Vladimir Putin, the Russian president, is a highly successful individual who has accomplished a great deal in his life. Also, as a human being, he has his flaws and his virtues. As a result, here...
Hali inazidi kuwa tete na kuvuka mipaka ya nchi na nchi hadi bara na bara.
Rais wa Marekani Joe Biden amemtangaza Rais Putin wa Russia kama Mhalifu wa Vita.
Warusi wamekuja juu na kusema kauli...
Hizi nchi ni jirani lakini kwanini Ukraine hashambulii urusi kama kujibu mapigo au kurusha hata makombora huko Urusi au hata mizinga?Kwanini hawafanyi hivyo?
Hatimaye.
Rais Biden wa Marekani amewasili nchini Poland.
Poland ndio imechukua zaidi ya nusu ya Wakimbizi waliokimbia vita ya Putin nchini Ukraine.
Source: BBC
Siku zote nipo Upande wa amani, sipendi vita sifurahii umwagaji wa damu kwa viumbe walioumbwa kwa sura na mfano wa Mungu.
Tukiachana na mikataba ya kilaghai Bogus treaty sioni sababu ya msingi ya...
Kumbe Nchi za Magharibi walikubaliana na Urusi kuwa hawata utanua umaja wa kujihami wa nchi hizo,yaani NATO.
Lakini kumbe kwa Hila zao za kutaka kuizunguka kijeshi Urusi wakaendelea kujiunga nchi...
Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma
Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza...
Katika uvamizi wa Russia unaoendela Ukraine ni kweli sehemu kubwa ya Ukraine itageuzwa magofu na mabomu ya Russia lakini hilo halikuwa lengo la Putin, tangazo la Putin la kuanzisha vita ilikuwa ku...
Baada ya kuonesha ubabe wake kwa Ukraine kwa kutangaza uhuru wa majimbo mawili ya mashariki mwa Ukraine na kisha kuingia kijeshi na kuchakaza miundombinu ya jeshi la Ukraine huku Ukraine ikiachwa...
Vita ya Russia dhidi ya Ukraine inawafurahisha na kuwatia moyo watu wenye chuki na Marekani. Nataka niwaambie, hata ukiichukia Marekani itaendelea kuwa taifa lenye nguvu za kiuchumi na kijeshi...
Waandishi wa habari 12 wamekufa nchini Ukraine tangu kuzuka kwa vita nchini humo mwezi mmoja uliopita taarifa hii ikiwa ni kulingana na mwanasheria mkuu Iryna Venediktova.
Ameandika kupitia...
A maternity ward and a children's ward have been destroyed in a Russian air strike on a hospital in the southern city of Mariupol, officials there say.
"The destruction is colossal," the city...
Ukiona mpaka mwanaume, tena mwanajeshi aliye vitani anaamua kuyavua magwanda yake na kutupa silaha halafu anavaa wigi, gauni, na kujipaka wanja, lipstick [emoji168], halafu anavaa michuchumio ili...
Hali inazidi kuwa tete.
Rais Biden wa USA amesema NATO itajibu Mapigo " in kind" endapo Putin atatumia silaha za sumu.
Imedaiwa Rais Putin ana tabia ya kutimia silaha za kemikali hata...
Wakuu niaje? Naomba tusaidiane mawazo hapa, mara baada ya urusi kuingia Ukraine kwa kile walichoita 'special operation' nilitegemea urusi atapata upinzani mkali na wa moja kwa moja kutoka Nato au...
Hali ya dunia kwasasa imekumbwa na machafuko kila Kona haswa vita,migogoro na machafuko mengine ya kisiasa,,,Mwenye jukumu la kusimamia amani ya dunia ni Umoja wa Mataifa ndicho chombo kilichopewa...
For decades, the US and its Western allies have been violently and frequently meddling in the Middle East. Beginning with the clandestine overthrow of democratically elected leaders, moving on to...
Korea Kaskazini yajaribu kombora kutoka bara moja hadi jingine
Kim Jong Un ameshuhudia majaribio ya kombora kubwa la masafa marefu linaloweza kutoka bara moja hadi jingine, akiihakikishia nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.