International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Wakuu, Wahenga wanasema mwenzako akinyolewa zako tia maji, Wenzetu Namibia yamewakuta, sisi tunajipanga vipi? Taarifa kamili hizi hapa chini: --- Kampuni ya simu ya Telecom inayomilikiwa na...
1 Reactions
0 Replies
283 Views
Wadau hamjamboni nyote? Maeneo ya mlima Hermon yametekwa na IDF kuanzia siku aliyekuwa Rais wa Syria Asad kupinduliwa Yapo mengi kuhusu maajabu na umuhimu wa mlima Hermon kwa mujibu wa Biblia...
10 Reactions
64 Replies
3K Views
Rais Putin asaini waraka wa kuamuru majeshi ya Russia kuingia Ukraine kulinda amani ktk majimbo-yenye-uasi ya Luhansk na Donetsk Rais Vladimir Vladimirovich Putin wa Russia amesaini tamko rasmi/...
11 Reactions
444 Replies
39K Views
Dunia inamaajabu yake na vituko kutoka kwa binadamu! Sasa man anataka apate mtoto kwa kumeza kifaraga baada ya kuambiwa na mganga wa kienyeji. Ila hawa waganga wa kienyeji wa hovyo na wapumbavu...
0 Reactions
6 Replies
286 Views
22 September 2023 UN HQ, New York Hotuba mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA : Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu 2023. https://m.youtube.com/watch?v=kNH85jgzJ0Y Asante Mheshimiwa...
6 Reactions
68 Replies
6K Views
CBI ilisema katika taarifa kwamba bei ya wastani iliyogunduliwa kwa ununuzi wa dola ya Marekani katika Soko lake jipya la Sarafu la Bei Zilizokubaliwa kwa Pamoja ilikuwa rial 596,470 mwishoni mwa...
3 Reactions
11 Replies
929 Views
Katika hali iliyoshtua wengi, raia wa Algeria aitwaye Mohammed Amine Aissaoui mwenye umri wa miaka 35, amekiri kwamba aliahidiwa kiasi cha Euro 50000 sawa na zaidi ya Shilingi Milioni 124 za Tz...
1 Reactions
4 Replies
478 Views
Wamarekani na wazungu wengi huwa hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine, lakini safari hii ni tofauti sana, wameanza kuufahamu upuuzi wanaofanya wanasiasa wao kwa wengine...
58 Reactions
338 Replies
23K Views
Hili ni taifa teule la Mungu. Pamoja na Kuzingirwa na maadui pande zote yaani Hezbollah, Houth, Hamas, Iran, Russia na silaha kutoka kila upande wa dunia, bado Israel imeibuka kidedea. Ushindi...
12 Reactions
27 Replies
1K Views
Watu 80 wauawa kati ya mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kati ya waislam wa madhehebu ya Shia na Sunni karibu na mpaka wa Afghanistan na Pakistan. Mapigano hayo yalianza alhamis ambapo wanamghambo...
14 Reactions
233 Replies
6K Views
Jump to content UK News Website of the Year 2024 Log in See all News Uyghur fighters in Syria vow to come for China next The Turkistan Islamic Party says its main mission to ‘liberate the...
3 Reactions
77 Replies
3K Views
Iran imesema kwamba unaweza kuishambulia Marekani iwapo tu Marekani itaendelea kuisaidia Israel kulipa kisasi. Iran bila uoga imetamka wazi wazi tutaipiga Marekani vibaya mno na linaweza kuwa...
28 Reactions
122 Replies
5K Views
Wabunge wawili wa kamati ya Baraza la Wawakilishi la Marekani nchini China wamewasilisha barua kwa kampuni za Apple na Google wakidai kampuni hizo zinatakiwa kuondoa Mtandao wa TikTok katika...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Assad na familia yake wamefika salama Moscow. Serikali ya Urusi yawapa hifadhi kuishi humo kwa muda wote. === Syria’s Bashar al-Assad and his family have arrived in Moscow and have been granted...
14 Reactions
107 Replies
6K Views
Wadau hamjamboni nyote Ni maoni yangu na Nina uhakika yakitekelezwa amani ya kudumu itapatika Mataifa ya Syria na Lebanon yagawanywe kama ifuatayo Syria igawanywe kuwa nchi 2 Lebanon igawanywe...
1 Reactions
6 Replies
602 Views
The IDF and Shin Bet, in a joint operation, eliminated Fahmi Salami, commander of Hamas’s Nukhba Brigade in its Zeitoun Battalion, the IDF announced Wednesday. Salami was responsible for the raid...
1 Reactions
7 Replies
695 Views
Kwa mujibu wa wizara ya ulinzi kupitia Kwa jeshi la Israel wametangaza mpango wao wa kupiga tena nuclear site zilizobakia nchini Iran. Leo IDF wametoa mchanganuo wa vita ya Syria hasa baada ya...
16 Reactions
74 Replies
3K Views
Shalom, Kwa kweli kama imqni nyingine zinakwenda Ibada miji mitakatifu yao kuanzia wa budha huko tibet bila shida kabisa Waislam huko Mecca na Madina Wahindi na Hindu yao huko Bombay na New...
18 Reactions
85 Replies
2K Views
Kwa kweli kazi anayoifanya Myahudi huko Middle East, kuwashughulikia kindakindaki kuanzia Iran anarudi Lebanon kisha Yemen. Kwa kweli kazi ni nzuri baraabaraa. Kwahiyo hata wale waunga mkono wa...
7 Reactions
25 Replies
4K Views
Umoja wa Kisovieti/USSR/Russia pia walicheza moja ya nafasi ya kuwadanganya Waarabu wa Wapalestina kama njia ya kuisababishia matatizo Israeli. Wakati Israeli ilipoundwa upya mwaka wa 1948...
4 Reactions
4 Replies
418 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…