International Forum

News and Stories from rest of the World
Rais Joe Biden wa Marekani amesema madikteta ambao hawawajibishwi kutokana na uchokozi wao ndio wanaosababisha machafuko zaidi na kuongeza kuwa uvamizi wa rais Vladimir Putin wa Urusi nchini...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
July 4 1776 George Washington aliyaongoza makoloni 13 yaliyokuwa chini ya utawala wa ufalme wa Uingereza kujitangazia uhuru wake na baadaye kutengeneza serikali ya shirikisho iliyodumu kwa zaidi...
14 Reactions
16 Replies
1K Views
Raisi wa Serbia Aleksandar Vucic Jana usiku aliongoza maelfu ya wa Serbia katika KUMBUKIZI ya mauaji ya ndg na jamaa zao yaliyofanywa na NATO mwaka 1998. Akihutubia Taifa Raisi wa Serbia alisema...
12 Reactions
23 Replies
1K Views
Hapa Tanzania tunapiga kelele kuhusu ajira. Wengine tunataka umri wa kustaafu upunguzwe. Ukienda Congo DRC utaona vituko. Kuna watumishi wengi wa serikali wenye umri wa miaka 70 na zaidi...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Hali inazidi kuwa mbovu hadi Warusi wameanza kupoteana na kushambuliana wenyewe kwa wenyewe.....
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Crown Prince wa Abu Dhabi ktk United Arab Emirates, Mohammed bin Zayed Al Nahyan amesema kuwa anaamini kuwa Russia ina haki ya kuhakikisha usalama wa taifa hilo (Russia) hauhatarishwi. Maneno hayo...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Korea kaskazini imeripotiwa kufanya majaribio yake makubwa zaidi ya makombora yake ya (Intercontinental ballistic missiles) makombora yenye uwezo wa kuvuka bara moja hadi jingine Majaribio haya...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
X
0 Reactions
0 Replies
325 Views
Kwa sababu saizi urusi anaondoa aibu ya kushindwa vita na ndio maana hapo ukraine anashambulia hovyo hovyo na akiamini walio sababisha yeye kusindwa vita ni mataifa ya ulaya. na kwa jinsi putin...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Top 10 Nuclear Bombs Everybody is aware how dangerous and fatal nuclear bombs are. They can also be called atom, atomic or A-bombs. This weapon is the most horrifying and once it’s fired you...
1 Reactions
2 Replies
645 Views
Kufuatia kupanda kwa gharama za nishati kama vile mafuta na bei za vyakula kumesababisha mfumuko mkubwa zaidi kuwahi kutokea nchini humu kwa takribani miongo mitatu kwani bei za watumiaji wa...
14 Reactions
45 Replies
3K Views
Mgogoro huu kati ya Ukraine na Urusi unaongoza kwa propaganda kuliko mgogoro wowote ule toka vita kuu ya pili ya Dunia. Ukisikiliza propaganda za nchi za west unaweza kudhani Urusi imechukiwa na...
15 Reactions
27 Replies
2K Views
Kumekucha. Rais Putin wa Russia ameongea na bunge la nchi yake kwa njia ya mtandao na kusema kuanzia sasa nchi yake haitapokea Dollars waka Euros kwa mauzo ya gesi yake Ulaya. Fedha...
53 Reactions
339 Replies
20K Views
Nato imesema inapeleka vikosi vyake katika mpaka wa mashariki wa Jumuiya yao. Vikosi hivyo vitatawanywa katika nchi za Bulgaria, Hungary, Romania na Slovakia. Atajua kwanini mtoto akizaliwa ni...
10 Reactions
64 Replies
4K Views
Bei za bidhaa za kilimo zimekuwa zikifuata mwelekeo wa kupanda kwa sababu ya mwitikio wa serikali duniani dhini ya Covid-19. Bei hizo zilipanda kutokana na vikwazo vya kuuza chakula nje kwa baadhi...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
When Jenni Hannant’s boiler packed up, she tried the usual trick to get it going again: banging the pump, pressing the red button and expecting it to kick back in. When it still wouldn’t start...
5 Reactions
83 Replies
6K Views
China imeazimia kutotegema tena gesi asilia toka kwa mataifa pinzani, ambayo ni Marekani na Australia. Na badala yake inawekeza ktk project ya kujenga bomba jingine jipya la gesi toka Russia ili...
10 Reactions
24 Replies
2K Views
Proposed draft Ceasefire Agreement between Russia and Ukraine. English Translation Draft The diplomatic representatives of Russia and Ukraine, through repeated mediation, repeated negotiations...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Baada ya Russia kuivamia kijeshi Ukraine, Russia imewekewa vikwazo kadhaa na nchi mbali mbali zikiwemo US, UK na nchi kadhaa zinazounda Umoja wa Ulaya (EU). Ktk vikwazo vya hivi karibuni zaidi ni...
16 Reactions
24 Replies
3K Views
Kama nchi zingine za Ulaya zinaamini Putin ataishia Ukraine tu, wajue wanajidanganya, ipo siku atavamia nchi nyingine kwa kigezo cha usalama wa nchi yake hasa nchi zingine zinazopakana na Russia...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom