International Forum

News and Stories from rest of the World
Tangu Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alipoingia madarakani mwezi Machi mwaka jana, moja katika ya mambo ambayo amekuwa akiyasisitiza mara kwa mara ni kutaka diaspora ya watanzania kujitokeza...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Fadhili Mpunji Changamoto ya ajira kwa vijana katika nchi nyingi za Afrika ni jambo ambalo linazungumzwa sana na wanasiasa na watunga sera. Karibu kila nchi ya Afrika ina tatizo la ukosefu wa...
3 Reactions
0 Replies
764 Views
Ni nchi iliyojiandaa kikamilifu kwa ajili ya vita vya nyuklia kuliko nchi yeyote hapa duniani. Kama vita vya nyuklia vingetokea Warusi wengi wangenusurika wakati mataifa mengine pamoja na Marekani...
16 Reactions
148 Replies
26K Views
Hali ya Demokrasia na Utawala Nchini Tunisia inaendelea kuwa tata baada ya Rais Kais Saied kuwafuta kazi Majaji 57 akiwatuhumu kwa Ufisadi na kulinda Magaidi Rais Saied ambaye mbali na kuvunja...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanasayansi wamegundua mmea mkubwa zaidi duniani katika pwani ya Magharibi ya Australia. Mmea huo una miaka zaidi ya 4,500 na ukubwa wake unakisiwa kuwa ni kilomita 180.
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Watu wanne wameuawa baada ya Mtu mmoja kufyatua risasi Hospitalini huko Tulsa, Oklahoma. Polisi imesema Mtuhumiwa naye amefariki dunia kutokana na majeraha ya risasi ambayo inaaminika alijipiga...
2 Reactions
10 Replies
971 Views
Ramzan Kadyrov ameonekana kwenye video ya kustaajabisha na isiyo ya kawaida akipigana na kumgaragaza mswidi Khamzat Chimaev ambaye ni mtaalamu (professional) wa mieleka na mpiganaji wa staili...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Kila taifa lina tunu zake ambazo kimsingi ndio kimsingi ndio nguzo na uhai wa taifa husika. Logically speaking, najivunia kuwa mtanzania kwani tumebarikiwa kuwa na tunu ya amani na upendo miongoni...
7 Reactions
48 Replies
2K Views
Wafuatao ni wanamapinduzi watatu maarufu kutoka bara la Asia katika nchi za Singapore, China, Korea ya kusini na michango yao ya kiuchumi kwa mataifa yao 1. LEE KUAN YEW [ SINGAPORE [emoji1215]]...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Jeshi la China limesema mazoezi na doria ambazo zimekuwa zikifanyika katika Anga na Bahari karibu na Taiwan ilikuwa hatua ya lazima kujibu kile ilichosema ni 'ushirikiano usio halali' kati ya...
3 Reactions
40 Replies
3K Views
India inatarajia kuunda jopo la rufaa lenye uwezo wa kutengua maamuzi ya udhibiti wa maudhui ya makampuni ya mitandao ya kijamii, ikilenga kudhibiti maidhui ya mitandaoni na kuiwajibisha zaidi...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Mwanamke mmoja raia wa Nigeria, amezua taharuki mitandaoni kwa kusimulia yaliyomkuta baada ya kubaini kuwa mtu aliyemwajiri kama mfanyakazi wa ndani mwanamke 'house girl' sio wa jinsia ya kike...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Mmoja wa wanajeshi walinda amani wa Umoja wa Mataifa (UN) ameuawa na wengine watatu kujeruhiwa wote wakiwa ni raia wa Jordan, jana Juni Mosi, 2022 katika shambulio la kigaidi dhidi ya msafara wao...
0 Reactions
0 Replies
427 Views
Russia ameanza kukagua mitambo yake ya nyuklia na amesema ataitumia kuiangamiza Ukraine ikilazimu Ndugu zangu watanzania jiwekeeni akiba ya chakula Ni baada ya Marekani kuipa silaha kali kabisa...
9 Reactions
42 Replies
3K Views
Tamasha la kwanza la mavazi ya jadi ya Hanfu la watoto lilifanyika Jumatano wiki hii mjini Shenyang China. Kwenye jukwaa la maonesho, sambamba na muziki wa mtindo wa kale, watoto walionesha uzuri...
1 Reactions
0 Replies
504 Views
Raisi Zelensky usiku wakuamkia leo Amesema nchi yake inapoteza wanajeshi 60-100 kila siku kwenye mapambano yanayoendelea nchini kwake. Amezungumza hayo katika mahojiano yake na kituo Cha...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Let me say this,it might sound strange ,indeed stranger than fiction but hell desparate times call for smart albeit unconventional moves. In less than four month we "celebrate " 50 years of...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Kunle Adeyanju (44) aliondoka London mnamo Aprili 19 na aliwasili jijini Lagos Mei 29 baada ya kupita zaidi ya kilomita 13,000 (maili 8,000) katika nchi 13 zikiwemo Ufaransa, Hispania, Morocco...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Kampuni ya kusambaza gesi ya urusi ya Gazprom imezikatia huduma nchi za denmark na German baada ya kampuni yao ya SHELL ENERGY EUROPE LIMITED yenye dhamana ya kuwasambazia gesi nchi za Denmark na...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Nilishawahi kusema kuwa mwisho wa siku Zelensky na Ukraine yake watajakuwa maadui wakubwa sana wa Marekani na NATO kwa ujumla. Kisa ni kwamba haiwezekani kuipatia Ukraine kila inachokitaka bila...
26 Reactions
49 Replies
4K Views
Back
Top Bottom