea Kaskazini inapambana kudhibiti mlipuko wa ugonjwa "mbaya" wa matumbo ikiwa ni mwezi mmoja baada ya nchi hiyo kukumbwa na mlipuko wa maambukizi ya COVID-19. Vyombo vya habari havijaweka wazi...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ameshindwa kupata kura nyingi katika uchaguzi wa wawakilishi wa viti vya Bunge, ikiwa ni pigo kubwa kwake katika utawala wake ambapo amerejea madarakani hivi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Leo ijumaa pesa ya Urusi Ruble imezidi kupaa kwa thamani ikilinganishwa na fedha zingine kama dola na Euro. Kwa sasa dola moja ni ruble 57.67. Ikumbukwe kuwa kabla ya vita dola moja ilikuwa...
15 Reactions
214 Replies
11K Views
Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) za mwaka 2021 ambazo pia zinatumuka mpaka sasa zinaonesha kuna idadi ya watu milioni 89.3 ambao wamekimbia makazi yao, kati...
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Wanajeshi wawili wastaafu wa Marekan ambao walikuwa Nchini Ukraine wakipigana vita dhidi ya Urusi hawajulikani walipo na inahofiwa wametekwa na wanajeshi wa Urusi. Alexander Drueke, 39, na Andy...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Kuanzia tarehe 15 hadi 17 mwezi Juni, tamasha la 18 la utamaduni na utalii wa Qici ambalo pia ni tamasha la kwanza la utamaduni na sanaa za Qiuci mjini Kuqa, China lilifunguliwa. Shughuli...
0 Reactions
2 Replies
382 Views
Juni 19 mwaka 2022, halijoto ya juu ya siku hiyo ilikaribia nyuzijoto 40 mjini Ji’nan China, na wafanyakazi wa mbuga ya wanyama waliwasaidia wanyama kupunguza joto kwa njia mbalimbali.
0 Reactions
0 Replies
458 Views
Ukitaka kujua wakimbizi ni Biashara nenda Kigoma kwenye zile kambi, kule kuna wakati zile NGOs zilizo jazana kule zilikuwa zina gombana wao kwa wao kila mmoja ikipigania kuwahudumia wakimbizi...
3 Reactions
4 Replies
889 Views
Mvua kubwa iliyonyesha kwa takriban wiki moja inadaiwa kusababisha mafuriko makubwa ambayo yameacha mamilioni ya watu bila makazi Inaelezwa kuwa baadhi ya shule zimegeuzwa hifadhi za muda kwa...
1 Reactions
3 Replies
868 Views
Ukiona mpaka dikteta analialia na kuomba, jua kimeumana.
7 Reactions
15 Replies
762 Views
Rais wa Urusi Vladimir Putin amewaomba wafanyabiashara wasiondoke na kuikimbia Urusi, akisema Urusi ni salama zaidi na ni vyema wakawekeza Urusi kuliko nchi za magharabi, kwani endapi wataikimbia...
4 Reactions
6 Replies
727 Views
Kwa kweli Putin ameamua kuharibu Urusi na kuirudisha nyuma mbali sana, hatari sana kwa nchi kuongozwa na akili za mtu mmoja, anafanya maamuzi na kuchemsha na kuharibu kila kitu kichizi...
1 Reactions
7 Replies
912 Views
https://cdn.jwplayer.com/previews/65vS8oC7 Hizi jezi ni Russ au Amer
2 Reactions
2 Replies
358 Views
Nchi za Magharibi kwenye hii vita ya Urusi na Ukraine wanapigana kisayansi zaidi na kisomi Wameanza na vikwazo vizito vikiwemo kuwatoa kwenye matumizi ya Euro,Dollar,pound na Yen na matumizi ya...
36 Reactions
321 Replies
22K Views
Vita vya Ukraine vinaweza kudumu kwa miaka kadhaa, aonya mkuu wa Nato Katibu Mkuu wa Nato akizungumza baada ya mkutano na mawaziri wa ulinzi wa muungano wa kijeshi Juni 16.Image caption: Katibu...
0 Reactions
0 Replies
388 Views
Back
Top Bottom