Habari za wanandugu hapa!
Wakiwa wamekufa wanajeshi zaidi ya 10,000 wa Urusi na 2600 wa Ukraine na raia 5200 wa Ukraine, Hakuna aliyeamini Kama Kuna Kifaru cha Urusi kitaguswa wala hakuna...
Nipo nasoma soma taarifa fulani na kuzufanyia analysis, nikakutana na taarifa ya huyu Gen. Oleg Mityaev huyu alikua ni General wa 4 wa Russia kuuawa vitani Ukraine. Kufa kwa mmoja au wawili ni...
Marekani imesema inaamini Mali nyingi za Rais wa Urusi, Vladimir Putin zimefichwa na Wanafamilia. Kauli hiyo inakuja kufuatia vikwazo vipya vilivyotangazwa dhidi ya Watu wa karibu wa Putin...
List of KIA/WIA/MIA Russian Officers
Killed list:
Lieutenant General Yakov Vladimirovich Rezantsev, Commander, 49th Combined Arms Army, Southern Military District (killed Mar 24)
Lieutenant...
BIDEN, JEAN-PIERRE WAWEKA REKODI MAREKANI
Rais wa Marekani, Joe Biden amemteua Karine Jean-Pierre kuwa msemaji mkuu wa Serikali kuanzia wiki ijayo.
Karine Jean-Piere anakuwa mwanamke wa kwanza...
1. Mwl. Julius Kambarage Nyerere [Tanzania[emoji1241]]
- Huyu alikuwa waziri mkuu wa Tanganyika toka mwaka 1961 mpaka mwaka 1962 na Rais wa Tanganyika toka mwaka 1962 mpaka mwaka 1963. 1964...
Will Greece abandon the euro? Markets say yes, within 3 years.
There has been mounting speculation that Greece's economic woes will cause a breakup in the eurozone, the group of countries that...
Ukraine received over $12bn in weapons, financial aid since start of war
Ukraine has received over $12bn in weapons and financial aid since the start of Russia’s full-scale invasion on February...
Imeelezwa kuwa uamuzi wa Urusi kuivamia Ukraine umeharibu hospitali nyingi na vituo vya matibabu hali iliyofanya madaktari kuwa na wakati mgumu katika kufanua huduma zao
Hayo yamesemwa na Rais wa...
CIA picks Indian-origin IT expert Nand Mulchandani as its first Chief Intelligence Officer
Nand Mulchandani, an Indian-American Silicon Valley IT expert who studied at a Delhi school, has been...
Kuna KITU Cha kujifunza Kwa Rais wa Ukraine. Mwanzoni mwa uvamizi wa Russia nchini Ukraine, niliona Jeshi kubwa ambalo Kwa mategemeo yangu niliona kabisa mwisho wa zelensky na Ukraine.
Hata pale...
Siku ya 63 ya oparesheni ya Urusi nchini Ukraine, Tarehe 28/4/2022.
Tangu jana yametokea men cgi, lakini makubwa zaidi ni kama ifuatavyo;
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imetangaza kuangamiza misaada...
Habari za Eid natumaini wazima wote.
Kama ilivyo ada katika jukwaa hili tunachambua masuala mbalimbali ya kimataifa kuhusiana hasa na suala la vita ya Ukraine na Urusi. Binafsi naona kama mpaka...
"Fikiria kwamba Ukraine ni Palestina."Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi atoa ushauri wa kejeli kwa wale wanaokataa shambulio la kijeshi dhidi ya nchi yake
Moscow imesitisha vifungu fulani katika mikataba ya taratibu za visa vilivyorahisishwa na EU, Uswizi na baadhi ya nchi nyingine. Rais wa Urusi Vladimir Putin Jumatatu alitia saini amri kuhusu...
Rais wa Togo Faure Gnassingbe amekubali kuwa mpatanishi katika mzozo wa kisiasa wa Mali huku serikali ya kijeshi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi ikikabiliwa na shinikizo la kurudisha utawala wa...
Marekani peke yake,ama NATO ama Marekani na washirika wake,kwa nyakati tofauti wamekuwa wakipeleka majeshi kwenda kufanya kile wanachokiita kuisaidia kuziokoa nchi zilizo ama vamiwa ama kuongozwa...
Mzuka wanajamvi!
Bado haijathibitika inadaiwa nahodha ( (admiral) ya meli manowari ya kisasa ya Urusi iliyozamishwa na 'Defenders' wa Ukraine kakamwata na kufungwa.
Ni Tetesi ila habari za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.