International Forum

News and Stories from rest of the World
Vita vya Russia na Ukraine vikiendelea na vikwazo vya nchi za Magharibi vikiwekwa Moscow,mauzo ya gesi ya Russia kwa Ulaya yamepungua sana na kuziacha nchi nyingi za bara hilo zikikumbwa na tatizo...
19 Reactions
49 Replies
4K Views
By Zaid Bin Shabir The intricately sorted data has debunked misconceptions about the rights of women in J&K especially Kashmir being “restricted” by the male dominance before August 2019...
0 Reactions
0 Replies
298 Views
Duniani bila connection hutoboi Maisha. Binti wa Rais anayemaliza muda wake,Sara Duterte ameapishwa kuwa Makamu wa Rais chini ya Rais Mteule ambaye naye ni mtoto wa Rais wa Zamani wa Taifa hilo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habarini za jioni wanajukwaa, ninahitaji kufahamu ulipo ubalozi wa Australia hapa Tanzania. Nimeambiwa kule ulipokuwepo mara ya kwanza(Masaki) umehamishwa sasa ningependa kufahamu umehamushiwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sasa ni siku zaidi ya 50 ya kinachoitwa operation ya kijeshi inayofanywa na shirikisho la Urusi ambapo upande unaoshambuliwa (Ukraine) umejaribu kila namna kuzuia mashambulizi makali ikiwa ni...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Papa Francis ameomba radhi kwa watu wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo na Sudan Kusini kwa kusitisha safari yake ya kufanya ziara katika nchi hizo kutokana na matatizo ya kushindwa kutembea...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Raia wa Marekani anayepigana na wanajeshi wa Urusi nchini Ukraine ameuawa. Stephen Zabielski, 52, "alifariki siku ya Jumapili, Mei 15, 2022, wakati akipigana vita katika Kijiji cha Dorozhniank...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Baraza la Utabibu na Matibabu ya meno limetangaza kutozitambua shahada kutoka vyuo vikuu vya Ukraine zilizopatikana tangu kuanza kwa vita vya nchi hiyo na Urusi, huku Mdhibiti wa huduma za...
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Mkutano wa 14 wa viongozi wa nchi za BRICS utafanyika hapa Beijing kwa njia ya mtandao. Kaulimbiu ya mwaka huu ya BRICS ni “Kujenga uhusiano wa kiwenzi wa hali ya juu, kuanzisha kwa pamoja zama...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Idara ya Usalama ya Ukraine, Afisa wa Juu wa Serikali pamoja na Kiongozi wa mwingine katika masuala ya Biashara wanaoshukiwa kuwa sehemu ya Mtandao wa Urusi wamewekwa kizuizini...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Rais wa Urusi Vladimir Putin kawashika vibaya nchi za Ulaya waanza kulia njaa baada ya Putin kufunga port za usafirishaji wa nafaka. Ikumbukwe Ukraine pamoja na Urusi ni wazalishaji wa kubwa Wa...
48 Reactions
128 Replies
7K Views
Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel Naftali Bennett imetangaza kwamba Serikali ya Muungano ya nchi hiyo itavunjwa, na hivyo uchaguzi mwingine kuandaliwa. Bennett na mshirika wake mkuu, Yair Lapid...
1 Reactions
11 Replies
817 Views
Awali ya yote natangaza wazi kwamba mimi ninaiunga mkono Urusi. Hata hivyo, kwa mtu yeyote ambaye amefuatilia hii vita, hitimisho iko wazi. Urusi pamoja na kuchukua muda mrefu kukamilisha malengo...
26 Reactions
54 Replies
4K Views
Nchi jirani ya Ukraine imesababisha Russia kuingia katika mgogoro mkubwa na West ambao haujawahi tokea tangu kuvunjika kwa USSR. Russia ni taifa kubwa kieneo,kisayansi,kiteknolojia na hata...
10 Reactions
35 Replies
4K Views
“Madeni mengi yanayozikabili nchi za Afrika yanasababishwa na mashirika binafsi ya nchi za Magharibi, na hawa wakopeshaji kutoka New York, London, Frankfurt n.k wanataka madeni hayo yalipwe ili...
0 Reactions
1 Replies
463 Views
China ndio taifa linalofaidi pakubwa kwa Urusi kwa hili anguko la Urusi, ila pia nao wameanza kuathirika, benki kubwa ya Urusi imesitisha haitofanya miamala inayohusu hela ya Uchina.... Na pia...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Tarehe 21 Juni ni siku ya Xia Zhi ya China, yaani kuanza kwa joto kali. Watu wa Linyi, mkoani Shandong wanaonyesha tambi za rangi mbalimbali.
1 Reactions
1 Replies
396 Views
Kuonyesha mshikamano wangu na watu wa Ukraine nimevunja vunja pasi yangu ya kupigia nguo ya kirusi niliyokuwa nayo na kuitupa jalalani kupinga Urusi kuishambulia Ukraine na Kuua raia wasio na...
12 Reactions
56 Replies
3K Views
Mtu mmoja ameuawa na kundi la watu kwa madai ya kuchoma kurasa za Koran katikati mwa Pakistan, Khanewal, polisi wanasema, katika tukio la hivi karibuni la vurugu zinazohusiana na kukufuru ama...
4 Reactions
65 Replies
4K Views
Hii iko wazi kwamba vita inayoendelea pale Ukraine ni kati ya Marekani na Urusi pale Ukraine ni uwanja wa vita tu. Na hadi sasa matokeo ya vita hiyo ni kama ifuatavyo, Marekani haijapoteza askari...
8 Reactions
68 Replies
4K Views
Back
Top Bottom